Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASHINDANO YA AFRIKA: Azam, Yanga zapewa neno

>Licha ya kushinda mechi zao za awali dhidi ya wapinzani wao, El- Merreikh ya Sudan na BDF XI ya Botswana, Azam na Yanga zimepewa angalizo zinapojiandaa kwa mechi za marudiano.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Yanga, Azam zapewa mtihani Afrika

Mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) Azam FC wamepangwa kucheza dhidi ya El Merrikh ya Sudan katika Ligi ya Klabu Bingwa Afrika mwakani huku Yanga wakipewa timu ya BDF XI ya Botswana katika michuano ya Kombe la Shirikisho mwakani.

Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye mtandao rasmi wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) jana, droo ya michuano ya 19 ya Klabu Bingwa Afrika mwakani na michuano ya 12 ya Kombe la Shirikisho barani ilichezeshwa kwenye makao makuu ya CAF jijini Cairo,...

 

9 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam zapewa mchekea

Wawakilishi wa Tanzania, Yanga na Azam zimepangiwa timu zenye viwango tofauti mashindano hayo ya klabu Afrika mwakani.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam kucheza fainali za mashindano mapya ya Ebola

Wakongwe wa soka nchini ambao pia ni mabingwa mara 24 wa Ligi Kuu, Yanga na pia Azam watashiriki mashindano mapya ya soka yanayoitwa Ebola yatafanyika baadaye mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

MALENGO AFRIKA: Makocha Yanga, Azam wajipa matumaini

>Makocha wa Yanga na Azam wamebeba matumaini makubwa kuelekea mechi zao za kimataifa mwishoni mwa wiki.

 

11 years ago

Michuzi

News Flash: Yanga yatolewa kiume mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika,yafungwa na Al Ahly kwa mikwaju ya penati 4-3

Timu ya Yanga imetolewa kwenye Mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika baada ya kufungwa na Timu ya Al Ahly ya Misri kwa Mikwaju ya penalati 4-3.Hatua hiyo ya penati ilikuwa baada ya Yanga kufungwa bao 1 katika dakika 90 ya mchezo wao uliomalizika usiku huu huko mjini Alexandria. Katika Mchezo wa awali uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam,Yanga ilishinda bao 1 - 0.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashindano ya wakimbiaji afrika yaja

Chama cha Riadha nchini Tanzania kimeandaa mashindano maalumu kwa ajili ya kuwapa mazoezi wanariadha .

 

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani