Yanga, Azam zapewa mchekea
Wawakilishi wa Tanzania, Yanga na Azam zimepangiwa timu zenye viwango tofauti mashindano hayo ya klabu Afrika mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo23 Dec
Yanga, Azam zapewa mtihani Afrika
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/CAF-23Dec2014.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye mtandao rasmi wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) jana, droo ya michuano ya 19 ya Klabu Bingwa Afrika mwakani na michuano ya 12 ya Kombe la Shirikisho barani ilichezeshwa kwenye makao makuu ya CAF jijini Cairo,...
10 years ago
Mwananchi17 Feb
MASHINDANO YA AFRIKA: Azam, Yanga zapewa neno
9 years ago
Habarileo13 Dec
Yanga yapangwa na mchekea Ligi ya Mabingwa
SHIRIKISHO la soka Afrika (CAF) jana lilitoa ratiba ya michuano ya kimataifa mwakani ambapo Yanga imepangwa kuanza na Cercle de Joachim ya Mauritius. Kwa mujibu wa ratiba hiyo, Yanga inayoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, itaanza hatua ya awali.
9 years ago
Habarileo03 Nov
Ni Yanga na Azam
MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.
9 years ago
Habarileo17 Oct
Yanga, Azam ni kifo
YANGA leo inaikaribisha Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaoamua nani akalie kiti cha uongozi wa ligi hiyo inayoshirikisha jumla ya timu 16.
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Azam na Yanga zinamatumaini
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Yanga waikataa Azam Tv
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Yanga, Azam TV waelewana