Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashujaa Musica yaimarisha safu zake

BENDI ya Mashujaa Musica imeongeza nguvu mpya katika safu ya uimbaji, wacheza shoo na wapigaji vyombo kutoka bendi mbalimbali za hapa nchini. Akizungumza na Tanzania Daima, meneja wa bendi hiyo,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kitokololo atua Mashujaa Musica

RAPA wa Fm Academia, Kalidjo Kitokololo amejiunga rasmi na bendi ya Mashujaa kwa mkataba wa mwaka mmoja. Kitokololo, ameamua kumwaga wino kuitumikia Mashujaa, ambako ataungana na marapa wenzake, Sauti ya...

 

11 years ago

GPL

MAMBO YA MASHUJAA MUSICA UKUMBI WA CHEETAZ K’NYAMA

Prezdaa wa Mashujaa, Chaz Baba (kulia) na rapa wake, Saulo John 'Ferguson', wakikamua. Wanenguaji wakishambulia jukwaa.…

 

9 years ago

GPL

DAR MUSICA YAZINDULIWA KWA KISHINDO

Prezidaa wa Dar Musica, Jado Field Force akionesha ubora wake kazini. Vimwana wa Dar Musica katika pozi baada ya kushuka jukwaani. Mashabiki wakijimwaya. Wanenguaji wakifanya manjonjo.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Malaika Musica yapania makubwa Moshi

BENDI iliyoanza kwa kishindo ya Malaika Musica chini ‘Mkali wa Masauti’, Christian Bella inatarajiwa kushusha burudani ya aina yake ndani ya ukumbi wa maraha wa Adventure mjini Moshi mkoani Kilimanjaro....

 

5 years ago

Rolling Stone

Kenny Rogers, Country Music’s ‘The Gambler,’ Dead at 81

Kenny Rogers, Country Music’s ‘The Gambler,’ Dead at 81  Rolling StoneKenny Rogers: Country music legend dies aged 81  BBC NewsCountry music legend Kenny Rogers dies at 81  The Citizen DailyCountry music icon Kenny Rogers dies aged 81  Sky News AustraliaKenny Rogers and Dolly Parton: How their lifelong friendship started  Metro.co.ukView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Mtanzania

Dar Musica kujitambulisha kwa mbili mfululizo

MUSICANA MWALI IBRAHIM

BENDI ya muziki wa dansi ya Dar Musica inatarajia kuachia nyimbo zao mbili mpya hivi karibuni, wakiamini kwamba nyimbo hizo zitawatambulisha vema katika muziki wanaoufanya.

Bendi hiyo mpya inayoongozwa na aliyekuwa kiongozi wa bendi ya Mashujaa Musica ‘Wanakibega’, Jado Fidforce, kwa sasa ipo kambini jijini hapa ikijifua kwa ajili ya ujio huo.

Nyimbo zitakazoachiwa hivi karibuni ni ‘Chozi la masikini’ na ‘Bongo Michongo’ ambazo zitatambulishwa kwa mashabiki wake...

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yaimarisha majeshi Crimea

Urusi imeendelea kuimarisha majeshi yake ndani ya jimbo la Crimea linalomilikiwa na UKraine licha ya shinikizo za kidiplomasia dhidi ya kitendo hicho

 

10 years ago

Tanzania Daima

TICTS yaimarisha huduma zao

MENEJA wa Operesheni katika kitengo kinachoshughulikia upakuaji na upakiaji wa makontena bandarini (TICTS), Donald Talawa amesema majukumu ya kitengo hicho yameimarika zaidi baada ya kupata vifaa vya kisasa vyenye thamani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani