Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAR MUSICA YAZINDULIWA KWA KISHINDO

Prezidaa wa Dar Musica, Jado Field Force akionesha ubora wake kazini. Vimwana wa Dar Musica katika pozi baada ya kushuka jukwaani. Mashabiki wakijimwaya. Wanenguaji wakifanya manjonjo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Filamu ya Aisha yazinduliwa kwa kishindo wilayani Pangani

1- moja

Filamu iliyopewa jina la AISHA imezunduliwa rasmi siku ijumaa ya tarehe 31/7/2015 wilayani Pangani chini ya shirika lisilo la kiserikali la UZIKWASA.

Aisha ni filamu ya tatu katika mfululizo wa filamu za UZIKWASA zikiangazia aina mbali mbali za unyanyasaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto wa kike. Filamu hizi ni ni sehemu mojawapo tu ya njia za mawasiliano katika kampeni shirikishi-jamii ya mabadiliko ya tabia inayofahamika kama ‘BANJA BASI’!, Pangani, Tanga.

Kabla ya filamu ya Aisha...

 

9 years ago

Mtanzania

Dar Musica kujitambulisha kwa mbili mfululizo

MUSICANA MWALI IBRAHIM

BENDI ya muziki wa dansi ya Dar Musica inatarajia kuachia nyimbo zao mbili mpya hivi karibuni, wakiamini kwamba nyimbo hizo zitawatambulisha vema katika muziki wanaoufanya.

Bendi hiyo mpya inayoongozwa na aliyekuwa kiongozi wa bendi ya Mashujaa Musica ‘Wanakibega’, Jado Fidforce, kwa sasa ipo kambini jijini hapa ikijifua kwa ajili ya ujio huo.

Nyimbo zitakazoachiwa hivi karibuni ni ‘Chozi la masikini’ na ‘Bongo Michongo’ ambazo zitatambulishwa kwa mashabiki wake...

 

9 years ago

GPL

MAONESHO YA SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO 2015 YAZINDULIWA KWA KISHINDO

Mgeni rasmi Dk. Gharib Bilal akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wadau wa maonesho hayo. Maonesho haya ya pili ya Swahili International Tourism Expo 2015 yalipata nafasi ya kutembelewa na Makamu wa Rais, Dk. Gharib Bilal akiwa ndiye mgeni rasmi pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Tanzania, Dk. Adelhelm Meru. Maonesho haya yatakayochukua takribani siku tatu mpaka tarehe 03-10-2015 kwa mwaka huu, katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Ujenzi yamuaga JK kwa kishindo Dar

jkaRais Jakaya Kikwete akihutubia wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi wakati wa hafla maalum ya kumuaga iliyoandaliwa na Wizara hiyo kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja.

 Wahandisi mbali mbali wa Wizara na wasiokuwa wa Wizara walijumuika pamoja kwenye hafla ya kumuaga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete

 Wageni waalikwa kutoka taasisina mashirika mbali mbali walishiriki kikamilifu.

 Rais Jakaya Kikwete akikabidhiwa ufunguo wa trekta lake alilopewa zawadi kwenye hafla ya...

 

10 years ago

GPL

LOWASSA APATA WADHAMINI KWA KISHINDO DAR

Lowassa akiendelea kuzungumza katika mkutano huo. Edward Lowasa akizungumza jambo katika mkutano wa leo Mkwajuni, Kinondoni, Dar. Mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi, Kingunge…

 

9 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA JIJINI DAR YAZINDULIWA

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano  na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn  Mworia akiongea  na waandishi wa habari kuhusiana na  utoaji wa semina  mbalimbali wanazozifanya kama wadhamini wakuu  kwa waendesha badabado  wakati wa  maadhimisho ya wiki ya Usalama barabaranijijini dar es Salaam yaliyofanyika leo katika Viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam, kwa Udhamini wa Vodacom Tanzania,Kulia kwake ni Mwenyekiti wa  waendesha bodaboda Wilaya ya Kipolisi Buguruni Kanda ya Tabata, Ramia...

 

10 years ago

Michuzi

Promosheni ya Jaymillions yaanza kwa kishindo jijini dar

Mtangazaji wa kituo chatelevisheni ya Taifa (TBC), Bavon Benjamin (wa kwanza kulia) akimsikiliza balozi wa promosheni ya JayMillions Hillary Daud “Zembwela” (wa tatu kulia) wakati wa hafla ya uzinduzi wa promosheni hiyo inayoendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Ili kujua kama ameshinda, mteja anatakiwa kutuma neno “Jay” kwenda 15544 mara moja tu kwa siku.Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom, Kelvin Twissa (kulia) akitoa...

 

10 years ago

GPL

MSHINDI WA BBA HOTSHOTS APOKELEWA KWA KISHINDO JIJINI DAR

Mshindi wa zaidi ya milioni 500 za shindano la Big Brother Hotshots, Idris Sultan baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere muda si mrefu.…

 

10 years ago

GPL

ISHA, TUNDA WAFUNGUA MWAKA KWA KISHINDO DAR LIVE

QUEEN of the Best Melody, Isha Mashauzi pamoja na mkali wa Bongo Fleva, Tunda Man waliufungua mwaka 2015 ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live kwa kishindo. Wakali wa Bongo Fleva, Tunda Man na Chid Benz wakiwapagawisha mashabiki. Shoo hiyo iliyokuwa ya aina yake kwa kundi la Mashauzi Classic likiongozwa na Isha lilianza kufungua pazia la burudani kwa kupiga ngoma zao zote kali ambazo zinabamba kama vile Mama Nipe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani