Wizara ya Ujenzi yamuaga JK kwa kishindo Dar
Rais Jakaya Kikwete akihutubia wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi wakati wa hafla maalum ya kumuaga iliyoandaliwa na Wizara hiyo kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja.

Wahandisi mbali mbali wa Wizara na wasiokuwa wa Wizara walijumuika pamoja kwenye hafla ya kumuaga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete

Wageni waalikwa kutoka taasisina mashirika mbali mbali walishiriki kikamilifu.

Rais Jakaya Kikwete akikabidhiwa ufunguo wa trekta lake alilopewa zawadi kwenye hafla ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
WIZARA YA UJENZI YAMUAGA JK




10 years ago
Vijimambo
WIZARA YA MAMBO YA NJE YA MAREKANI YAMUAGA BALOZI AMINA SALUM ALI



11 years ago
Michuzi.jpg)
BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA UJENZI LAKUTANA DAR
Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi limekutana Dar es Salaam chini ya Uenyekiti wa Eng. Alhaj Mussa Iyombe ambaye pia ni Katibu Mkuu wa wizara hiyo ambaye wakati wa ufunguzi wa Baraza hilo, Eng. Iyombe aliwajulisha wajumbe waliohudhuria kikao hicho kuwa, madhumuni makubwa ya kuwepo kwa mabaraza ya aina hii ni kushirikisha wafanyakazi katika utekelezaji wa shughuli za wizara ikiwa ni pamoja na kuwaweka wafanyakazi hao karibu na uongozi wao.
Baraza hilo ambalo linaundwa na wajumbe...
10 years ago
VijimamboWIZARA YA MAMBO YA NJE YAMUAGA BALOZI WA INDIA ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
Balozi wa India nchini Tanzania anayemaliza muda wake wa kazi, Mhe.Debnath Shaw akitoa hotuba yake ya kuaga mbele ya wageni waalikwa wakiwemo baadhi ya Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini wakiongozwa na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya wakati wa hafla ya chakula cha mchana iliyofanyika katika Hoteli ya New Afrika Jijini Dar es Salaam tarehe 29 Julai, 2015.
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
10 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NJE YAMUAGA BALOZI WA SWEDEN ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
11 years ago
Michuzi24 Jul
Wizara ya Mambo ya Nje yamuaga rasmi Balozi wa Norway nchini aliemaliza muda wake
10 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NJE YAMUAGA RASMI BALOZI WA UBELGIJI ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
11 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA JOB MASIMA AKAMILISHA ZIARA YAKE KWA KISHINDO MKOANI RUKWA

9 years ago
MichuziWIZARA YA MAJI YAMUAGA NAIBU KATIBU MKUU INJ. MWIHAVA, YAMKARIBISHA INJ. KALOBELO
Wizara ya Maji imemuaga rasmi aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Inj. Ngossy Mwihava na kumkaribisha Naibu Katibu Mkuu mpya, Inj. Emmanuel Kalobelo katika Makao Makuu ya Wizara hiyo Ubungo Maji jana.
“Naomba ushirikiano wenu ili tuweze kufanikisha azma ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10