Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malaika Musica yapania makubwa Moshi

BENDI iliyoanza kwa kishindo ya Malaika Musica chini ‘Mkali wa Masauti’, Christian Bella inatarajiwa kushusha burudani ya aina yake ndani ya ukumbi wa maraha wa Adventure mjini Moshi mkoani Kilimanjaro....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

FOD YAPANIA MAKUBWA

Kundi linaloundwa na wasanii wa filamu,wanamuziki na wanamichezo kwa ajili ya kusukuma gurudumu la  maendeleo yao na taifa kiujumla la Friends of Developments(F.O.D), limepania kufanya mengi makubwa kulisimamia jina lao la “Rafiki wa Maendeleo” kwa kufanya kazi za kijamii zikiwemo kusaidia wasiojiweza, kwa kujitolea na kufanya matamasha mbalimbali mfululizo na hasa kipindi hiki cha uchaguzi.
Akizungumza na wanahabari mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa FOD na pia katibu mkuu wa ngumi...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City yapania makubwa

>Wakati Mbeya City ikipangwa kufungua dimba la michuano ya kimataifa ya Bonde la Mto Nile dhidi ya El Merreikh Al Fasher Mei 23, kocha mkuu wa timu hiyo, Juma Mwambusi amesema wanakwenda Sudan kufanya kazi.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli aahidi makubwa Moshi

MGOMBEA urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, jana aliuteka mji wa Moshi mkoa wa Kilimanjaro, baada ya kuvuta umati mkubwa wa watu aliowakuna kwa hotuba yake iliyosheheni ahadi nzito, zikiwamo za kuondoa kero zinazowakabili na pia kuahidi kupaisha uchumi wa mkoa kwa ujumla.

 

11 years ago

Michuzi

MALAIKA NAKUPENDA MALAIKA...sings dr schaeffer as he leaves bukoba

With salams and jambo from IZAAS Medical Project in Bukoba, "All good times come to an end...It was time to leave", Said Dr Schaeffer while singing the song, MALAIKA NAKUPENDA MALAIKA  The photos of Zulfa before and after shows what type of miracles Dr Schaeffer can do.   Brother Ansarali Hemraj generously donated 17 cartoons of wheel chairs, crunches elbow sticks and walkers, he even donated $ 1200 for heir ttransport from Dubai to Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI BERNARD MEMBE APATA MAPOKEZI MAKUBWA MOSHI MJINI AZOA WADHAMINI WAKUTOSHA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wa Mkoa wa Kilimanjaro, waliofika katika Ofisi ya CCM ya wilaya ya Moshi Mjini Juni 17.2015, kwa ajili ya kumdhamini iliaweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,250. Picha zote na John BadiWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kitokololo atua Mashujaa Musica

RAPA wa Fm Academia, Kalidjo Kitokololo amejiunga rasmi na bendi ya Mashujaa kwa mkataba wa mwaka mmoja. Kitokololo, ameamua kumwaga wino kuitumikia Mashujaa, ambako ataungana na marapa wenzake, Sauti ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mashujaa Musica yaimarisha safu zake

BENDI ya Mashujaa Musica imeongeza nguvu mpya katika safu ya uimbaji, wacheza shoo na wapigaji vyombo kutoka bendi mbalimbali za hapa nchini. Akizungumza na Tanzania Daima, meneja wa bendi hiyo,...

 

9 years ago

GPL

DAR MUSICA YAZINDULIWA KWA KISHINDO

Prezidaa wa Dar Musica, Jado Field Force akionesha ubora wake kazini. Vimwana wa Dar Musica katika pozi baada ya kushuka jukwaani. Mashabiki wakijimwaya. Wanenguaji wakifanya manjonjo.…

 

5 years ago

Rolling Stone

Kenny Rogers, Country Music’s ‘The Gambler,’ Dead at 81

Kenny Rogers, Country Music’s ‘The Gambler,’ Dead at 81  Rolling StoneKenny Rogers: Country music legend dies aged 81  BBC NewsCountry music legend Kenny Rogers dies at 81  The Citizen DailyCountry music icon Kenny Rogers dies aged 81  Sky News AustraliaKenny Rogers and Dolly Parton: How their lifelong friendship started  Metro.co.ukView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani