FOD YAPANIA MAKUBWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-r7phFOzw46o/Vb9hYrGo5DI/AAAAAAAHtjE/N1PGQNpwUB8/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Kundi linaloundwa na wasanii wa filamu,wanamuziki na wanamichezo kwa ajili ya kusukuma gurudumu la maendeleo yao na taifa kiujumla la Friends of Developments(F.O.D), limepania kufanya mengi makubwa kulisimamia jina lao la “Rafiki wa Maendeleo” kwa kufanya kazi za kijamii zikiwemo kusaidia wasiojiweza, kwa kujitolea na kufanya matamasha mbalimbali mfululizo na hasa kipindi hiki cha uchaguzi.
Akizungumza na wanahabari mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa FOD na pia katibu mkuu wa ngumi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 May
Mbeya City yapania makubwa
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Malaika Musica yapania makubwa Moshi
BENDI iliyoanza kwa kishindo ya Malaika Musica chini ‘Mkali wa Masauti’, Christian Bella inatarajiwa kushusha burudani ya aina yake ndani ya ukumbi wa maraha wa Adventure mjini Moshi mkoani Kilimanjaro....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RFSF5tvDd-0/VbFI53O6YNI/AAAAAAAHrYI/2rhfEX9_k1g/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
FRIENDS OF DEVELOPMENTS (FOD) na Bigright YAANDAA MAPAMBANO ya NDONDI JIJINI DAR ES SALAAM mwezi ujao
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Matokeo makubwa sasa bila maandalizi makubwa
ILI kupata matokeo yoyote makubwa na mazuri katika jambo lolote, lazima uwe umefanya maandalizi makubwa kabla. Hii ndiyo hali halisi ukiachilia mbali miujiza ya Mwenyezi Mungu anayeweza kufanya chochote. Tanzania...
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Serengeti Boys yapania
10 years ago
Habarileo06 Nov
Sumatra yapania kuboresha bandari
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imesema itahakikisha bandari zilizopo nchini, zinatoa huduma kwa kiwango cha kimataifa ili ziweze kushindana na bandari za nchi jirani ikiwa ni pamoja na kupewa leseni.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-04rRLXVl3j8/VCJQxeofJhI/AAAAAAAABsI/N3K-WGH1ecQ/s72-c/palangyo.jpg)
Serikali yapania kutokomeza utapiamlo
![](http://3.bp.blogspot.com/-04rRLXVl3j8/VCJQxeofJhI/AAAAAAAABsI/N3K-WGH1ecQ/s1600/palangyo.jpg)
SERIKALI imesema itaweka mikakati kuhakikisha inatokomeza utapiamlo nchini na kutoa elimu ya lishe kuanzia ngazi za awali katika jamii.
Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Charles Pallangyo, wakati akifungua warsha ya siku tatu kujadili mikakati ya kutoa elimu juu ya lishe bora.
Pallangyo alisema Tanzania inayo idadi kubwa ya watoto na wanawake wajawazito, ambao wana utampiamlo unaosababishwa na kukosekana kwa lishe bora, hali ambayo...
11 years ago
Tanzania Daima08 May
JKT Oljoro yapania daraja la kwanza
TIMU ya JKT Oljoro imepania kukabili ushindani wa ligi Daraja la Kwanza kwa kuanza maandalizi mapema ikiwemo kuingia kambini na kujifua kwa mazoezi magumu ili waweze kurejea Ligi Kuu ya...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
CDA yapania kurejea Ligi Kuu
TIMU ya CDA Dodoma inayoshiriki Ligi ya Mkoa, imetamba kujiandaa vema msimu huu ili iweze kutwaa ybungwa na hatimaye kurejea Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL). Mikakati hiyo imekuja kwa lengo...