Maslahi ya CUF yapo ndani ya UKAWA
NANI anamuhitaji mwenzake zaidi katika UKAWA, CUF au Chadema?
Njonjo Mfaume
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania07 Aug
Sura mbili za Ibrahim Lipumba ndani ya Cuf na ukawa
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
HATIMAYE Profesa Ibrahim Lipumba ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), huku suala hilo likigubikwa na sura mbili na kauli tata za kiongozi huyo.
Profesa Lipumba amefikia uamuzi huo jana, jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari na kuhitimisha tetesi zilizokuwa zikimuhusisha na kung’atuka katika uongozi wa cha hicho.
Alisema kuwa ameikabidhi Ofisi ya Katibu Mkuu, barua ya kung’atuka nafasi...
10 years ago
VijimamboLIPUMBA NDIE MGOMBEA PEKEE CUF ATAKAE WAKILISHA CUF KUGOMBEA URAIS UKAWA
![](http://www.habari247.co.tz/site/wp-content/uploads/2014/12/lipumba.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s72-c/_MG_6218.jpg)
UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s640/_MG_6218.jpg)
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
10 years ago
TheCitizen16 Jul
CUF: Who says we’ve ditched Ukawa?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49b6JEYFBhcEKt0AnJT67LilA2n4bcJlF0P709QgYj2huL*vIoZ0zjKuV6ayKU*Jzdu64a-4mG0weIikOppV6Oi4/cuf.jpg)
CUF: HATUJAJITOA UKAWA
10 years ago
Habarileo16 Feb
CUF waibipu Ukawa
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimetangaza Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba, kuwa ni mmoja kati ya wanachama wa chama hicho, atakayewania nafasi ya Urais.
10 years ago
Habarileo16 Jul
CUF ‘washikilia’ urais wa Ukawa
KITENDAWILI cha Chama cha Wananchi (CUF) kuridhia hoja ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kusimamisha mgombea mmoja wa nafasi ya urais kwa upande wa vyama vya upinzani, kinatarajiwa kuteguliwa Jumamosi ya wiki ijayo, ambapo Baraza Kuu la Uongozi wa Taifa wa chama hicho litakaa kujadili na kutoa uamuzi.
10 years ago
Mwananchi15 Jul
CUF yakanusha kujitoa Ukawa
9 years ago
TheCitizen29 Oct
Ukawa gives Chadema, CUF more seats