Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASTAA WAFUNGUKA KUPIGA HELA KUTOKA KWA WAGOMBEA!

Gabriel Ng’osha Neema! Baadhi ya mastaa wa tasnia mbalimbali Bongo, wamefunguka kuwa kipindi hiki cha uchaguzi, kwao ni msimu wa kutengeneza hela kutoka kwa wagombea kama watahitaji huduma yao ya burudani. Mheshimiwa Bernard Membe. Kwa mujibu wa baadhi ya wasanii, wao wapo au watakuwa tayari kuwapigia kampeni wagombea hao ilimradi tu wanavuta mshiko wa maana. KULWA KIKUMBA ‘DUDE’: Huu ndiyo msimu wa kulamba...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAGOMBEA URAIS WAIBUA MPASUKO KWA MASTAA

Erick Evarist
WAKATI wagombea mbalimbali wa urais wa Tanzania wakitangaza nia ya kushika wadhifa huo mzito kwa taifa, nyuma ya mchakato huo kumeibuka mpasuko mkubwa kwa mastaa wakipigana vikumbo kuwania kambi za wagombea. Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa. Kwa mujibu wa chanzo kilicho karibu na mastaa hao, mpasuko umejidhihirisha hadharani Jumamosi iliyopita baada ya baadhi ya mastaa kupata shavu la kwenda kutumbuiza katika...

 

10 years ago

Vijimambo

Wagombea urais CCM wafunguka kauli ya Rais Kikwete

Rais Jakaya Kikwete akitoa mhadhara katika kituo cha Kimataifa cha Woodrow Wilson jijini Washington DC, nchini Marekani. Picha na Ikulu
Dar es Salaam. Siku chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kusema kuwa nafasi hiyo ni kadhia na kazi ngumu, baadhi ya wanasiasa waliotangaza nia ya kuwania nafasi hiyo wamesema wanafahamu changamoto hizo na kwamba kauli hiyo inazidi kuwapa nguvu na hamasa ya kuendelea na mchakato huo.Wiki iliyopita, Rais Kikwete akiwa Marekani, wakati akihutubia kwenye taasisi...

 

11 years ago

Michuzi

DIAMOND PLATNUMZ KUENDELEA KUPIGA HELA KUPITIA MZIKI WAKE, HIKI NI KITU KINGINE KIPYA

Diamond Platnumz ni msanii mwengine mkubwa wa Kitanzania aliyejiunga na Mkito.com kwaajili ya kusambaza muziki wake mtandaoni. Msanii huyu anajiunga na wengine kama Fid Q, Nay Wamitego, Rich Mavoko, Vanessa Mdee, Juma Nature, Barnaba, Linah, Belle 9 na wengine wengi katika mchakato unaoendelea kuwawezesha wasanii kujipatia kipato kutokana na muziki wao kupakuliwa kwenye mtandao. Diamond kabla ya kuondoka kuelekea Afrika ya Kusini kwaajili ya video yake mpya aliona ni vyema kuungana na...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI CHIKAWE ASHIRIKIANA NA WAGOMBEA SERIKALI ZA MITAA KUPIGA KAMPENI YA NYUMBA KWA NYUMBA JIMBONI NACHINGWEA

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe akiwasalimia wananchi wa Kijiji cha Libundu, Kitongoji cha Nangote, Kata ya Kiparamnero wilayani Nachingwea katika Kampeni ya nyumba kwa nyumba ya kuwanadi wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wa Serikali za Mitaa wilayani humo. Waziri Chikawe aliwaomba wananchi wa Nachingwea kuwapigia kura viongozi hao waliopitishwa na CCM kugombea nafasi hizo walizoomba. Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika...

 

11 years ago

GPL

MASTAA WAGOMBEA MKONO WA JK

Stori: Waandishi Wetu
HATIMAYE staa wa sanaa za maigizo Bongo, marehemu Said Ngamba ‘Mzee Small’  amezikwa juzi Jumatatu katika Makaburi ya Segerea jijini Dar es Salaam, Risasi Mchanganyiko lilikuwepo msibani hatua kwa hatua. Rais wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon  Mwakifwamba akisalimiana na Rais Kikwete. Msiba huo ulihudhuriwa na mamia ya watu akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Timu ya Kenya yakwama kwa sababu ya hela

Timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars imekwama uwanja wa ndege wa Wilson kufuatia mzozo kuhusu marupurupu na malipo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani