Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timu ya Kenya yakwama kwa sababu ya hela

Timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars imekwama uwanja wa ndege wa Wilson kufuatia mzozo kuhusu marupurupu na malipo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Yanga safi kwa Mzimbabwe, Simba yakwama kwa Mavugo


Dinaldo Ngoma, FC Platinum ya Zimbambwe.
Nicodemus Jonas na Hans MloliMBIO za usajili zinazidi kukolea, Yanga imemalizana na Dinaldo Ngoma wa FC Platinum ya Zimbambwe, wakati upande wa pili wapinzani wao, Simba wanaweza kukwama kumnasa straika Mrundi, Laudit Mavugo kutokana na Klabu ya Vital’O kuonekana kuweka ngumu.Yanga wameeleza kuwa wamemalizana na mchezaji huyo lakini wanachosubiri ni tamko la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) juu ya kuongeza idadi ya wachezaji wa kimataifa.Katibu Mkuu...

 

11 years ago

Mwananchi

Stars yakwama kwa Mambas

Timu ya soka ya taifa ‘Taifa Stars’, imeshindwa kutamba nyumbani baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 na Msumbiji ‘Mambas’, katika mchezo wa jana wa kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) mwakani.

 

11 years ago

Michuzi

Timu ya Jamhiri ilivyoigaragaza timu ya Polisi Zanzibar kwa bao 1-0

Mshambuliaji wa timu ya Jamhuri Samir Said (kushoto) akiwania mpira wa juu na mchezaji wa timu ya Polisi Abdalla Mwalim katika mchezop wa Ligi kuu ya Grand Malta Zanzibar uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Aman, Zanzibar.Jamhuri ilishinda 1-0. Winga wa timu ya Polisi Mohamed Mohamed (kushoto) akiwania mpira na beki wa timu ya Jamhuri Mohid Said katika mchezo wa Ligi Kuu ya Grand Malta Zanzibar uliochezwa kwenye Uwanja wa Aman juzi. Jamhuri ilishinda 1-0. Mshambuliaji wa timu ya...

 

10 years ago

GPL

MASTAA WAFUNGUKA KUPIGA HELA KUTOKA KWA WAGOMBEA!

Gabriel Ng’osha Neema! Baadhi ya mastaa wa tasnia mbalimbali Bongo, wamefunguka kuwa kipindi hiki cha uchaguzi, kwao ni msimu wa kutengeneza hela kutoka kwa wagombea kama watahitaji huduma yao ya burudani. Mheshimiwa Bernard Membe. Kwa mujibu wa baadhi ya wasanii, wao wapo au watakuwa tayari kuwapigia kampeni wagombea hao ilimradi tu wanavuta mshiko wa maana. KULWA KIKUMBA ‘DUDE’: Huu ndiyo msimu wa kulamba...

 

11 years ago

Mwananchi

Magari yakwama Kitonga kwa saa 10

Magari ya abiria na mizigo juzi yalikwama kwa zaidi ya saa 10 katika Mlima Kitonga mkoani Iringa, baada ya magari mawili ya mizigo kuharibika na kuziba njia.

 

10 years ago

Mwananchi

Sababu za Al-Shabaab kuishambulia Kenya

Eneo la Afrika Mashariki liko katika taharuki kubwa kutokana na tetesi za kuwepo uwezekano wa kufanyika mashambulizi zaidi kutoka kwa kundi la Al Shabaab ambalo tayari limeleta maafa makubwa kwa wananchi wa Kenya. 

 

11 years ago

Mwananchi

Ajali yaua, magari yakwama kwa saa tatu Dar- Moro

 Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa baada ya basi dogo kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Bwawani Barabara ya Chalinze - Morogoro.

 

10 years ago

BBCSwahili

Timu ya Kenya ya Raga yawasili UK

Timu ya Kenya ya raga ya wachezaji 7 maarufu Shujaa, imewasili Glasgow nchini Uingereza huku ikijiandaa kwa michuano ya sevens

 

11 years ago

BBCSwahili

Timu ya soka ya Kenya kwenda Brazil

Sio kushiriki mechi yoyote bali kutazama michuano ya kombe la dunia. Ni zawadi waliyopokea kutoka kwa Rais Uhuru Kenyatta

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani