Matembezi ya kuweka amani yaanza Kenya
Wanaridha nchini Kenya wakiwemo wale waliovunja rekodi za dunia wameanza matembezi ya amani ya siku 22.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
DC MAKONDA AONGOZA MATEMBEZI YA KUOMBEA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kulia), akihutubia wananchi baada ya kupokea matembezi ya amani ya vyama vya siasa yaliyofanyika kuanzia eneo la Magomeni hadi viwanja vya Kinondoni Biafra Dar es Salaam leo asubuhi. Mwenyekiti wa Wilaya ya Chama cha Union For Multi Party Democratic (UMD), Abdallah Tumbo akihutubia katika mkutano huo. Katibu wa Wilaya ya Kinondoni wa Chama cha UDP, Makoye Ikoles, akizungumza… ...
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
UN yawaagiza waasi kuweka amani Mali
Katibu mkuu wa umoja Ban ki Moon ametaka waasi wa Tuareg nchini Mali kutia sahihi makubaliano ya amani ili kuleta utulivu
5 years ago
BBCSwahili22 May
China yaanza hatua ya kuweka sheria yenye utata ya usalama kuihusu Hong Kong
Chama tawala cha Kikomunisti cha China kimeanzisha sheria ya usalama ya kitaifa yenye utata kwa Hong Kong, na hatua hiyo kuonekana kama uminywaji wa uhuru.
10 years ago
VijimamboDC PAUL MAKONDA AONGOZA MATEMBEZI YA VYAMA VYA SIASA KUOMBEA NCHI AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Sudan Kusini:Mazungumzo ya amani yaanza
Mazungumzo mapya yanayolenga kumaliza mgogoro wa wenyewe kwa wenyewe wa miezi 19 Sudan Kusini yameanza katika mji mkuu wa Ethiopia Addis Ababa.
10 years ago
Habarileo03 Nov
Mitihani yaanza kwa amani na utulivu
MTIHANI wa kidato cha nne ulioanza jana nchini kote umeanza kwa hali ya utulivu na amani katika shule mbalimbali za jiji la Dar es Salaam.
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Mazungumzo ya amani kuhusu Libya yaanza
Mazungumzo kuhusu Libya yalioidhinishwa na Umoja wa mataifa yameanza huko Geneva leo yanayonuiwa kufikia makubaliano ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini yaanza
Harakati za kupata suluhisho la kudumu la mgogoro wa Sudan Kusini zimeanza mjini Arusha.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
11-May-2025 in Tanzania