Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN yawaagiza waasi kuweka amani Mali

Katibu mkuu wa umoja Ban ki Moon ametaka waasi wa Tuareg nchini Mali kutia sahihi makubaliano ya amani ili kuleta utulivu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Serikali na waasi kuafikiana Mali

Serikali ya Mali na makundi sita ya wanamgambo wanatarajiwa kutia sahihi makubaliano ya amani yenye nia ya kuleta utulivu .

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi 11 wauawa nchini Mali

Wanajeshi wa Ufaransa wanasema kwamba wamepambana na waasi katika mji wa Tumbuktu Kaskazini mwaMali ambapo wapiganaji kumi na moja wameuawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yakubaliana na waasi Mali

Serikali na Waasi nchini Mali wakubaliana kumaliza mapigano Mali

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi nchini Mali wasitisha vita

Waasi nchini Mali wamekubali kusitisha vita siku mbili baada ya kuvishinda vikosi vya serikali katika mji wa kazkazini wa kidal.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wa Mali wawateka nyara watu 20

Waasi Kazkazini mwa Mali wamekabiliana na wapiganaji wanaounga mkono serikali,kwa mda na kuwateka nyara takriban watu 20.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wa Tuareg watwaa mji muhimu Mali

Baada ya mapigano makali baina yao na serikali, waasi wa Tuareg wameudhibiti mji wa kaskazini mwa Mali wa Kidal

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wasusia mazungumzo ya amani

Waasi wa Sudan Kusini wasema hawatashiriki katika awamu ya pili ya mazungumzo ya amani hadi wafungwa wote wa kisiasa watakapoachiliwa huru

 

10 years ago

BBCSwahili

Matembezi ya kuweka amani yaanza Kenya

Wanaridha nchini Kenya wakiwemo wale waliovunja rekodi za dunia wameanza matembezi ya amani ya siku 22.

 

10 years ago

Michuzi

UNAMID yasema kujumuishwa kwa waasi wa zamani wa JEM-SUDAN ni dalili za amani Darfur

Wiki hii imekuwa njema kwa mustakabali wa jimbo la Darfur ambalo kwa muda mrefu limeshuhudia mgogoro wa wenyewe kwa wenyewe. Hizi ni taarifa za kujumuishwa kwa waasi wa zamani wa kikundi cha JEM-SUDAN kwenye jeshi la kitaifa nchini Sudan kufuatia hatua ya kikundi hicho kutia saini makubaliano ya Doha kuhusu amani Darfur.
Kwa mujibu wa Ujumbe wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika huko Darfur, UNAMID umesema hilo ni kundi la kwanza kutoka takribani askari 2700 ambao hatimaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani