UN yawaagiza waasi kuweka amani Mali
Katibu mkuu wa umoja Ban ki Moon ametaka waasi wa Tuareg nchini Mali kutia sahihi makubaliano ya amani ili kuleta utulivu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Mar
Serikali na waasi kuafikiana Mali
Serikali ya Mali na makundi sita ya wanamgambo wanatarajiwa kutia sahihi makubaliano ya amani yenye nia ya kuleta utulivu .
11 years ago
BBCSwahili24 Jan
Waasi 11 wauawa nchini Mali
Wanajeshi wa Ufaransa wanasema kwamba wamepambana na waasi katika mji wa Tumbuktu Kaskazini mwaMali ambapo wapiganaji kumi na moja wameuawa.
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
11 years ago
BBCSwahili24 May
Waasi nchini Mali wasitisha vita
Waasi nchini Mali wamekubali kusitisha vita siku mbili baada ya kuvishinda vikosi vya serikali katika mji wa kazkazini wa kidal.
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
Waasi wa Mali wawateka nyara watu 20
Waasi Kazkazini mwa Mali wamekabiliana na wapiganaji wanaounga mkono serikali,kwa mda na kuwateka nyara takriban watu 20.
11 years ago
BBCSwahili22 May
Waasi wa Tuareg watwaa mji muhimu Mali
Baada ya mapigano makali baina yao na serikali, waasi wa Tuareg wameudhibiti mji wa kaskazini mwa Mali wa Kidal
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Waasi wasusia mazungumzo ya amani
Waasi wa Sudan Kusini wasema hawatashiriki katika awamu ya pili ya mazungumzo ya amani hadi wafungwa wote wa kisiasa watakapoachiliwa huru
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Matembezi ya kuweka amani yaanza Kenya
Wanaridha nchini Kenya wakiwemo wale waliovunja rekodi za dunia wameanza matembezi ya amani ya siku 22.
10 years ago
MichuziUNAMID yasema kujumuishwa kwa waasi wa zamani wa JEM-SUDAN ni dalili za amani Darfur
Wiki hii imekuwa njema kwa mustakabali wa jimbo la Darfur ambalo kwa muda mrefu limeshuhudia mgogoro wa wenyewe kwa wenyewe. Hizi ni taarifa za kujumuishwa kwa waasi wa zamani wa kikundi cha JEM-SUDAN kwenye jeshi la kitaifa nchini Sudan kufuatia hatua ya kikundi hicho kutia saini makubaliano ya Doha kuhusu amani Darfur.
Kwa mujibu wa Ujumbe wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika huko Darfur, UNAMID umesema hilo ni kundi la kwanza kutoka takribani askari 2700 ambao hatimaye...
Kwa mujibu wa Ujumbe wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika huko Darfur, UNAMID umesema hilo ni kundi la kwanza kutoka takribani askari 2700 ambao hatimaye...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania