UNAMID yasema kujumuishwa kwa waasi wa zamani wa JEM-SUDAN ni dalili za amani Darfur
![](http://4.bp.blogspot.com/-WlnAvDPLmhY/U_9UIT6v_aI/AAAAAAAGMcQ/-dhX1IfmiYs/s72-c/UNAMID-mella.jpg)
Wiki hii imekuwa njema kwa mustakabali wa jimbo la Darfur ambalo kwa muda mrefu limeshuhudia mgogoro wa wenyewe kwa wenyewe. Hizi ni taarifa za kujumuishwa kwa waasi wa zamani wa kikundi cha JEM-SUDAN kwenye jeshi la kitaifa nchini Sudan kufuatia hatua ya kikundi hicho kutia saini makubaliano ya Doha kuhusu amani Darfur.
Kwa mujibu wa Ujumbe wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika huko Darfur, UNAMID umesema hilo ni kundi la kwanza kutoka takribani askari 2700 ambao hatimaye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aWEe1UzBins/U4Dzq8tdsEI/AAAAAAAFkzU/83HlDK5b1nY/s72-c/IMG_3485.jpg)
UNAMID Force Commander meets displaced in Khor Abeche, South Darfur
![](http://2.bp.blogspot.com/-aWEe1UzBins/U4Dzq8tdsEI/AAAAAAAFkzU/83HlDK5b1nY/s1600/IMG_3485.jpg)
On 20 May 2014, UNAMID Force Commander Lt. Gen. Paul Mella (near camera) travelled to Khor Abeche, South Darfur, to assess the situation of the displaced Darfuris settling close to UNAMID’s base; following a 22 March displacement that led to approximately 3,000 people taking refuge inside UNAMID’s compound.
To create a safe area in which the IDPs could live, a team of UNAMID engineers worked to construct new camp 70,000 square metres in size adjacent to the Mission's base. The camp, now is...
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Sudan yataka Unamid kufungasha virago
11 years ago
BBCSwahili18 Jan
Pigo kwa waasi Sudan Kusini
10 years ago
TheCitizen01 Jul
UNSC extends the Darfur mission’s mandate in Sudan
11 years ago
MichuziMAZUNGUMZO NJIA PEKEE YA KUREJESHA AMANI YA KUDUMU DARFUR- GEN-MELLA
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Waasi wasusia mazungumzo ya amani
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
UN yawaagiza waasi kuweka amani Mali
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y5vDf2xmS0Q/VRJ8w_5lgZI/AAAAAAAHND4/gnsl_k2azVw/s72-c/1.jpg)
MWENDESHA MASHTAKA MKUU WA DARFUR,SUDAN ATEMBELEA MAHAMAKA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU,ASIFU UTENDAJI KAZI WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y5vDf2xmS0Q/VRJ8w_5lgZI/AAAAAAAHND4/gnsl_k2azVw/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-10QcHu9dsWo/VRJ8w5VTaAI/AAAAAAAHND0/g-oSEH06-hk/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oFX-I_aqkJU/VRJ8w_hNWXI/AAAAAAAHNDw/yeqUrKeuWG4/s1600/3.jpg)
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Waasi na jeshi wapambana,Sudan Kusin