MAZUNGUMZO NJIA PEKEE YA KUREJESHA AMANI YA KUDUMU DARFUR- GEN-MELLA
Jenerali Mella, Kamanda wa Jeshi la UNAMID akibadilisha mawazo na Balozi Mwinyi, ambapo pamoja na mambo mengine, amesema wanajeshi kutoka JWTZ ambao ni sehemu ya UNAMID wameendelea kuonesha weledi na kujituma kwa hali ya juu katika eneo la ulinzi wa amani, ulinzi wa raia na usimamiaji wa misaada ya kibinadamu. Akasema kutokana na mapingano ya kikabili yanajitokeza mara kwa mara, na kuwa sehemu kubwa ya mapigano hayo yamekuwa yakitokea katika maeneo zilipo kambi za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Serikali ina njia tatu za kurejesha ‘mabilioni ya Uswisi’
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WlnAvDPLmhY/U_9UIT6v_aI/AAAAAAAGMcQ/-dhX1IfmiYs/s72-c/UNAMID-mella.jpg)
UNAMID yasema kujumuishwa kwa waasi wa zamani wa JEM-SUDAN ni dalili za amani Darfur
![](http://4.bp.blogspot.com/-WlnAvDPLmhY/U_9UIT6v_aI/AAAAAAAGMcQ/-dhX1IfmiYs/s1600/UNAMID-mella.jpg)
Kwa mujibu wa Ujumbe wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika huko Darfur, UNAMID umesema hilo ni kundi la kwanza kutoka takribani askari 2700 ambao hatimaye...
10 years ago
Mwananchi02 Aug
BABIE KABAE : Njia pekee ya kufanikiwa ni kujituma
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z8V63pZtSIE/VWM-dY5mscI/AAAAAAAHZts/ql0s-FaiHY4/s72-c/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
Ujasiriamali ndio njia pekee ya kujikomboa kiuchumi
![](http://4.bp.blogspot.com/-z8V63pZtSIE/VWM-dY5mscI/AAAAAAAHZts/ql0s-FaiHY4/s640/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
Na Benjamin Sawe.
Katika ulimwengu wa sasa wenye changamoto kubwa ya ukosefu wa ajira na ushindani wa kila namna ujasiriamali unabaki kuwa dhana pekee inayoweza kuwakomboa vijana kiuchumi na kuwawezesha kutimiza malengo na ndoto walizonazo.
Kutokana na kukithiri kwa idadi kubwa ya vijana wanaohitimu katika ngazi mbali mbali za...
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Jaji Mutungi, fanya haya kurejesha amani Arusha
10 years ago
Bongo521 Nov
Ushirikiano huu wa Afrika Mashariki ndio njia pekee ya kula sahani moja na Wanaijeria!
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ibQ9oTo-Y5w/VWbvewC2TXI/AAAAAAAAeCU/KUjkIgkEJx4/s72-c/1.jpg)
" Wanayapuuza Ya CAG Wanang'ang'ania Ya Richmond Wakiamini Ndo Njia Pekee Ya Kuniaribia
![](http://2.bp.blogspot.com/-ibQ9oTo-Y5w/VWbvewC2TXI/AAAAAAAAeCU/KUjkIgkEJx4/s640/1.jpg)
Kwa nini sakata la Ufujaji umeme wa dharura la kampuni ya Richmond liliolazimu kupangwa upya baraza la mawaziri linazungumzwa kwa nafasi kubwa na wanasiasa hadi sasa, huku ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali-CAG zinazoibua ubadhirifu mkubwa kila mwaka zikisahaulika kirahisi?Kama waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa asingehusishwa na sakata la Richmond kwa namna washindani wake kisiasa wanavyolazimisha, sakata ...
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Mazungumzo ya amani yakwama