Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAZUNGUMZO NJIA PEKEE YA KUREJESHA AMANI YA KUDUMU DARFUR- GEN-MELLA

Jenerali Mella, Kamanda wa Jeshi la UNAMID akibadilisha mawazo na Balozi Mwinyi, ambapo pamoja na mambo mengine, amesema wanajeshi kutoka JWTZ ambao ni sehemu ya UNAMID wameendelea kuonesha weledi na kujituma kwa hali ya juu katika eneo la ulinzi wa amani, ulinzi wa raia na usimamiaji wa misaada ya kibinadamu. Akasema kutokana na mapingano ya kikabili yanajitokeza mara kwa mara, na kuwa sehemu kubwa ya mapigano hayo yamekuwa yakitokea katika maeneo zilipo kambi za...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali ina njia tatu za kurejesha ‘mabilioni ya Uswisi’

Kuna njia tatu ambazo Serikali ya Tanzania ikiamua kuzitumia inaweza kurejesha mabilioni ya fedha zake ambazo zimefichwa nchini Uswisi na kwingineko duniani, Mwananchi limebaini.

 

10 years ago

Michuzi

UNAMID yasema kujumuishwa kwa waasi wa zamani wa JEM-SUDAN ni dalili za amani Darfur

Wiki hii imekuwa njema kwa mustakabali wa jimbo la Darfur ambalo kwa muda mrefu limeshuhudia mgogoro wa wenyewe kwa wenyewe. Hizi ni taarifa za kujumuishwa kwa waasi wa zamani wa kikundi cha JEM-SUDAN kwenye jeshi la kitaifa nchini Sudan kufuatia hatua ya kikundi hicho kutia saini makubaliano ya Doha kuhusu amani Darfur.
Kwa mujibu wa Ujumbe wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika huko Darfur, UNAMID umesema hilo ni kundi la kwanza kutoka takribani askari 2700 ambao hatimaye...

 

10 years ago

Mwananchi

BABIE KABAE : Njia pekee ya kufanikiwa ni kujituma

Kwa mara ya kwanza nilikutana na mwanamke huyu visiwani Zanzibar. Ilikuwa mwaka 2010, kwenye onyesho kubwa la mitindo lililoandaliwa na Nguli Mustafa Hassanali.

 

10 years ago

Michuzi

Ujasiriamali ndio njia pekee ya kujikomboa kiuchumi

Mradi wa Kilimo cha Tangawizi wa kikundi cha ujasiriamlai chaushindi kilichopo katika kijiji cha Mkongotema kata ya Mkongotema tarafa ya Madaba Halmashauri ya Songea.
Na Benjamin Sawe.
Katika ulimwengu wa sasa wenye changamoto kubwa ya ukosefu wa ajira na ushindani wa kila namna ujasiriamali unabaki kuwa dhana pekee inayoweza kuwakomboa vijana kiuchumi na kuwawezesha kutimiza malengo na ndoto walizonazo.
Kutokana na kukithiri kwa idadi kubwa ya vijana wanaohitimu katika ngazi mbali mbali za...

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Mutungi, fanya haya kurejesha amani Arusha

Desemba 6, mwaka huu Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi aliandika historia kwa kuitisha mkutano wa hadhara wa amani jijini Arusha ukishirikisha wadau wa siasa, dini na kijamii Arusha isipokuwa Chadema walioususia dakika za mwisho.

 

10 years ago

Bongo5

Ushirikiano huu wa Afrika Mashariki ndio njia pekee ya kula sahani moja na Wanaijeria!

Kwa mtazamo wetu, Afrika Mashariki haijawahi kuwa na ushirikiano wa karibu kama tunaouona sasa. Hebu tuangalie kwa ufupi.. Turudi nyuma hadi pale Victoria Kimani alipowashirikisha Diamond Platnumz na Ommy Dimpoz kufanya wimbo Prokoto. Shaa alichaguliwa na kituo cha Citizen TV kuwa host wa show yao ya Sakata Mashariki na kiukweli watazamaji wamempokeza vizuri. Shaa huyo […]

 

10 years ago

Vijimambo

" Wanayapuuza Ya CAG Wanang'ang'ania Ya Richmond Wakiamini Ndo Njia Pekee Ya Kuniaribia


Kwa nini sakata la Ufujaji umeme wa dharura la kampuni ya Richmond liliolazimu kupangwa upya baraza la mawaziri linazungumzwa kwa nafasi kubwa na wanasiasa hadi sasa, huku ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali-CAG zinazoibua ubadhirifu mkubwa kila mwaka zikisahaulika kirahisi?Kama waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa asingehusishwa na sakata la Richmond kwa namna washindani wake kisiasa wanavyolazimisha, sakata ...

 

11 years ago

Mwananchi

Mazungumzo ya amani yakwama

Mazungumzo ya kusaka amani kati ya pande mbili hasimu huko Sudan Kusini yamekwama huku mapigano makali kati ya jeshi la Serikali na waasi wanaoongozwa na makamu wa zamani wa Rais wa nchi hiyo Riek Machar yakiendelea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani