Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mathias Eugen Mnyampala

Mtahias Eugen Mnyampala Mathias Eugen Mnyampala alizaliwa  tarehe 18/11/1917 katika Kitongoji cha Muntundya, Ihumwa Wilaya ya Chamwino Mkoa wa Dodoma na kufariki dunia tarehe 8/6/1969. Ni mwandishi na mshairi maarufu wa Kiswahili, mwanaharakati wa kisiasa, mwanasheria  na mwanahistoria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mathias Mnyampala -2

Katika makala ya mwisho kuhusu Mathias Mnyampala niligusia juu ya mchango wake katika lugha ya Kiswahili kwa kuandika vitabu mbalimbali na pia kutunga mashairi. Baadhi ya mashairi yake yaligusia juu ya mazingira ya kawaida ya watu lakini pia kwa kuvichambua vitabu Vitakatifu vya Biblia na Korani.

 

10 years ago

Mwananchi

Mathias Mnyampala

Katika makala ya mwisho kuhusu Mathias Mnyampala niligusia juu ya mchango wake katika lugha ya Kiswahili kwa kuandika vitabu mbalimbali na pia kutunga mashairi. Baadhi ya mashairi yake yaligusia juu ya mazingira ya kawaida ya watu lakini pia kwa kuvichambua vitabu Vitakatifu vya Biblia na Korani.  Ametoa maelezo marefu kuhusu dini ya Kikristo hasa kwa upande wa Injili kutokana na kuwa alikuwa muumini wa madhehebu hayo. Kwa upande wa maelezo kuhusu dini ya Kiislamu alisema katika kitabu...

 

10 years ago

Mwananchi

Mathias Mnyampala (1)

Katika makala ya mwisho kuhusu Mathias Mnyampala niligusia juu ya mchango wake katika lugha ya Kiswahili kwa kuandika vitabu mbalimbali na pia kutunga mashairi. Baadhi ya mashairi yake yaligusia juu ya mazingira ya kawaida ya watu lakini pia kwa kuvichambua vitabu Vitakatifu vya Biblia na Korani.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Tears As MP Eugen Mwaiposa Dies


Tears As MP Eugen Mwaiposa Dies
AllAfrica.com
Dodoma — SHOCK and silence dominated the National Assembly on Tuesday as Deputy Speaker Job Ndugai announced the death of Ukonga Member of Parliament Ms Eugen Mwaiposa, which occurred at her Chadulu residence in this municipality.

 

10 years ago

Michuzi

BUNGE LAAHIRISHWA KUFUATIA KIFO CHA MBUNGE WA UKONGA EUGEN MWAIPOSA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Mhe. Jenista Mhagama (mwenye nguo nyekundu) akimfariji Mwenyekiti wa Bunge Bi. Lediana Mng’ong’o mara baada ya bunge kuahirishwa kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Ukonga Bi. Eugen Mwaiposa. Kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora Bi. Mary Nagu na kushoto ni wabunge James Mbatia na Goodluck Ole Medeye.Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Anjela Kairuki (kushoto) akitoka nje ya ukumbi wa bunge akiwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shughuli ya kuaga mwili wa Mhe. Eugen Mwaiposa aliyekuwa Mbunge wa Ukonga

6

Mwili wa marehemu  Mhe. Eugen Mwaiposa aliyekuwa mbunge wa Ukonga ukiwasili kwenye viwanja vya bunge leo mjini Dodoma kwa ajili ya kuagwa.

12

Wabunge Mhe. Anna Abdalla (kushoto) na Mhe. Ester Bulaya wakiaga mwili wa  marehemu Mhe. Eugen Mwaiposa aliyekuwa mbunge wa Ukonga kwenye viwanja vya bunge leo mjini Dodoma.

4

Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge Wanawake Mhe. Anna Abdallah akimfariji mume wa marehemu Mhe. Eugen Mwaiposa mbunge wa Ukonga aliyefariki usiku wa kuamkia Juni 2 nyumbani kwake...

 

10 years ago

Vijimambo

MWILI WA MHE. EUGEN MWAIPOSA ALIYEKUWA MBUNGE WA UKONGA WAAGWA MJINI DODOMA

6Mwili wa marehemu Mhe. Eugen Mwaiposa aliyekuwa mbunge wa Ukonga ukiwasili kwenye viwanja vya bunge jana mjini Dodoma kwa ajili ya kuagwa.12Wabunge Mhe. Anna Abdalla (kushoto) na Mhe. Ester Bulaya wakiaga mwili wa marehemu Mhe. Eugen Mwaiposa aliyekuwa mbunge wa Ukonga kwenye viwanja vya bunge jana mjini Dodoma.4Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge Wanawake Mhe. Anna Abdallah akimfariji mume wa marehemu Mhe. Eugen Mwaiposa mbunge wa Ukonga aliyefariki usiku wa kuamkia Juni 2 nyumbani kwake mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani