Matokeo jimbo la Kinondoni hakijaeleweka
Wakati matokeo ya ubunge katika jimbo la Kinondoni yakisubiriwa, umati vijana wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba (Ukawa) wamekusanyika nje ya kituo cha kujumlishia matokeo hayo huku wakiimba nyimbo kushinikiza yatangazwe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies29 Jun
Steve Nyerere Atikisa Jimbo la Kinondoni
Staa wa Bongo Movies, Steven Mangere ‘Nyerere’ amewaomba wanawake wasihadaike na kanga na vitenge wakipewa na baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongoziili wawachague.
Steve aliitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam, alipokuwa akitangaza nia yake ya kugombea ubunge jimbo la Kinondoni kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) nakuwahimiza vijana wa Kinondoni wajitokeze kujiandikisha kwenye daftari la kudumu ili waweze kuchagua viongozi watakaoweza kuifikisha Kinondoni sehemu...
10 years ago
VijimamboMAKENE AJITOSA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI
Makene...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhyXd96BV-i864U3jj7c-w5u4GPpOv1pw8uJPn8tC*fhmNvxHdXFLjfcFCkPKK4*K5O7TkqPGE7ufj457OR1r9-R/1.jpg)
STEVE NYERERE ATANGAZA NIA YA KULIWANIA JIMBO LA KINONDONI
10 years ago
MichuziMWANASHERIA MAKENE AREJESHA FOMU KUGOMBEA JIMBO LA KINONDONI
9 years ago
VijimamboMH. IDDI AZZAN AZINDUA KAMPENI JIMBO LA KINONDONI JIJINI DAR
10 years ago
Bongo515 Aug
Steve Nyerere kugombea ubunge jimbo la Kinondoni mwaka 2015
11 years ago
Michuzi02 Aug
MANISPAA YA KINONDONI YAENDELEA NA UTEKELEZA WA ILANI YA CCM JIMBO LA KAWE
![](https://2.bp.blogspot.com/-F0EwJa6bR8M/U9yBEhMRhVI/AAAAAAAAoeM/565CRhnBYu4/s1600/2.+Jengo+la+kupokea+wagonjwa+hospitali+ya+Mabwepande.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-OjprdmDw-ok/U9yAOrnG48I/AAAAAAAAod8/4H1EMS1_3L4/s1600/3.+Yusuf+Mwenda+akizungumza+na+watendaji+wa+Jiji+kwenye+ujenzi+Hospitali+ya+Mabwepande.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
Iddi Azzan azindua kampeni Jimbo la Kinondoni jijini Dar
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge (kushoto) akimtambulisha Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Mh. Iddi Azzan(kulia) mbele ya umati wa wanachama wa chama hicho na wananchi waliofurika katika viwanja vya CCM Mwinjuma Mwananyamala jana jioni, wakati wa uzinduzi wa kampeni kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, katika jimbo hilo, jijini Dar es Salaam.(Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja blog)
Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kwa...
10 years ago
MichuziQS Muhonda arudisha Fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Kinondoni
QS amesema kuwa ameamua kuchukua fomu na kugombea nafasi hiyo ili kuleta maendeleo ya jimbo hilo na pia anauwezo na ufanisi mkubwa wa kuleta maendeleo katika jimbo hilo la Kinondoni, Lakini pia una ushawishi mkubwa kwa vijana ambao ni taifa la leo kuwafanya kuwa nguvu kazi ya Taifa hususan vijana wengi wa kinondoni ambao hawana ajira...