Matokeo kidato cha IV: Shule za Serikali, Seminari, vipaji maalumu zaporomoka
Idadi ya watahiniwa waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka jana imeongezea kwa asilimia 10.8 huku shule za serikali za vipaji maalumu, kongwe na seminari  zikiendelea kuporomoka na mwanafunzi wa kike kutoka Shule ya Sekondari ya Baobab mkoani Pwani, Nyakaho Marungu akiongoza Kitaifa.Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Shule binafsi zatesa matokeo kidato cha nne
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Simulizi za kusisimua shule zilizotamba matokeo kidato cha nne
11 years ago
Michuzi25 Jul
SHULE YA SEKONDARI IWAWA WILAYANI MAKETE YATOA SIRI YA KUFANYA VIZURI MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2014

Na Edwin Moshi, MaketeIkiwa zimepita siku chache tangu kutangazwa matokeo ya kidato cha sita mwaka huu, shule ya sekondari Iwawa iliyoko wilayani Makete mkoani Njombe imetoa siri ya mafanikio ya wanafunzi wake kufaulu na kushika nafasi ya nne kitaifa. Akizungumza na mwandishi wetu ofisini kwake Makamu mkuu wa shule hiyo Mwl. Fadhili Dononda amesema miongoni mwa sababu hizo ni pamoja...
10 years ago
Michuzi
SHULE ZA BINAFSI ZAONGOZA MATOKEO YA MTIHANI WA UTIMILIFU (MOCK) KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KIDATO CHA NNE JIJINI DAR

Na Aron Msigwa -MAELEZO.MATOKEO ya mtihani wa Utimilifu kwa wanafunzi wanaosoma kidato cha nne katika shule za Sekondari za jiji la Dare es salaam yametolewa leo jijini Dar es salaam yakiwa na alama za juu za ufaulu kwa wanafunzi...
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Turudishieni shule zetu za vipaji maalumu
MWISHONI mwa miaka ya 1990 kulikuwa na utaratibu wa kupeleka wanafunzi katika shule zenye vipaji maalumu ili kuwapika zaidi katika fani mbalimbali kama sayansi, biashara na hisabati.
Shule zilizoogopwa ilikuwa ni Ilboru (Arusha), Tanga Technical (Tanga), Mzumbe (Morogoro), Kibaha (Pwani), Tabora Wavulana na Tabora Wasichana (Tabora), Kilakala Wasichana (Morogoro) na nyingine nyingi nilizizisahau hapa.
Wanafunzi waliopelekwa na kumaliza katika shule hizo walionekana makini, baadhi...
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Nini kimezisibu shule kongwe na za vipaji maalumu?
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YAFUNGA SHULE ZA AWALI HADI KIDATO CHA SITA KWA SIKU 30 KUIHAMI NCHI NA CORONA, YAFUNGA PIA MIKUSANYIKO YA SIASA NA MICHEZO
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu hatua za awali zilizochukuliwa na Serikali kutokana na kuwepo nchini virusi vya ugonjwa wa Corona.
DAR ES SALAAM, Tanzania
Serikali imezifunga shule za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30 na pia kuzuia mikusanyiko yoyote ikiwemo ya siasa na michezo ili kuihami nchi na ugonjwa wa Corona ambao umethibishwa kuingia nchini kufuatia kupatikana kwa mgonjwa mmoja wa ugonjwa huo hapa nchini.
Hatua hizo...
10 years ago
PMORALG01 Jul
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Matokeo kidato cha 6 Tanzania