Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Turudishieni shule zetu za vipaji maalumu

MWISHONI mwa miaka ya 1990 kulikuwa na utaratibu wa kupeleka wanafunzi katika shule zenye vipaji maalumu ili kuwapika zaidi katika fani mbalimbali kama sayansi, biashara na hisabati.

Shule zilizoogopwa ilikuwa ni Ilboru (Arusha), Tanga Technical (Tanga), Mzumbe (Morogoro), Kibaha (Pwani), Tabora Wavulana na Tabora Wasichana (Tabora), Kilakala Wasichana (Morogoro) na nyingine nyingi nilizizisahau hapa.

Wanafunzi waliopelekwa na kumaliza katika shule hizo walionekana makini, baadhi...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Nini kimezisibu shule kongwe na za vipaji maalumu?

Hali bado ni taabani kwa shule kongwe za Serikali, zikiwemo zile zinazoelezwa kuwa ni kwa ajili ya wanafunzi wenye vipaji maalumu.

 

10 years ago

Mwananchi

Matokeo kidato cha IV: Shule za Serikali, Seminari, vipaji maalumu zaporomoka

Idadi ya watahiniwa waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka jana imeongezea kwa asilimia 10.8 huku shule za serikali za vipaji maalumu, kongwe na seminari  zikiendelea kuporomoka na mwanafunzi wa kike kutoka Shule ya Sekondari ya Baobab mkoani Pwani, Nyakaho Marungu akiongoza Kitaifa. 

 

9 years ago

Habarileo

Shule ya michezo ya Kikwete kuanza kunoa vipaji Jumatatu

SHULE ya Michezo ya Jakaya Kikwete iliyopo Kidongo Chekundu, Mnazi Mmoja katikati ya Jiji ya Dar es Salaam, Jumatatu ijayo itaanza kutoa mafunzo ya kukuza vipaji vya michezo kwa vijana.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tamasha la kuonyesha vipaji baina ya wanafunzi wa shule za St Mary’s International za Dar lafana

001

Mkurugenzi wa Shule za St Mary’s, mama Getrude Lwakatare akizungumza na wanafunzi wa Shule za St Mary’s International za Dar es Salaam wakati akizundua tamasha la kuonyesha vipaji vya wanafunzi wa Shule za St Mary’s International za Dar es Salaam lililofanyika Novemba 15, 2014 jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).

Na Mwandishi wetu

Tamasha Hilo lililoshirikisha Shule za Mbagala, Tabata na Mbezi Junior lililenga kuonyesha vipaji vya wanafunzi...

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA KUONESHA VIPAJI BAINA YA WANAFUNZI WA SHULE ZA ST MARY'S INTERNATIONAL ZA DAR ES SALAAM LAFANA

 Mkurugenzi wa Shule za St Mary's, mama Getrude Lwakatare akizungumza na wanafunzi wa Shule za St Mary's International za Dar es Salaam wakati akizundua tamasha la kuonyesha vipaji vya wanafunzi wa Shule za St Mary's International za Dar es Salaam lililofanyika mwishoni mwa wiki, jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.PICHA NA PHILEMON SOLOMON Mkurugenzi wa Shule za St Mary's, mama Getrude Lwakatare (kushoto), akikabidhiwa baadhi ya Peni na Meneja Masoko wa Kampuni ya...

 

10 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa Airtel wadhamini ujenzi wa darasa la shule ya watoto wa mahitaji maalumu Pongwe Tanga

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imesaidia ujenzi wa darasa kwa ajili ya watoto wenye ulemavu katika shule ya msingi Pongwe iliyopo nje kidogo ya Jiji la Tanga.Darasa hilo limejengwa ikiwa ni jitihada za kampuni hiyo kusaidia maendeleo ya elimu nchini kupitia mpango wa “ Tunakujali” unaohusisha wafanyakazi wake kuchangia katika shughuli za kijamiiMkurugenzi wa Huduma za jamii wa kampuni ya Airtel Bi Adriana Lyamba amefanya ukaguzi wa ujenzi huo na kuahidi kuendelea kusaidia mpango wa...

 

10 years ago

Vijimambo

STARTIMES YAKABIDHI MSAADA WA CHAKULA SHULE YA MSINGI MAALUMU YA AIRWING JIJINI DAR ES SALAAM

Kutoka kulia ni wafanyakazi wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi. Elena Liu na Paulina Kaka wakifurahia jambo pamoja na Mwalimu wa Shule ya Msingi ya Airwing, Kitengo cha wanafunzi wenye ulemavu wa akili, Bw. Issa Mkasa wakati wa kukabidhi msaada wa vyakula na mahitaji mengineyo shuleni hapo. Akishuhudia tukio hilo kulia ni Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Bi. Fabiola Malisa.Makamu wa Rais wa StarTimes Tanzania, Bi. Zuhura Hanif (mwenye hijab) akikabidhi moja ya msaada wa chakula na mahitaji...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa viti maalumu (CCM) mkoa wa Singida, Bi Martha Mlata achangia ujenzi wa vyoo vya shule ya Kilimani

SAM_2399

Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata (aliyesimama kwenye jukwaa) akiwaongea na wananchi wa Kijiji cha Ibaga,tarafa ya Kirumi ,Mkoani Singida wakati wa ziara yake ya siku moja wilayani hapa yenye lengo la kukiimarisha chama.

SAM_2404

Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata(wa pili kutoka kushoto) akikabidhi vifaa vya michezo kwa timu za soka za kata ya Ibaga.

SAM_2415

Katibu wa CCM wilaya ya Mkalama,Bwana Amosi Shimba (wa pili kutoka kushoto)...

 

11 years ago

BBCSwahili

"Turudishieni wasichana wetu"

Kampeni ya mtandao kushinikiza kuachiliwa wasichana takriban 200 waliotekwa na Boko Haram sasa imeenea katika maeneo mbali mbali

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani