Turudishieni shule zetu za vipaji maalumu
MWISHONI mwa miaka ya 1990 kulikuwa na utaratibu wa kupeleka wanafunzi katika shule zenye vipaji maalumu ili kuwapika zaidi katika fani mbalimbali kama sayansi, biashara na hisabati.
Shule zilizoogopwa ilikuwa ni Ilboru (Arusha), Tanga Technical (Tanga), Mzumbe (Morogoro), Kibaha (Pwani), Tabora Wavulana na Tabora Wasichana (Tabora), Kilakala Wasichana (Morogoro) na nyingine nyingi nilizizisahau hapa.
Wanafunzi waliopelekwa na kumaliza katika shule hizo walionekana makini, baadhi...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Nini kimezisibu shule kongwe na za vipaji maalumu?
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Matokeo kidato cha IV: Shule za Serikali, Seminari, vipaji maalumu zaporomoka
9 years ago
Habarileo05 Nov
Shule ya michezo ya Kikwete kuanza kunoa vipaji Jumatatu
SHULE ya Michezo ya Jakaya Kikwete iliyopo Kidongo Chekundu, Mnazi Mmoja katikati ya Jiji ya Dar es Salaam, Jumatatu ijayo itaanza kutoa mafunzo ya kukuza vipaji vya michezo kwa vijana.
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Tamasha la kuonyesha vipaji baina ya wanafunzi wa shule za St Mary’s International za Dar lafana
Mkurugenzi wa Shule za St Mary’s, mama Getrude Lwakatare akizungumza na wanafunzi wa Shule za St Mary’s International za Dar es Salaam wakati akizundua tamasha la kuonyesha vipaji vya wanafunzi wa Shule za St Mary’s International za Dar es Salaam lililofanyika Novemba 15, 2014 jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).
Na Mwandishi wetu
Tamasha Hilo lililoshirikisha Shule za Mbagala, Tabata na Mbezi Junior lililenga kuonyesha vipaji vya wanafunzi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-e05HgFQrKUU/VGo75HWfYgI/AAAAAAACuz0/zeZBvOz6cL0/s72-c/001.jpg)
TAMASHA LA KUONESHA VIPAJI BAINA YA WANAFUNZI WA SHULE ZA ST MARY'S INTERNATIONAL ZA DAR ES SALAAM LAFANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-e05HgFQrKUU/VGo75HWfYgI/AAAAAAACuz0/zeZBvOz6cL0/s1600/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MOsrf9jLNPE/VGo76xF5tLI/AAAAAAACuz8/8RvE2wejREI/s1600/003.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-neWP6fd9VMs/VRAWjkK37sI/AAAAAAAHMbA/HXrcJ7OmiVg/s72-c/unnamed%2B(67).jpg)
Wafanyakazi wa Airtel wadhamini ujenzi wa darasa la shule ya watoto wa mahitaji maalumu Pongwe Tanga
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-s9vKH3kPN_E/VapkE4152KI/AAAAAAAAR3E/lFqkdNOHWK8/s72-c/1.jpg)
STARTIMES YAKABIDHI MSAADA WA CHAKULA SHULE YA MSINGI MAALUMU YA AIRWING JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-s9vKH3kPN_E/VapkE4152KI/AAAAAAAAR3E/lFqkdNOHWK8/s320/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T_Iqn_wY4D4/VapkCSTgkYI/AAAAAAAAR28/uZ8kYAkRucs/s640/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 May
Mbunge wa viti maalumu (CCM) mkoa wa Singida, Bi Martha Mlata achangia ujenzi wa vyoo vya shule ya Kilimani
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata (aliyesimama kwenye jukwaa) akiwaongea na wananchi wa Kijiji cha Ibaga,tarafa ya Kirumi ,Mkoani Singida wakati wa ziara yake ya siku moja wilayani hapa yenye lengo la kukiimarisha chama.
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata(wa pili kutoka kushoto) akikabidhi vifaa vya michezo kwa timu za soka za kata ya Ibaga.
Katibu wa CCM wilaya ya Mkalama,Bwana Amosi Shimba (wa pili kutoka kushoto)...
11 years ago
BBCSwahili09 May
"Turudishieni wasichana wetu"