Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATOKEO YA KUFUTIWA HATI YA ARDHI.

Na Bashir YakubMakala  zilizopita  nilieleza   mazingira ya  kisheria  ambapo  mtu  anaweza   kunyanganywa  ardhi  yake  na  kufutiwa  hati  miliki  na  hatimye  ardhi  kupewa  mtu  mwingine  au  kukabidhiwa  mikononi  mwa  serikali. Nilieleza  mambo  mengi  ikiwemo   sababu  ambazo  zinaweza  kupelekea mamlaka  za  ardhi  kufuta  hati  miliki  ya mtu.  Pia  nilionya  kuwa unapomiliki  ardhi  sio  kwamba  umemaliza,  hapana,  isipokuwa  kuna umuhimu  mkubwa wa  kuzingatia  na  kufuata...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Viwanja 200 Moshi kufutiwa hati

Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, inamsubiri Rais Jakaya Kikwete aidhinishe ufutwaji wa hati za viwanja 200 ambavyo havijaendelezwa ili ivigawe kwa watu wengine.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WASIOTAKA KUCHUKUA HATI ZA ARDHI

  Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akitoa maelekezo mbele ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Mary Makondo (wa tatu kushoto), Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt John Pima (Wa kwanza kushoto) pamoja na Msajili Msaidizi wa Hati katika ofisi ya Ardhi mkoa wa Arusha Juliana Ngonyani wakati akikagua masijala ya ardhi alipokwenda kuzindua ofisi hiyo jana. Baadhi ya Watendaji wa sekta ya ardhi mkoa wa Arusha na wananchi wakimsikiliza Waziri wa Ardhi Nyumba na...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WALIOTELEKEZA HATI ZAO ZA ARDHI AMBAZO ZIPO TAYARI

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akikata utepe kuzindua ofisi ya ardhi mkoa wa Arusha jana. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Arusha Idd Kimanta, wa tatu kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Mary Makondo na Kulia ni Kamishna Msaidizi wa Ardhi mkoa wa Arusha Leo Komba

Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Maafisa Ardhi nchini kuhakikisha wanawafuatilia wamiliki wa ardhi ambao hati zao zimekamilika lakini...

 

10 years ago

Habarileo

Ada ya ardhi, hati za viwanja kushuka

Waziri wa wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema wizara yake inakusudia kupeleka katika Bunge lijalo la bajeti pendekezo la kupunguza viwango vya ada ya ardhi na malipo ya awali ya maandalizi ya hati kwa lengo kuhakikisha kila mwananchi anakuwa na uwezo wa kulipia na kumiliki hati ya ardhi.

 

10 years ago

Mwananchi

Hatua ya kubadili umiliki wa hati ya ardhi kisheria

Makala hii ni mwendelezo wa makala iliyopita. Umechukua hatua za msingi wakati wa kununua ardhi na umejiridhisha kuwa sasa hiyo ardhi ni mali yako kwa mujibu wa mkataba uliojaza na kusainiwa mbele ya mwanasheria?

 

9 years ago

Michuzi

Mpango mkubwa hati za umiliki ardhi kimila mbioni

Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamSERIKALI  imesema inafanyia kazi mpango mkubwa wa kupima ardhi zinazomilikiwa kimila na kutoa hati kwa wahusika.
Mpango huu ambao uko mbioni kuanza kama majaribio ni moja ya maazimio ya mkutano wa 9 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) uliomalizika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
Akitoa majumuisho ya mkutano huo kwa waandishi wa habari, Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya TNBC, Balozi Ombeni Sefue alisema kuharakishwa kwa mpango wa kutoa hati za umiliki wa...

 

9 years ago

StarTV

Hatimaye kijiji cha Mpago Biharamulo chapatiwa hati ya ardhi

Mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka sita baina ya wakala wa huduma za misitu TFS, Serikali ya kijiji cha Kaniha na halmashauri ya wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera hatimaye umepatiwa ufumbuzi.

Mgogoro huo ulisababisha baadhi ya miradi ya maendeleo kukwama ikiwemo ujenzi wa shule pekee ya msingi Mpago iliyopo kijijini humo.

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Biharamulo Nassib Mbaga wakati akikabidhiwa madarasa mawili na ofisi moja ya shule hiyo...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI LUKUVI AAGIZA HATI ZA ARDHI KUTOLEWA NDANI YA WIKI MOJA

Waziri wa Ardhi Nyunba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akiangalia bango linaloonesha uzinduzi wa Ofisi ya Ardhi mkoa wakati wa hafla fupi ya kuzindua ofisi hiyo mkoa wa Tanga jana, Kulia kwa Waziri wa Ardhi ni Katibu Mkuu Mary Makondo na wa tatu kulia ni Mkuu wa mkoa wa Tanga martine Shigela.
Muonekano wa Ofisi mpya ya Ardhi mkoa wa Tanga ambayo imezinduliwa rasmi jana na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi.
Baadhi ya Wananchi...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: JE WAJUA MUDA WA HATI YA NYUMBA UKIISHA WAWEZA KUNYANGANYWA ARDHI?

Na Bashir YakubKwa wale ambao tayari wana hati za majumba au viwanja wanajua wazi kuwa hati hizo zimeandikwa muda maalum, tofauti na wengi wanavyofikiria hasa wale ambao pengine hawajamiliki ardhi au wanamiliki ardhi lakini hawamiliki nyaraka hii.
 Hati unayopewa ina muda maalum wa kuishi. Sio kweli kwamba ukishapata hati basi ndio umemaliza, hapana. Kama ilivyo kwa bidhaa nyingine au nyaraka nyingine kwa mfano leseni za kuendeshea vipando...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani