Ada ya ardhi, hati za viwanja kushuka
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema wizara yake inakusudia kupeleka katika Bunge lijalo la bajeti pendekezo la kupunguza viwango vya ada ya ardhi na malipo ya awali ya maandalizi ya hati kwa lengo kuhakikisha kila mwananchi anakuwa na uwezo wa kulipia na kumiliki hati ya ardhi.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WASIOTAKA KUCHUKUA HATI ZA ARDHI
5 years ago
CCM BlogWAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WALIOTELEKEZA HATI ZAO ZA ARDHI AMBAZO ZIPO TAYARI
Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Maafisa Ardhi nchini kuhakikisha wanawafuatilia wamiliki wa ardhi ambao hati zao zimekamilika lakini...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Sq-uV924-GU/VW4UKZZSwTI/AAAAAAAHbhE/KtHJy-r6eXY/s72-c/download.jpg)
ZIJUE ADA UNAZOTAKIWA KULIPA UNAPOTAFUTA/ KUBADILI HATI YA NYUMBA/KIWANJA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Sq-uV924-GU/VW4UKZZSwTI/AAAAAAAHbhE/KtHJy-r6eXY/s320/download.jpg)
Na Bashir Yakub.
Watu wengi wanaonunua ardhi wamekuwa wakipata usumbufu mkubwa katika kubadili majina yaani kutoka mmiliki wa mwanzo kwenda kwa mmilki mpya aliyenunua. Upo usumbufu ambao husababishwa kwa makusudi na maafisa wanaohusika lakini pia upo usumbufu ambao husababishwa na watu wenyewe wanaotaka kubadili majina.
K,Wengi huanza muamala huu bila kuwa na taarifa kamili za nini kinahitajika kwa maana ya nyaraka ikiwemo ada au ...
10 years ago
Habarileo22 Mar
Wasiolipa ada za ardhi kukiona
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi, William Lukuvi, ameagiza halmashauri zote nchini kutoa notisi ya kufuta hati za wamiliki wote wasiolipa ada za ardhi kwenye maeneo yenye migogoro ya ardhi ambayo haiendelezwi kisheria.
10 years ago
Habarileo09 Jun
Kodi, ada za ardhi zapunguzwa
SERIKALI imepunguza viwango vya kodi, ada na tozo mbalimbali za ardhi ili kuzifanya ziwe rafiki zaidi kwa wananchi.
9 years ago
Michuzi28 Sep
VIWANJA 53 VYENYE HATI NA NYUMBA VINAUZWA.
2. Nyumba 3 zinauzwa, zipo Mwananyamala “A”, moja vyumba 12, nyingine vyumba 6 na nyingine vyumba 4. Zote zina leseni ya makazi, gari mpaka mlangoni, umeme upo. Kila moja bei milioni 65.
3. Nyumba yenye geti la gari, vyumba 4, kimoja master, umeme, sebule, dining, jiko, stoo, na hati...
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Viwanja 200 Moshi kufutiwa hati
10 years ago
Habarileo13 Jun
DC: Pelekeni hati za viwanja kwa watendaji
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amewataka wakazi wa wilaya hiyo kupeleka kivuli cha hati au nyaraka inayotoa uhalali wa umiliki wa ardhi, shamba ama kiwanja kwa watendaji wao wa kata, lengo likiwa ni kuzuia migogoro ya ardhi ambayo imekuwa kero kubwa katika wilaya hiyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx92AZdy-v67KjCiTuvfRiNCLBPYbfvXKC-zs5zgX3QXjq8gTCCw5o3brPE1h00KTvWeyUKKXjwuxmwrvr2pga5c/MBASHA.jpg)
EMMANUEL MBASHA ALIZWA HATI ZA NYUMBA, VIWANJA