EMMANUEL MBASHA ALIZWA HATI ZA NYUMBA, VIWANJA
![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx92AZdy-v67KjCiTuvfRiNCLBPYbfvXKC-zs5zgX3QXjq8gTCCw5o3brPE1h00KTvWeyUKKXjwuxmwrvr2pga5c/MBASHA.jpg)
Stori:Â Â ShAkoor Jongo MAJANGA! Siku chache baada ya kuachiwa kwa dhamana katika kesi ya kudaiwa kumbaka shemejiye, mwimbaji wa Injili na mfanyabiashara Bongo, Emmanuel Mbasha amedaiwa kuibiwa hati za nyumba na viwanja. Mfanyabiashara Bongo, Emmanuel Mbasha mume wa Flora Mbasha. Chanzo makini kilichomo ndani ya familia, kimedai kuwa mara baada ya Mbasha kujitokeza na kuwekwa mahabusu Juni 17, mwaka huu, mtu asiyejulikana...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi28 Sep
VIWANJA 53 VYENYE HATI NA NYUMBA VINAUZWA.
2. Nyumba 3 zinauzwa, zipo Mwananyamala “A”, moja vyumba 12, nyingine vyumba 6 na nyingine vyumba 4. Zote zina leseni ya makazi, gari mpaka mlangoni, umeme upo. Kila moja bei milioni 65.
3. Nyumba yenye geti la gari, vyumba 4, kimoja master, umeme, sebule, dining, jiko, stoo, na hati...
9 years ago
VijimamboEMMANUEL MBASHA NI NANI ALIKUROGA???
Ndoa na mapenzi ni mambo ambayo mara nyingi huwa hayaingiliwi,yametawaliwa na msemo kuwa'mapenzi ni wawili tu akiongezeka wa tatu ni mchawi',lakini pia huwa inapobidi watu wanaingilia hasa pale wahusika au mhusika mmoja anapovuka mstari mwekundu,Hakuna asiyejua sakata la mbasha na mkewe flora,huyu jamaa alituhumiwa kumbaka shemeji yake,mmoja wa shahidi muhimu upande wa mashtaka alikuwa mkewe flora,ina maana flora alitaka mumewe aozee jela,na kweli wakati kesi ikiendelea flora alienda...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6MgXzqQGy3nsIwTv3mgaEwitcZKQMNT*YcTXp7n2rA2Er*TErvyJwNvhaj8NePiBLgoNk88E3EfZClW75*qWfm82xwTE5-fP/13.gif)
EMMANUEL MBASHA AACHIWA HURU
11 years ago
IPPmedia18 Jun
Gospel singer, Emmanuel Mbasha
IPPmedia
IPPmedia
Businessman cum gospel singer Emmanuel Mbasha, a husband of Flora yesterday appeared at the Ilala District Court in Dar es Salaam charged with two alleged offences of rape. The prosecution led by Senior State attorney Nasoro Katuga claimed before ...
10 years ago
GPL08 Sep
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w9JIhnUgjg8RrkpbND0Fiisf-x0Kvr6oJr*BvjJRZkfhwh3FOqWcEBClPgBQyWDlscFZFCuCDjFWrAC5Ws3mYuTknAixB6lX/BARUANZITO.jpg)
EMMANUEL, FLORA MBASHA NINI KIPO NYUMA YENU?
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7VwSlJttUKM/VgAnKbXXfxI/AAAAAAAH6jE/DAvc0bd89YA/s72-c/mbasha%252Bpic.jpg)
MAHAKAMA YAMWACHIA HURU EMMANUEL MBASHA KESI YA UBAKAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7VwSlJttUKM/VgAnKbXXfxI/AAAAAAAH6jE/DAvc0bd89YA/s640/mbasha%252Bpic.jpg)
Kulia ni msanii wa Nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha (32) aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya ubakaji leo aliachiwa huru na Mahakama ya Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam, baada ya ushahidi uliotolewa na upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha tuhuma hizo. Mbasha ambaye pia ni mume wa msanii wa nyimbo za injili nchini, Flora Mbasha, alipiga magoti na kuangua kilio nje ya mahakama baada ya kusomwa hukumu hiyo iliyomwachia huru dhidi ya tuhuma za...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RwgvJ_oE1-4/VPldz3-K1sI/AAAAAAAApiA/tdqT9Gug2dQ/s72-c/kumbaka.jpg)
Emmanuel Mbasha Amwaga Machozi Mahakani..Sakata la Kumbaka Shemeji Yake
![](http://4.bp.blogspot.com/-RwgvJ_oE1-4/VPldz3-K1sI/AAAAAAAApiA/tdqT9Gug2dQ/s640/kumbaka.jpg)
9 years ago
Vijimambo21 Sep
Picha nje ya Mahakama baada ya Mwimbaji wa Gospel Emmanuel Mbasha kushinda kesi ya kubaka
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.58.52-AM.png?zoom=2&resize=660%2C400)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.58.58-AM.png?zoom=2&resize=620%2C413)
Emmanuel Mbasha akiwa amepiga magoti huku akitokwa machozi nje ya Mahakama ya Ilala, Dar es Salaam baada ya Hukumu kutolewa. Hizi hapa Picha nje ya Mahakama ya Ilala baada ya Hukumu kutolewa Mahakamani na Emmanuel Mbasha kutoka nje ya Mahakama.
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.05-AM.png?zoom=2&resize=620%2C414)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.12-AM.png?zoom=2&resize=620%2C413)
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.36-AM.png?zoom=2&resize=620%2C391)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.21-AM.png?zoom=2&resize=362%2C493)
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.28-AM.png?zoom=2&resize=364%2C480)
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.42-AM.png?zoom=2&resize=620%2C413)
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.49-AM.png?zoom=2&resize=620%2C408)
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.57-AM.png?zoom=2&resize=366%2C549)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-12.00.02-PM.png?zoom=2&resize=359%2C540)
millardayo.com