Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATUKIO BUNGENI LEO DODOMA.

 Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman akipiga kura leo kwenye ukumbi wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma kupitisha Sura na Ibara za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman akisindikizwa kutoka ndani ya ukumbi wa Bunge Maalum leo mjini Dodoma na Askari Polisi.  Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman (mwenye Kaunda suti ya kijivu) akisindikizwa kutoka nje ya viwanja vya Bunge Maalum la Katiba leo mjini...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Global Publishers

Matukio Ya Bungeni Mjini Dodoma Leo

 Spika wa Bunge la Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiingia katika ukumbi wa Bunge kuongoza kikao cha saba cha bunge la kumi na moja leo mjini Dodoma.  Spika wa Bunge la Jmahuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiongoza kikao cha saba cha bunge la kumi na moja ambapo pia alisema kiasi cha shilingi milioni themanini na tano na laki tano zimechangwa kutokana na makato ya posho ya siku moja yawabunge kwa ajili ya kusaidia waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani...

 

5 years ago

CCM Blog

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI LEO DODOMA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mpwapwa, George Lubeleje, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 16, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kuteuliwa  Shamsi Vuai Nahodha, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 16, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na...

 

5 years ago

CCM Blog

MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI DODOMA LEO

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mvomero,  Suleiman Ahmed Saddiq kwenye Viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 15, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa  Kiembesamaki, Ibrahim Raza kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 15, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Baraza la Wawakilishi, Amina Mabrouk kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 15, 2020. (Picha...

 

11 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali kutoka bungeni mjini Dodoma leo

PG4A2298

 

Mbunge wa Mwibara Kange Lugola  akiomba kura za kuwania nafasi ya Mjumbe  wa Tume ya Utumishi Bungeni kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.

PG4A2310

Mbunge wa Mwibara akivua bango alilokuwaameva wakati akiomba kura kwa wabunge za kuwania kuteuliwa kuwa  Mjumbe wa Tume ya  Utumishi  Bungeni kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma Juni 11, 2014. Aliamriwa kuvua bango hilo na Spika wa Bunge Anne Makinda. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A2314

 

PG4A2347

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Mwanza...

 

10 years ago

Michuzi

MATUKIO YA PICHA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

 Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhandishi Athumani Mfutakamba akisoma taarifa ya kamati hiyo kwa niaba ya mwenyekiti wa kamati hiyo bungeni mjini Dodoma. Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, Jasson Rweikiza akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo. Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge yaMasuala ya Ukimwi Lediana Mng'ong'o akiwasilisha taarifa ya kamati yake. Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akiuliza swali wakati wa kipindi cha maswali na...

 

5 years ago

Michuzi

MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI LEO JIJINI DODOMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wabunge, kutoka kushoto ni Mbunge wa Lulindi Jerome Bwanausi na Mbunge wa Chemba Juma Nkamia, Bungeni jijini Dodoma, Juni, 8, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Korogwe Mjini, Mary Chatanda, Bungeni jijini Dodoma, Juni, 8, 2020

 

5 years ago

Michuzi

MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI JIJINI DODOMA LEO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimpongeza Mbunge wa Momba, David Silinde baada ya kuchangia Azimio la kumpongeza Rais John Magufuli  kwa namna alivyoongoza taifa katika mapambano dhidi ya janga la Corona, Bungeni jijini Dodoma, Juni, 8, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

10 years ago

Dewji Blog

Matukio katika picha kutoka Bungeni mjini Dodoma leo

PG4A1852

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A1896

PG4A1867

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014. Wapili kushoto ni Naibu  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani