Matukio ya uhalifu yaongezeka
MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Kamishna Isaya Mungulu, amesema matukio ya uhalifu yaliyoripotiwa mwaka huu ni 66,906. Mungulu alisema hayo mbele ya waandishi wa habari jijini Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bARtdSjg88I/XnVMeHFqVVI/AAAAAAALklM/yAuB_sdRWQkFrg6T3UYtWyoXxwXHiU-vwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200320-WA0055.jpg)
MATUKIO MBALIMBALI YA UHALIFU MKOA WA PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-bARtdSjg88I/XnVMeHFqVVI/AAAAAAALklM/yAuB_sdRWQkFrg6T3UYtWyoXxwXHiU-vwCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200320-WA0055.jpg)
JESHI la Polisi mkoani Pwani, kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji wamefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 51, raia wa Ethiopia waliokuwa wameingia nchini kupitia bandari bubu ya Makurunge katika wilaya ya Bagamoyo.
Idadi hiyo inafikia wahamiaji haramu 100 baada ya wengine 49 kukamatwa juzi Kidomole, Fukayose.
Kamanda wa polisi mkoani hapa,Wankyo Nyigesa alieleza, raia hao wamekabidhiwa kwa vyombo vya dola kwa taratibu za kisheria .
"Raia hawa wa Ethiopia wamekamatwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MJlRoZLzYVI/XtoVUxc98NI/AAAAAAALsrg/gRbPFfjjYK40ipG9oulZN4vx-d-7HJatwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2BNo.1.jpg)
Polisi Arusha wapongezwa kupunguza matukio ya uhalifu
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amelipongeza Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kwa kufanikiwa kupunguza na kudhibiti matukio ya uhalifu hali ambayo imepelekea shughuli za kiuchumi kufanyika kwa amani hasa utalii.
Alitoa pongezi hizo wakati akifungua kikao kazi kilichohusisha Maafisa wa Polisi pamoja na Polisi Kata 157 toka kata zote za Mkoa wa Arusha ambacho kilikua na lengo la kukumbushana wajibu wa Polisi Kabla, wakati na baada ya uchaguzi.
Amesema...
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Taarifa ya Polisi Arusha ya matukio ya uhalifu na majina ya watuhumiwa wanaopandishwa kizimbani
Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, SACP, Liberatus Sabas.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI JESHI LA POLISI TANZANIA
Ndugu Wanahabari, Mtakumbuka Kuwa Wiki Moja Iliyopita Jeshi La Polisi Lilitoa Taarifa Kwa Umma Juu Ya Watuhumiwa Sita Waliokamatwa Na Kufikishwa Mahakamani Kuhusiana Na Tukio La Mlipuko Wa Bomu Uliotokea Tarehe 07/07/2014 Katika Mgahawa Wa Vama Uliopo Maeneo Ya Viwanja Vya Gymkana Jijini Arusha.
Taarifa Hiyo Ilizungumzia Pia Tukio La Kukamatwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mv-gaqThutQ/Xn9NDIBwKpI/AAAAAAALlZU/asfiYKpU7E8OGVnsTHA21b36_A438Q9JgCLcBGAsYHQ/s72-c/5176c794-3a25-48da-94f1-aa1f6d914a01.jpg)
MATUKIO YA UHALIFU NCHINI YAPUNGUA KWA ASILIMIA 3.2 MAKOSA YA BARABARANI NAYO YAPUNGUA
IDADI ya matukio ya uhalifu nchini imepungua katika kipindi cha mwezi Januari na Februari mwaka huu ukilinganisha na kipindi kama hicho kwa mwaka 2019 .
Takwimu zinaonesha ndani ya kipindi cha mwaka huu matukio ya uhalifu 9,263 yaliripotiwa ukilinganisha na matukio 9,572 yaliyoripotiwa katika kipindi kama hicho cha mwaka jana hivyo kuwa na upungufu wa matukio 309 sawa na asilimia 3.2.
Akitoa taarifa hiyo mbele ya wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Mkurugenzi wa...
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Masaibu ya VolksWagen yaongezeka
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
WHO:Ebola yaongezeka Guinea na S Leone
10 years ago
BBCSwahili02 Oct
Ebola:Maambukizi yaongezeka S Leone
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Prolife: Kasi ya kansa yaongezeka
SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu nchini (Prolife) limesema kasi ya magonjwa ya kansa ya shingo ya kizazi na ya matiti inaongezeka kutokana na matumizi ya dawa za vidhibiti mimba....
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Kasi ya kujiunga na ugaidi yaongezeka