Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATUKIO MBALIMBALI YA UHALIFU MKOA WA PWANI

NA MWAMVUA MWINYI, PWANI
JESHI la Polisi mkoani Pwani, kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji wamefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 51, raia wa Ethiopia waliokuwa wameingia nchini kupitia bandari bubu ya Makurunge katika wilaya ya Bagamoyo.

Idadi hiyo inafikia wahamiaji haramu 100 baada ya wengine 49 kukamatwa juzi Kidomole, Fukayose.
Kamanda wa polisi mkoani hapa,Wankyo Nyigesa alieleza, raia hao wamekabidhiwa kwa vyombo vya dola kwa taratibu za kisheria .
"Raia hawa wa Ethiopia wamekamatwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAWASHIKILIA WATU AROBAINI NA TANO KWA MAKOSA MBALIMBALI YA UHALIFU

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi David A. Misime - SACP
Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linashikilia arobaini na tano kwa makosa mbalimbali ya uhalifu katika msako wa wahalifu uliofanyika tarehe kati ya tarehe 27/02/2014 hadi 01/03/2014.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi David A. Misime - SACP amesema tarehe 27/02/2014 walikamatwa jumla a watuhumiwa 42 kwa makosa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali ya Waziri Mkuu Pinda katika ziara yake mkoa wa Iringa

PG4A1831

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Chief wa Wahehe , Adam Abdu Sapi Mkwawa   wakati alipokwenda nyumbani kwa Chief huyo, Kalenga Iringa  Februari 20, 2015 kuhani msiba wa baba yake Chief huyo, Marehemu Abdu Adam Sapi Mkwawa uliotokea hivi karibuni. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1839

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akishiriki katika dua mbele ya kaburi la marehemu Abdu Adam Sapi Mkwawa   wakati alipokwenda nyumbani kwa Chief huyo, Kalenga Iringa kuhani Februari  20, 2015.

PG4A1866

Waziri Mkuu,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matukio ya uhalifu yaongezeka

MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Kamishna Isaya Mungulu, amesema matukio ya uhalifu yaliyoripotiwa mwaka huu ni 66,906. Mungulu alisema hayo mbele ya waandishi wa habari jijini Dar...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AMALIZA KAMPENI ZAKE MKOA WA LINDI,AANZA MKOA WA PWANI KWA KISHINDO

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa mkuranga jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni.Dkt Magufuli amemaliza kampeni zake mkoa wa Lindi na baade ameendelea na kampeni zake ndani ya mkoa wa Pwani,ambapo anatarajia kujinadi maeneo mbalimbali ya mkoa Pwani katika kuwaomba ridhaa ya kuwaongoza wananchi katika awamu ya tano,katika uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyia Oktoba 25 mwaka huu.Mgombea Urais wa...

 

5 years ago

Michuzi

Polisi Arusha wapongezwa kupunguza matukio ya uhalifu

Na Gasto Kwirini wa Jeshi la Polisi Arusha

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amelipongeza Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kwa kufanikiwa kupunguza na kudhibiti matukio ya uhalifu hali ambayo imepelekea shughuli za kiuchumi kufanyika kwa amani hasa utalii.

Alitoa pongezi hizo wakati akifungua kikao kazi kilichohusisha Maafisa wa Polisi pamoja na Polisi Kata 157 toka kata zote za Mkoa wa Arusha ambacho kilikua na lengo la kukumbushana wajibu wa Polisi Kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

Amesema...

 

11 years ago

Habarileo

Pwani yakumbwa na matukio 301 ya ubakaji

ZIKIWA zimebaki siku tano kuingia mwaka 2014, Mkoa wa Pwani umeripotiwa kukumbwa na makosa 301 ya ubakaji.

 

11 years ago

Dewji Blog

Taarifa ya Polisi Arusha ya matukio ya uhalifu na majina ya watuhumiwa wanaopandishwa kizimbani

LiberatusSabas

Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, SACP, Liberatus Sabas.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI JESHI LA POLISI TANZANIA

Ndugu Wanahabari, Mtakumbuka Kuwa Wiki Moja Iliyopita Jeshi La Polisi Lilitoa Taarifa Kwa Umma Juu Ya Watuhumiwa Sita Waliokamatwa Na Kufikishwa Mahakamani Kuhusiana Na Tukio La Mlipuko Wa Bomu Uliotokea Tarehe 07/07/2014 Katika Mgahawa Wa Vama Uliopo Maeneo Ya Viwanja Vya Gymkana Jijini Arusha.

Taarifa Hiyo Ilizungumzia Pia Tukio La Kukamatwa...

 

9 years ago

GPL

MATUKIO MBALIMBALI YA MSIBA WA FILIKUNJOMBE

Mke wa marehemu Deogratius Filikunjombe, Sarah Filikunjombe (katikati) akifarijiwa. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake, Anne Makinda, akimfariji mke wa marehemu. Anne Makinda…

 

11 years ago

GPL

MATUKIO MBALIMBALI JIJINI DAR

Hii ni ajali iliotokea maeneo ya Magomeni- Moroco, jijini Dar. Ilihusisha pikipiki na gari hali ambayo ilisababisha foleni kubwa ya magari mengine. Mashabiki wa mpira wa miguu wakinunua tiketi za mechi ya Yanga dhidi ya Al Ahly toka Cairo Misri pembeni mwa kituo cha Uwanja wa Taifa, jijini Dar.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani