Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATUKIO MBALIMBALI YA MSIBA WA FILIKUNJOMBE

Mke wa marehemu Deogratius Filikunjombe, Sarah Filikunjombe (katikati) akifarijiwa. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake, Anne Makinda, akimfariji mke wa marehemu. Anne Makinda…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MSIBA WA FILIKUNJOMBE, WENGI WAZIMIA LUDEWA

Gabriel Ng’osha Chema hakidumu! Vilio na majonzi vimelitawala Jimbo la Ludewa na nchi nzima kwa jumla, huku mamia ya wakazi wa jimbo hilo lililokuwa likiongozwa na mchapakazi, marehemu Deo Filikunjombe aliyeaga dunia Alhamisi iliyopita kwa ajali ya helkopta iliyotokea katika Hifadhi ya Selous eneo la Msolwa mkoani Morogoro, wamezimia kutokana na mapenzi ya dhati waliyokuwa nayo kwa shujaa wao huyo. Mke wa Filikunjombe akilia...

 

9 years ago

GPL

TASWIRA ZA MSIBA NYUMBANI KWA FILIKUNJOMBE, MBAGALA KIJICHI-DAR

Aliyekuwa Mbunge wa Ludewa kwa tiketi ya CCM, Deogratias Filikunjombe, enzi za uhai wake. Mke wa marehemu Deogratias Filikunjombe, Sarah Filikunjombe (kushoto) akilia kwa uchungu baada ya kupata tarifa za kifo cha mumewe. Ndugu, jamaa na marafiki wakionekana wenye huzuni nyumbani kwa Deogratias Filikunjombe.…

 

11 years ago

GPL

MATUKIO MBALIMBALI JIJINI DAR

Hii ni ajali iliotokea maeneo ya Magomeni- Moroco, jijini Dar. Ilihusisha pikipiki na gari hali ambayo ilisababisha foleni kubwa ya magari mengine. Mashabiki wa mpira wa miguu wakinunua tiketi za mechi ya Yanga dhidi ya Al Ahly toka Cairo Misri pembeni mwa kituo cha Uwanja wa Taifa, jijini Dar.…

 

10 years ago

Michuzi

MATUKIO MBALIMBLI KATIKA MSIBA WA MUFTI MKUU WA TANZANIA

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akitoa neno kwa umati wa waombolezaji katika msiba wa Mufti mkuu Issa Shaban Bin Simba nyumbani katika Mtaa wa Majengo mjini Shinyanga, baada ya mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Nguzo Nane mjini humo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji mke wa aliyekuwa Mufti Mkuu wa Tanzania, Marehemu Shaaban Issa Bin Simba, Bi Makaje Goso, wakati...

 

5 years ago

Michuzi

MATUKIO MBALIMBALI YA UHALIFU MKOA WA PWANI

NA MWAMVUA MWINYI, PWANI
JESHI la Polisi mkoani Pwani, kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji wamefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 51, raia wa Ethiopia waliokuwa wameingia nchini kupitia bandari bubu ya Makurunge katika wilaya ya Bagamoyo.

Idadi hiyo inafikia wahamiaji haramu 100 baada ya wengine 49 kukamatwa juzi Kidomole, Fukayose.
Kamanda wa polisi mkoani hapa,Wankyo Nyigesa alieleza, raia hao wamekabidhiwa kwa vyombo vya dola kwa taratibu za kisheria .
"Raia hawa wa Ethiopia wamekamatwa...

 

10 years ago

Michuzi

HABARI MBALIMBALI PAMOJA NA MATUKIO YANAYOENDELEA BUNGENI


Uongozi wa mabigwa wa soka nchini Yanga umethibitisha kumsajili kihalali mchezaji Geofrey Mwashuya kutokaKimondo FC ya mbeya.  https://youtu.be/cYGXZTeWWOw
Watuhumiwa wanne mkoani mbeya wamehukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kufanya mauaji ya Mlemavu wa ngozi   http://youtu.be/_hXJgsMGqiI
SIMUtv:  Chile imefanikiwa kutinga  fainali za Copa Amerika baada ya kuifunga Peru bao 2-1 katika mechi ya nusu fainali mjini Santiago.   http://youtu.be/URSePAX6_ho


BUNGE.
TBC
SIMUtv: ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Matukio mbalimbali kutoka Bungeni mjini Dodoma

PG4A3749

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na madiwani kutoka jimbo la Mkuranga kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 24, 2014. Madiwani hao walikwenda  Bungeni kwa mwaliko wa Mbunge wao, Adam Malima ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A3758

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  akizungumza na  Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema, Bungeni mjini Dodoma.

PG4A3768

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na  Mbunge wa Mtwara Mjini  Hasnan Murji,bungeni mjini Dodoma Juni 25, 2014. (Picha...

 

10 years ago

Vijimambo

Matukio Msiba wa Mama Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale Jijini Dar

Bi. Twitikege Mlagha Mafumu enzi za uhai wake Baadhi ya waombolezaji wakitoa pole kwa ndugu na jamaa katika msiba wa  marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mafumu, ambaye ni mama mzazi wa wanahabari Kulwa, Dotto na Nico Mwaibale Mbagala Kuu, jijini Dar es Salaam. Baadhi ya waombolezaji wakiwa katika msiba wa Bi. Twitikege Mlagha Mafumu unaofanyika jijini Dar es Salaam.  Baadhi ya waombolezaji wakiwa katika msiba wa Bi. Twitikege Mlagha Mafumu unaofanyika jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya waombolezaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani