Pwani yakumbwa na matukio 301 ya ubakaji
ZIKIWA zimebaki siku tano kuingia mwaka 2014, Mkoa wa Pwani umeripotiwa kukumbwa na makosa 301 ya ubakaji.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Ubakaji waongezeka Pwani
JUMLA ya matukio 438 yameripotiwa mkoani Pwani kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita ambapo kati ya hayo 301 ni ya ubakaji ambayo yanaonekana kuongezeka. Akizungumzia juu ya utekelezaji wa masuala...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bARtdSjg88I/XnVMeHFqVVI/AAAAAAALklM/yAuB_sdRWQkFrg6T3UYtWyoXxwXHiU-vwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200320-WA0055.jpg)
MATUKIO MBALIMBALI YA UHALIFU MKOA WA PWANI
NA MWAMVUA MWINYI, PWANI![](https://1.bp.blogspot.com/-bARtdSjg88I/XnVMeHFqVVI/AAAAAAALklM/yAuB_sdRWQkFrg6T3UYtWyoXxwXHiU-vwCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200320-WA0055.jpg)
JESHI la Polisi mkoani Pwani, kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji wamefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 51, raia wa Ethiopia waliokuwa wameingia nchini kupitia bandari bubu ya Makurunge katika wilaya ya Bagamoyo.
Idadi hiyo inafikia wahamiaji haramu 100 baada ya wengine 49 kukamatwa juzi Kidomole, Fukayose.
Kamanda wa polisi mkoani hapa,Wankyo Nyigesa alieleza, raia hao wamekabidhiwa kwa vyombo vya dola kwa taratibu za kisheria .
"Raia hawa wa Ethiopia wamekamatwa...
![](https://1.bp.blogspot.com/-bARtdSjg88I/XnVMeHFqVVI/AAAAAAALklM/yAuB_sdRWQkFrg6T3UYtWyoXxwXHiU-vwCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200320-WA0055.jpg)
JESHI la Polisi mkoani Pwani, kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji wamefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 51, raia wa Ethiopia waliokuwa wameingia nchini kupitia bandari bubu ya Makurunge katika wilaya ya Bagamoyo.
Idadi hiyo inafikia wahamiaji haramu 100 baada ya wengine 49 kukamatwa juzi Kidomole, Fukayose.
Kamanda wa polisi mkoani hapa,Wankyo Nyigesa alieleza, raia hao wamekabidhiwa kwa vyombo vya dola kwa taratibu za kisheria .
"Raia hawa wa Ethiopia wamekamatwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m-UH8-frWM8/XoXYoKx411I/AAAAAAAC81U/jEq2_isy2HE9JUMtTmvQskYf73DW-hR7wCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA JAJI KIONGOZI MAHAKAMA-PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-m-UH8-frWM8/XoXYoKx411I/AAAAAAAC81U/jEq2_isy2HE9JUMtTmvQskYf73DW-hR7wCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MkINchwE4R4/XoXYpPkTa0I/AAAAAAAC81g/-pIs7yJCu_o4lBEbJCEuZUtDwG2MDkVpQCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-T749dCwfA7I/XoXYpcc5yaI/AAAAAAAC81k/kK39vDzXaQYJ0VOo63sWnFxBVIWYHms-QCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
11 years ago
Habarileo29 May
Bilioni 301/- zapotea kwa uchafu wa mazingira
TANZANIA inapoteza jumla ya shilingi bilioni 301 kila mwaka kama gharama ya kukabiliana na madhara ya uchafu wa mazingira.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-U9xMl4ww11c/VLuReEr_QUI/AAAAAAAG-I0/OpQe2ESskuU/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-01-18%2Bat%2B1.53.39%2BPM.png)
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Dar yakumbwa na kipindupindu
Ugonjwa wa kipindupindu umeingia Dar es Salaam na kusababisha watu wawili kupoteza maisha na wengine 26 kulazwa katika hospitali za Mwananyamala na Sinza.
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
TZ: TAZARA yakumbwa na mgomo
Nchini Tanzania Wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia TAZARA wameanza mgomo wa siku saba wakishinikiza Serikali kuwalipa malimbikizo ya mishahara ya miezi mitano hadi sasa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NaifIncoRODgz0OkWCA*gWxCFwZpW1hFr*vkFDH8CP0Xz2d7Gd6koOcTiYQoYNli0heXdkKFJFcIRiVDQAzX5LcC/BACKAMANI.jpg?width=650)
FAMILIA YAKUMBWA NA MAUZAUZA
Chande Abdallah na Deogratius Mongela
INATISHA! Familia ya Zidadu Kasimu (34) inayoishi Mlandizi, Pwani inakumbwa na mauzauza nyakati za usiku kwenye nyumba yao baada ya wageni wanaofika na kulala vyumbani kusimulia visa vya kutisha vinavyohusisha ushirikina. Baba mama na mtoto wao wakiwa na huzuni. Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Zidadu alisema vitimbwi hivyo vilianza mwaka 2004 baada ya wageni wake...
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Nigeria yakumbwa na mzozo wa mafuta
Misururu mirefu imeonekana kwenye vituo vya uuzaji mafuta nchini Nigeria,kutokana na sababu ya kuwepo mgawanyiko baina ya serikali na waagizaji.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania