Matumizi ya Magogo viwandani marufuku - Waziri Mahenge
![](http://4.bp.blogspot.com/-WNRV2_tmsIc/U89YxSefw5I/AAAAAAAF5AY/RY5ux-JNR3I/s72-c/unnamed.jpg)
Wawekezaji wote Nchini wanatakiwa kuhakikisha wanaacha kutumia magogo katika uzalishaji badala yake watumie tekinolojia ya kisasa ili kuepuka mabadiliko ya tabia ya nchi na uchafuzi wa Mazingira yanayotokana na ukataji miti. Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mh.Dkt. Injinia Binilith Mahenge wakati alipofanya ziara ya kutembelea kiwanda cha kutengeneza sabuni na mafuta ya kupikia (BIDCO) kilichopo mikocheni jijini Dar es Salaam. Amekiagiza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Mbene: Wizara haitoi vibali matumizi ya magogo
SERIKALI kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara, imesema haina mamlaka ya kutoa vibali vya matumizi ya magogo ya miti kwa ajili ya viwanda. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu...
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Waziri Mahenge awa ‘mbogo’ Dar
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EON2CuxRDFo/VWgrWIaaVTI/AAAAAAAHajc/k4nHroEH2-w/s72-c/PIX-1-2.jpg)
Tanzania kukabiliana na Uharibifu wa Mazingira - Waziri Mahenge
![](http://1.bp.blogspot.com/-EON2CuxRDFo/VWgrWIaaVTI/AAAAAAAHajc/k4nHroEH2-w/s400/PIX-1-2.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais ( Mazingira), Dk. Binilith Mahenge amesema kuwa Serikali inaendelea kukabiliana na changamoto za uharibifu wa mazingira kwa kuhamasisha utekelezaji wa mipango ya kitaifa ya kuhifadhi mazingira pamoja na miongozo yake.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani ambayo hufanyika tarehe 5 Juni kila mwaka ambapo mwaka huu maadhimisho...
10 years ago
MichuziWaziri Mahenge aendelea na ziara mkoani Tanga
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5HuR_7WT8lE/VIk0XhY26rI/AAAAAAAG2bI/axZ1Ktmqjro/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Ummy Mwalimu afanya ukaguzi wa mazingira viwandani
![](http://4.bp.blogspot.com/-5HuR_7WT8lE/VIk0XhY26rI/AAAAAAAG2bI/axZ1Ktmqjro/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI MAHENGE AFANYA ZIARA JIJINI DAR LEO
Akiwa katika mwendelezo wa ziara zake za ukaguzi mazingira Mh. Mahenge alimtaka Mkurugenzi mtendaji wa kiwanda hicho Bwana Vijay Raghavan kutumia nishati mbadala kama gesi katika uendeshaji wa mitambo ya...
9 years ago
VijimamboWAZIRI MAHENGE AKUTANA NA UJUMBE WA MABALOZI OFISINI KWAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70t5Gfmf2UtW*r6yHYOXBpNl7Ouoti56Gw-a-FRcIO1j*eywF8n-YLBUePNJoR7IfIYloSWMtjH6uPrkprExtgos/Pichayawazirimahengeakitoatamkokuhusuwikiyamzingira.jpg)
WAZIRI MAHENGE ATOA TAMKO LA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI, TAREHE 5 JUNI 2015
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MLURyF2V5G0/VEpXeg1inNI/AAAAAAAGtJg/yBTnTtU5XsA/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Waziri Mahenge akutana na Wabunge wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira
![](http://3.bp.blogspot.com/-MLURyF2V5G0/VEpXeg1inNI/AAAAAAAGtJg/yBTnTtU5XsA/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10