Mauaji yazidi kutikisa Tarime
Hali ya usalama Tarime imezidi kutoweka baada ya jambazi lisilofahamika likiwa na bunduki ambayo haijafahamika aina yake kuendelea kuua watu kwa risasi hasa wa jinsi ya kiume, ambapo idadi ya waliouawa imefikia saba hadi sasa na inadaiwa huwaua watu na kupotea bila kutambuliwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Mauaji yazidi kutikisa Kiteto
10 years ago
Vijimambo![](http://lh6.ggpht.com/-3u1z2S0F9PQ/VGd3tYINDoI/AAAAAAAAfVU/QMMoJc7w7RE/s72-c/1_18.jpg)
Mauaji yazidi kutikisa Kiteto....Waliopoteza uhai Wafikia 7
![](http://lh6.ggpht.com/-3u1z2S0F9PQ/VGd3tYINDoI/AAAAAAAAfVU/QMMoJc7w7RE/s640/1_18.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Mabomu yazidi kutikisa Arusha
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Watu 10 wahojiwa kwa mauaji Tarime
10 years ago
Habarileo20 Nov
Raia wa Kenya afanya mauaji baa Tarime
MTUHUMIWA wa vitendo vya ujambazi kutoka Kijiji cha Masangura, Wilaya ya Kurya West nchi jirani ya Kenya, Chacha Marwa Gibai maarufu kama Mapengo anashikiliwa na polisi katika Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya akituhumiwa kuua mtu kwa kumchoma kisu na kujeruhi mwingine kwa kisu katika vurugu aliyoianzisha baa mjini hapa.
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Tume ya Uchaguzi yalaani mauaji wakati wa kampeni Tarime
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Mauaji ya wazee yazidi nchini
LICHA kuwepo jitihada za serikali kupambana na mauaji ya vikongwe nchini kipindi cha mwaka 2012, lakini zaidi ya 600 waliuawa kutokana na imani za kishirikina. Hayo yalibainishwa jana na Mratibu...
11 years ago
Mwananchi05 May
Mauaji ya vikongwe yazidi kutikisha Bukombe
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Tamko la THBUB kulaani mauaji na matukio ya uvunjifu wa sheria huko Tarime
Makao makuu ya THBUB barabara ya Luthuli jijini Dar.
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Bahame Nyanduga.
Tamko la THBUB_Kulaani mauaji na uvunjifu wa sheria.doc