Mawakala wa Utalii wa Kimataifa kuhudhuria onyesho la SITE 2015
Mawakala wakipata historia ya mahara ilipokuwa ikifanyika biashara ya Utaumwa.
Kundi la Mawakala wa utalii kutoka nchi mbalimbali limewasili jana jijini Dar es Salaam likitokea visiwa vya Zanzibar kwa ajili ya kushiriki onesho la kimataifa la Utalii lijulikanalo kama “Swahili International Tourism Expo”. Onesho hilo limeanza jana Oktoba 1 – 3, 2015 Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Mawakala hawa wanaojihusisha na kutoa huduma mbalimbali za utalii katika nchi zao, wamepata mualiko huu wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f1xFOoqyXNA/VgzDL78HrWI/AAAAAAAH7_w/j1sGCJbsDAY/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
MAWAKALA WA UTALII WA KIMATAIFA KUHUDHURIA ONYESHO LA S!TE 2015
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Waziri wa Malisili na Utalii azindua maonyesho ya Kimataifa ya Utalii ya Swahili International Tourism Expo (SITE)
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akipongezana na Balozi Charles Sanga Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania TTB mara baada ya kuzindua rasmi SITE ya Maonyesho ya Kimataifa Utalii ya Tanzania yanayojulikana kama Swahili International Tourism Expo (SITE) kwenye hoeli ya Serena Mwisho ni mwa wiki, Maonyesho hayo yatakayohusisha kampuni binafsi, taasisi za kiserikali kama Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) pamoja na washirika wengine katika sekta hiyo...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/4a1.jpg?width=650)
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII AZINDUA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII YA SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO (SITE)
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Banda la Bodi ya Utalii Afrika Kusini kwenye maonesho ya kimataifa ya Swahili Expo (SiTE)
Rais wa Tanzania Mh.Dkt.Jakaya Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi wa Kanda ya Afrika, Bodi ya Utalii Afrika Kusini Bi. Evelyn Mahlaba wakati wa ufunguaji wa maonesho ya Kimataifa ya Utalii Swahili Expo jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Kanda ya Afrika, Bodi ya Utalii Afrika Kusini Bi. Evelyn Mahlaba akifanya mahojiano na mwandishi wa Capital Tv Bi. Yvonne Msemembo kabla ya uzinduzi wa maonesho ya kimataifa ya Utalii Swahili Expo jijini Dar Es Salaam jana.
Mkurugenzi wa Kanda ya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-p9gtdSwmsKs/Vg0u25oJt9I/AAAAAAAH8Hg/mccQps5hlqI/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MAONESHO YA KIMATAIFA YA KUKUZA BIASHARA YA UTALII YA SWAHILI (SITE) JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-p9gtdSwmsKs/Vg0u25oJt9I/AAAAAAAH8Hg/mccQps5hlqI/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uF-s6QKPhkc/Vg0u2zfhPSI/AAAAAAAH8Hk/ju67jdOVF_o/s640/02.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fkjyQp2mXjk/VXPNKCNC37I/AAAAAAAAQf0/uwrWDrzgPC0/s72-c/E86A9648%2B%2528800x533%2529.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAILIASILI NA UTALII AFUNGUA MAONESHO YA KIMATAIFA YA UTALII YA KILIFAIR 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-fkjyQp2mXjk/VXPNKCNC37I/AAAAAAAAQf0/uwrWDrzgPC0/s640/E86A9648%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qa7icDTU7_I/VXPNKdNzfII/AAAAAAAAQf4/G2EP2xNATXI/s640/E86A9652%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IpUHent22u8/VXPNKBY_FBI/AAAAAAAAQf8/P-8MZ14fws4/s640/E86A9660%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-fkjyQp2mXjk/VXPNKCNC37I/AAAAAAAAQf0/uwrWDrzgPC0/s72-c/E86A9648%2B%2528800x533%2529.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAILIASILI NA UTALII,MOHAMED MGIMWA AFUNGUA MAONESHO YA KIMATAIFA YA UTALII YA KILIFAIR 2015.
![](http://4.bp.blogspot.com/-fkjyQp2mXjk/VXPNKCNC37I/AAAAAAAAQf0/uwrWDrzgPC0/s640/E86A9648%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qa7icDTU7_I/VXPNKdNzfII/AAAAAAAAQf4/G2EP2xNATXI/s640/E86A9652%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IpUHent22u8/VXPNKBY_FBI/AAAAAAAAQf8/P-8MZ14fws4/s640/E86A9660%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Jun
Naibu Waziri wa Mailiasili na Utalii, Mohamed Mgimwa afungua maonesho ya Kimataifa ya Utalii ya Kilifair 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-fkjyQp2mXjk/VXPNKCNC37I/AAAAAAAAQf0/uwrWDrzgPC0/s640/E86A9648%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qa7icDTU7_I/VXPNKdNzfII/AAAAAAAAQf4/G2EP2xNATXI/s640/E86A9652%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IpUHent22u8/VXPNKBY_FBI/AAAAAAAAQf8/P-8MZ14fws4/s640/E86A9660%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi07 Feb
TANZANIA YATANGAZA UTALII PARIS KUPITIA MAWAKALA WA UTALII
Madhumuni ya hafla hii ni kuitangazia Tanzania na vivutio vyake vya utalii kwa mawakala wa safari (Tour operators) ambao ni wadau wakubwa kutokana na ushawishi wao kwa watalii wa Ufaransa wanaotaka kutembelea Tanzania.