TANZANIA YATANGAZA UTALII PARIS KUPITIA MAWAKALA WA UTALII
Ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa sera ya Diplomasia ya uchumi, Ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa uliandaa hafla maalum kwa ajili ya mawakala wa safari (Tour operators) iliyofanyika mjini Paris Ijumaa Februari 6, 2015
Madhumuni ya hafla hii ni kuitangazia Tanzania na vivutio vyake vya utalii kwa mawakala wa safari (Tour operators) ambao ni wadau wakubwa kutokana na ushawishi wao kwa watalii wa Ufaransa wanaotaka kutembelea Tanzania.Baadhi ya wadau wa utalii wakimsikiliza Mh Balozi Begum...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo08 Dec
BODI YA UTALII TANZANIA (TTB) TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA SUNDERLAND (SAFC) ZATANGAZA UTALII WA TANZANIA UINGEREZA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/110.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland (SAFC) zatangaza utalii wa Tanzania Uingereza
Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mh. Peter Kallaghe na Garry Hutchinson Mkurugenzi wa Biashara wa timu ya mpira ya Sunderland wakionyesha jezi ya iliyoandikwa Tanzania yenye rangi za timu hiyo wakati wa uzinduzi rasmi wa matangazo ya Utalii wa Tanzania yanayotangazwa katika uwanja wa timu hiyo kutoka kulia ni Meneja wa Masoko wa Bodi ya Utalii Bw. Geofrey Meena, Teddy Mapunda mjumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya (TTB) na kutoka kushoto ni Mdau wa Utalii Bw. Nestor Mapunda na Kaimu Mkurugenzi...
10 years ago
Mwananchi23 Jul
Tanzania ina fursa ya kuongeza mapato kupitia utalii wa ndani
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f1xFOoqyXNA/VgzDL78HrWI/AAAAAAAH7_w/j1sGCJbsDAY/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
MAWAKALA WA UTALII WA KIMATAIFA KUHUDHURIA ONYESHO LA S!TE 2015
9 years ago
Dewji Blog02 Oct
Mawakala wa Utalii wa Kimataifa kuhudhuria onyesho la SITE 2015
Mawakala wakipata historia ya mahara ilipokuwa ikifanyika biashara ya Utaumwa.
Kundi la Mawakala wa utalii kutoka nchi mbalimbali limewasili jana jijini Dar es Salaam likitokea visiwa vya Zanzibar kwa ajili ya kushiriki onesho la kimataifa la Utalii lijulikanalo kama “Swahili International Tourism Expo”. Onesho hilo limeanza jana Oktoba 1 – 3, 2015 Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Mawakala hawa wanaojihusisha na kutoa huduma mbalimbali za utalii katika nchi zao, wamepata mualiko huu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9QukCEcOBR4/VNMWdyTa_VI/AAAAAAAHB28/aQs2M_CQ12Q/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
wizara ya MALIASILI NA UTALII YAENDELEA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-9QukCEcOBR4/VNMWdyTa_VI/AAAAAAAHB28/aQs2M_CQ12Q/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-j7r7uCWsPuk/VNMWePSG52I/AAAAAAAHB3E/9iqTQcT3_vM/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PRhlQc6LAME/VNMWeLsGGmI/AAAAAAAHB3A/oR3FlEbFBxw/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
11 years ago
Michuzi06 Jul
MAKAMPUNI YA UTALII YATAKIWA KUTANGAZA UTALII NDANI NA NJE YA NCHI
![IMG-20140704-WA0013](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/r2LSli62xS-DrKoeE7H18HvhROyRrcWbYRYYnHPzYQQ-QLdjsfuLNmYfe1gfw3k98Lvm2kOBQA-1lydnyBiRbOwjXAvkN-mRLl3TJa7Zds3Ccx8tJE_Kssk18jy8xzU8cAjFxMb0Gm7J=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/img-20140704-wa0013.jpg?w=627&h=459)
![IMG-20140704-WA0009](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/4NDdpxtkd9rxmhSs1_0-F0Krc-z7zBzfwMvqlWZ0g-cmcVKjjo9O9Yx3jmw1Xe9bu32x2LXLhqUrXexKsES8OUGAT0enFPZOcfPo2zLpssFEmiSRWUQ19m5YQQqrmh6o4Ev5hHjaPmYT=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/img-20140704-wa0009.jpg?w=627&h=475)
![IMG-20140704-WA0004](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Srya6vP9bRhpBSugEtJsKszO677yH65MOHYRHikT8DFmUSWIVFP4cLTD3KMX4iP4QoXv20_ucVrfmOrzC-oIZcWDOM5YM88EVnvmF84MLmHePhE7zsmH75zWZjbsBn001TqaSuPHsEfI=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/img-20140704-wa0004.jpg?w=627&h=402)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-61MO7nU5qJU/XqmGdPqCqfI/AAAAAAALolE/eUzIXHoSAVAOvNS1YdghCfL94MdBi_N1wCLcBGAsYHQ/s72-c/1-50-2048x1536.jpg)
BODI YA UTALII YATAJA MIKAKATI ENDELEVU 10 KUINUA UTALII KATIKA MLIPUKO WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-61MO7nU5qJU/XqmGdPqCqfI/AAAAAAALolE/eUzIXHoSAVAOvNS1YdghCfL94MdBi_N1wCLcBGAsYHQ/s640/1-50-2048x1536.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akizungumza na Waandishi wa Habari katika Mkutano wa Bodi uliofanyika Jijini Dar es Salaam Aprili, 29, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2B-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/3-22-scaled.jpg)