Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAWAKALA WA UTALII WA KIMATAIFA KUHUDHURIA ONYESHO LA S!TE 2015

Kundi la Mawakala wa utalii kutoka nchi mbalimbali limewasili jana jijini Dar es Salaam likitokea visiwa vya Zanzibar kwa ajili ya kushiriki onesho la kimataifa la Utalii lijulikanalo kama “Swahili International Tourism Expo”. Onesho hili litafanyika kuanzia leo Oktoba 1 – 3, 2015 Mlimani City, jijini Dar es Salaam. Mawakala hawa wanaojihusisha na kutoa huduma mbalimbali za utalii katika nchi zao, wamepata mualiko huu wa kuhudhuria onyesho la S!TE ili kuwapa nafasi ya kuvijuwa vivutio vya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Mawakala wa Utalii wa Kimataifa kuhudhuria onyesho la SITE 2015

1 (7)

Mawakala wakipata historia ya mahara ilipokuwa ikifanyika biashara ya Utaumwa.

Kundi la Mawakala wa utalii kutoka nchi mbalimbali limewasili jana jijini Dar es Salaam likitokea visiwa vya Zanzibar kwa ajili ya kushiriki onesho la kimataifa la Utalii lijulikanalo kama “Swahili International Tourism Expo”. Onesho hilo limeanza jana Oktoba 1 – 3, 2015 Mlimani City, jijini Dar es Salaam.

Mawakala hawa wanaojihusisha na kutoa huduma mbalimbali za utalii katika nchi zao, wamepata mualiko huu wa...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MAILIASILI NA UTALII AFUNGUA MAONESHO YA KIMATAIFA YA UTALII YA KILIFAIR 2015

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mohamed Mgimwa akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Moshi Club kwa ajili ya kufungua rasmi maonesho ya kimatifa ya Kitalii yajulikanayo kama KiliFair 2015.Naibu waziri wa Maliasili na Utalii,Mohamed Mgimwa akisalimiana na Naibu waziri wa Habari Utamaduni,Utalii na Michezo wa Zanzabar Bi Hindi Khamis walipokutana katika maonesho hayo.Mgeni rasmi katika maonesho hayo,Naibu waziri wa utalii,Mohamed Mgimwa akiwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Naibu Waziri wa Mailiasili na Utalii, Mohamed Mgimwa afungua maonesho ya Kimataifa ya Utalii ya Kilifair 2015

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mgimwa akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Moshi Club kwa ajili ya kufungua rasmi maonesho ya kimatifa ya Kitalii yajulikanayo kama KiliFair 2015. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mgimwa akisalimiana na Naibu waziri wa Habari Utamaduni, Utalii na Michezo wa Zanzabar Bi Hindi Khamis walipokutana katika maonesho hayo. Mgeni rasmi katika maonesho hayo, Naibu Waziri wa Utalii, Mohamed Mgimwa...

 

10 years ago

Vijimambo

NAIBU WAZIRI WA MAILIASILI NA UTALII,MOHAMED MGIMWA AFUNGUA MAONESHO YA KIMATAIFA YA UTALII YA KILIFAIR 2015.

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mohamed Mgimwa akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Moshi Club kwa ajili ya kufungua rasmi maonesho ya kimatifa ya Kitalii yajulikanayo kama KiliFair 2015.Naibu waziri wa Maliasili na Utalii,Mohamed Mgimwa akisalimiana na Naibu waziri wa Habari Utamaduni,Utalii na Michezo wa Zanzabar Bi Hindi Khamis walipokutana katika maonesho hayo.Mgeni rasmi katika maonesho hayo,Naibu waziri wa utalii,Mohamed Mgimwa akiwa...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YATANGAZA UTALII PARIS KUPITIA MAWAKALA WA UTALII

Ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa sera ya Diplomasia ya  uchumi, Ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa uliandaa hafla maalum kwa ajili ya mawakala wa safari (Tour operators) iliyofanyika mjini Paris Ijumaa Februari 6, 2015

Madhumuni ya hafla hii ni kuitangazia Tanzania na vivutio vyake vya utalii kwa mawakala wa safari (Tour operators) ambao ni wadau wakubwa kutokana na ushawishi wao kwa watalii wa Ufaransa wanaotaka kutembelea Tanzania.
Baadhi ya wadau wa utalii wakimsikiliza Mh Balozi Begum...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Malisili na Utalii azindua maonyesho ya Kimataifa ya Utalii ya Swahili International Tourism Expo (SITE)

2a

Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akipongezana na Balozi Charles Sanga Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania TTB mara baada ya kuzindua rasmi SITE ya Maonyesho ya Kimataifa Utalii ya Tanzania yanayojulikana kama Swahili International Tourism Expo (SITE) kwenye hoeli ya Serena Mwisho ni mwa wiki, Maonyesho hayo yatakayohusisha kampuni binafsi, taasisi za kiserikali kama Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) pamoja na washirika wengine katika sekta hiyo...

 

11 years ago

GPL

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII AZINDUA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII YA SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO (SITE)‏

Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Razalo Nyalandu akizungumza katika uzinduzi huo wakati alipokuwa akisoma hotuba yake. Wageni waalikwa mbalimbali wakiangalia jinsi mabanda yatakayotumiwa na washiriki wa maonyesho…

 

10 years ago

Michuzi

MHE. LAZARO NYALANDO, CASSIM MGANGA WAWASILI KUHUDHURIA TAMASHA LA UTALII NA MIAKA 4 YA VIJIMAMBO

Mhe. Lazaro Nyalandu, Waziri wa Maliasili na Utalii akipokewa na Afisa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Suleiman Saleh mara tu alipowasili katika uwanja wa kimataifa wa Dulles kwa ajili ya kuhudhulia tamasha la Utalii na miaka 4 ya Blog ya Vijimambo litakalo fanyika Jumamosi Sept 13, 2014. Kushoto ni msaidizi wa Waziri Bwn. Iman Nkuwi. Msanii wa kizazi kipya Cassim Mganga akipiga picha na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu walipokutana kwenye jengo la Ubalozi wa Jamhuri...

 

10 years ago

GPL

MHE. LAZARO NYALANDO, CASSIM MGANGA WAWASILI KUHUDHURIA TAMASHA LA UTALII NA MIAKA 4 YA VIJIMAMBO‏

Mhe. Lazaro Nyalandu, Waziri wa Maliasili na Utalii akipokewa na Afisa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Suleiman Saleh mara tu alipowasili katika uwanja wa kimataifa wa Dulles kwa ajili ya kuhudhulia tamasha la Utalii na miaka 4 ya Blog ya Vijimambo litakalo fanyika Jumamosi Sept 13, 2014. Kushoto ni msaidizi wa Waziri Bwn. Iman Nkuwi.
  Msanii wa kizazi kipya… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani