Mawaziri wa Afya wajadili Ebola
Mawaziri wa Afya wa nchi a Afrika Magharibi wamejadili mikakati ya kupambana na ugonjwa wa Ebola
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV22 Sep
Mawaziri wa Afya Afrika Mashariki wajadili viwango vya matumizi ya dawa yanayokubalika
Wadau wa uzalishaji dawa kwenye ukanda wa Afrika Mashariki wanakutana jijini Dar es Salaam kwa mara ya kwanza kujadili muongozo wa utumiaji wa dawa unaozingatia viwango vinavyokubalika kimataifa ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya mkutano wa kisekta uliokutanisha mawaziri wa masuala ya afya wa ukanda huo.
Ajenda kuu, ni namna nchi zote tano za Afrika Mashariki zinavyoweza kuwa na matumizi sawa na viwango vinavyofanana vya dawa pamoja na kuhamasisha uwekezaji zaidi kwenye uzalishaji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HGvx18zq6OA/VWQiEIaZTkI/AAAAAAAHZ4c/DMCK6h9xQcc/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
MAWAZIRI WA FEDHA WA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA WAJADILI MAENDELEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-HGvx18zq6OA/VWQiEIaZTkI/AAAAAAAHZ4c/DMCK6h9xQcc/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
Akizungumza na vyombo vya habari mchana huu DKt.Likwelile ambaye ni amemuwakilisha Waziri wa Fedha na katika Mkutano wa Benki ya Dunia amesema kuwa,”Mkurungezi wa Kanda ametoa ripoti ya mwaka, ameelezea ni namna gani ukanda huu wa Afrika ulivyokuwa ukifanya kazi za...
10 years ago
VijimamboMAWAZIRI WA FEDHA WA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA WAJADILI MAENDELEO
Akizungumza na vyombo vya habari mchana huu DKt.Likwelile ambaye ni amemuwakilisha Waziri wa Fedha na katika Mkutano wa Benki ya Dunia amesema kuwa,”Mkurungezi wa Kanda ametoa ripoti ya mwaka, ameelezea ni namna gani ukanda huu wa Afrika ulivyokuwa ukifanya kazi za maendeleo, ameelezea ripoti hiyo kuwa inagusa nchi zote sita za Afrika. Nchi hizo ni pamoja na Rwanda, Tanzania,Uganda, Kenya, Ethiophia na Visiwa vya Shelisheli, Aidha nchi hizo zimefanya kazi vizuri. Alisisitiza...
10 years ago
VijimamboMawaziri wa Afya wa Zanzibar na wa Afya wa Jamuhuri ya Muungano wakutana na waTanzania Ujerumani
5 years ago
MichuziOSHA, WENYE VIWANDA WAJADILI UTEKELEZAJI WA SHERIA YA AFYA NA USALAMA KAZINI
Ujumbe huo wa viongozi kutoka CTI ambao ulijumuisha baadhi ya wawakilishi wa wanachama wa CTI uliongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa shirikisho hilo, Bw. Leodgar Tenga.Akizungumza baada ya kuhitimisha kikao hicho, Tenga amesema madhumuni ya kikao yalikuwa ni...
10 years ago
VijimamboMAWAZIRI WA NISHATI WAJADILI KUHUSU NISHATI ENDELEVU KWA WOTE
Na Mwandishi Maalum, New York
Naibu ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bAk3UCGRWgA/VV1MdM717KI/AAAAAAAHYvA/DaDC3s75aK0/s72-c/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
MAWAZIRI WA NISHATI WAJADILI NISHATI ENDELEVU KWA WOTE.
11 years ago
Habarileo06 Aug
Mawaziri SADC kujadili Ebola
MAWAZIRI wa Afya na wadau wengine wa afya wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi zilizo Kusini mwa Afrika (SADC), leo wanakutana kwenye mkutano wa dharura kuzungumzia hatua za kudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dhoPAoC1nKA/VEEoByCt0-I/AAAAAAAGrT4/k87LFEmOPSw/s72-c/unnamed%2B(58).jpg)
MAWAZIRI, WABIA WA MAENDELEO WATEMBELEA MAABARA YA AFYA BRN
![](http://2.bp.blogspot.com/-dhoPAoC1nKA/VEEoByCt0-I/AAAAAAAGrT4/k87LFEmOPSw/s1600/unnamed%2B(58).jpg)