MAWAZIRI, WABIA WA MAENDELEO WATEMBELEA MAABARA YA AFYA BRN
![](http://2.bp.blogspot.com/-dhoPAoC1nKA/VEEoByCt0-I/AAAAAAAGrT4/k87LFEmOPSw/s72-c/unnamed%2B(58).jpg)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashid (kushoto) akijadiliana jambo na Mtendaji Mkuu kutoka Ofisi ya Rais-Ufuatiliaji wa Utekeleza wa Miradi (PDB) inayoratibu Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Bw. Omari Issa (wa pili kulia) mara baada ya kuhudhuria hivi karibuni maabara inayochambua miradi ya afya itakayoingia katika BRN. Katikati ni Naibu Waziri wa Afya wa Zanzibar, Bw. Mahmoud Thabit Kombo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar, Dkt, Mohammed Saleh Jidawi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-n6JgdH6DRLk/VTZXcCzFA-I/AAAAAAAHSPU/-vhNT2ZlqAM/s72-c/unnamed%2B(78).jpg)
MAABARA YA BRN KUCHAMBUA CHANGAMOTO YA MASOKO KATIKA KILIMO
![](http://2.bp.blogspot.com/-n6JgdH6DRLk/VTZXcCzFA-I/AAAAAAAHSPU/-vhNT2ZlqAM/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
Akifungua maabara hiyo jijini Dar es Salaam, Jumatatu, Mtendaji Mkuu wa PDB, Bw. Omari Issa amewataka wadau...
5 years ago
Michuzi10 years ago
VijimamboMawaziri wa Afya wa Zanzibar na wa Afya wa Jamuhuri ya Muungano wakutana na waTanzania Ujerumani
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vp03YZcSa2g/VEuXt3nwIAI/AAAAAAAGtWM/wly3d_C-Wuw/s72-c/Ombeni-Sefue.jpg)
BALOZI SEFUE AAHIDI KUTEKELEZA MIRADI YA AFYA BRN
![](http://2.bp.blogspot.com/-vp03YZcSa2g/VEuXt3nwIAI/AAAAAAAGtWM/wly3d_C-Wuw/s1600/Ombeni-Sefue.jpg)
Balozi Sefue aliyasema hayo mara baada ya kutembelea jijini Dar es Salaam juzi, maabara inayokutanisha wataalamu mbalimbali kutoka SErikali na sekta binafsi wanaochambua miradi michache ya afya itakayoingizwa katika mfumo wa utekelezaji wa haraka wa miradi wa BRN.
“Binafsi nimefurahishwa na maeneo ya kipaumbele mnayoendelea...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HKD8wmqSXLI/VNPM8oyL7OI/AAAAAAAHCGg/TiQPoLAnf24/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Kuingia kwa sekta ya afya katika BRN kunaleta matumaini mapya
5 years ago
CCM BlogMKUTANO WA CHAMA CHA WANAFUNZI KOZI YA MAABARA ZA AFYA WARINDIMA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-S_DlRykBlSE/XslSLG9Gn_I/AAAAAAALrXs/OgiqMVUAhwQ7p-q4WCYxqs8kAlKMiTftwCLcBGAsYHQ/s72-c/3e9c260a-da8a-4ebd-a43f-609e3b2878f0.jpg)
SERIKALI YATOA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MAABARA YA TAIFA YA AFYA YA JAMII NA KUBAINI UPUNGUFU MBALIMBALI
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f00d5eb9-296f-420c-bb07-dd6edffa21d2.jpg)
Serikali imetoa ripoti ya uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii iliyoko ofisi za Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binaadam (NIMR) jijini Dar es Salaam na kubaini mapungufu mbalimbali ya kiutendaji yaliyokuwepo katika maabara hiyo.
Akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo leo jijini Dar es Salaam, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametaja mapungufu yaliyobainishwa na kamati hiyo kuwa moja kati ya mashine...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-S_DlRykBlSE/XslSLG9Gn_I/AAAAAAALrXs/OgiqMVUAhwQ7p-q4WCYxqs8kAlKMiTftwCLcBGAsYHQ/s72-c/3e9c260a-da8a-4ebd-a43f-609e3b2878f0.jpg)
SERIKALI YATOA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MAABARA YA TAIFA YA AFYA YA JAMII NA KUBAINI MAPUNGUFU MBALIMBALI
Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imetoa ripoti ya uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii iliyoko ofisi za Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binaadam (NIMR) jijini Dar es Salaam na kubaini mapungufu mbalimbali ya kiutendaji yaliyokuwepo katika maabara hiyo.
Akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo leo jijini Dar es Salaam, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mheshimiwa Ummy Mwalimu ametaja mapungufu yaliyobainishwa na kamati hiyo kuwa moja kati ya mashine...