MKUTANO WA CHAMA CHA WANAFUNZI KOZI YA MAABARA ZA AFYA WARINDIMA
Msajili wa Bodi ya Maabara Binafsi za Afya akizungumza katika Mkutano wa Chama cha Wanafunzi wanaosoma Kozi ya Maabara za Afya Nchini (TAMELASA) Uliofanyika leo Februari 22, 2020. Dar es Salaam. Kwa lengo la kuwakutanisha wanafunzi wa Taaluma ya Maabara kuwa kitu kimoja na kuzungumzia changamoto na kuangalia wapi wanapo elekea.
Rais wa Chama cha Wataalamu wa Sayansi ya MaabaraTanzania (MeLSAT). Yahaya Mnung'a akizungumza katika Mkutano wa Chama cha Wanafunzi wanaosoma Kozi ya Maabara za Afya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-19ohpt6t96A/U1MVqUTXIOI/AAAAAAAFb20/0U1G5_CxHJw/s72-c/unnamed+(7).jpg)
CHAMA CHA MADAKTARI WANAFUNZI TANZANIA CHATOA HUDUMA ZA AFYA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-19ohpt6t96A/U1MVqUTXIOI/AAAAAAAFb20/0U1G5_CxHJw/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VjWVjshaQ-w/U1MVp4V_rzI/AAAAAAAFb2k/odzr7rZ6nn0/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UiNN3w4-qrI/U1MVquwK0TI/AAAAAAAFb2o/-uiHENXTpMQ/s1600/unnamed+(9).jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Sep
Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015.
Katika kampeni za uchaguzi mkuu wa October 2015, Mh. Seif Sharif Hamad aliombea wagombea zake kura za ndio wakiwemo wabunge, madiwani na wawakilishi wa Jibo la Ole, Pia Muheshimiwa alimuombea kura ndugu Edward Lowasa. Katika Sera […]
The post Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015. appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MAGARI MAWILI KUTOKA KAMPUNI YA TRANSAID YA NCHINI UINGEREZA KWA AJILI YA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KOZI YA UDEREVA KATIKA CHUO CHA TAIFA CHA USARIFISHAJI (NIT)
10 years ago
VijimamboMKUTANO MKUU WA PILI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA AKIBA NA MIKOPO TCRA
5 years ago
Michuzi10 years ago
Dewji Blog21 Aug
Pinda afungua mkutano wa chama cha wafanyakazi wa vyuo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimaiana na Mwenyekiti wa Wanawake wa Chama cha Wafanyakazi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (THTU) Leah Ntara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kufungua mkutano wa Baraza Kuu la Pili la THTU kwenye Hoteli ya Naura Spring mjini Arusha August 21, 2014.Katikati ni Mwenyekiti wa THTU, Yusufu Singo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mkutano Mkuu wa Pili wa Chama cha Wafanyakazi wa...
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA ACT CHAFANYA MKUTANO MKOANI SHINYANGA
Mwenyekiti wa chama cha ACT-Wazalendo Anna Mngwhira, akiwahutubia wakazi wa mji wa Kahama Mkoani Shinyanga jana kwenye viwanja vya CDT,wakati wa mkutano wa chama hicho wakutafuta uungwaji mkono kwa wananchi. (Picha na Said Powa)
10 years ago
MichuziUJUMBE WA CHAMA CHA FRELIMO CHA MSUMBIJI WAKUTANA NA BAADHI YA WAJUMBE WA CHAMA CHA MAPINDUZI ZANZIBAR
10 years ago
VijimamboMkutano na Viongozi wa Chama cha Ukuzaji wa Kiswahili Duniani (CHAUKIDU)