Mawaziri wanahujumu maliasili
Wakati Serikali ikiahidi kuongeza nguvu vita dhidi ya watu wanaoharibu maliasili za taifa, utafiti uliofanywa unaonyesha kuwa baadhi ya mawaziri, wabunge na madiwani wanahujumu nchi kwa kufanya biashara ya mazao ya misitu nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo27 Jan
‘Wavuvi haramu wanahujumu uchumi’
NAIBU waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Kaika Telele ameitaka jamii kutofumbia macho wavuvi haramu kwa kwa vitendo vyao havina tofauti na kuhujumu uchumi.
5 years ago
Michuzi
WATUMISHI WA MALIASILI WATAKIWA KUHAMISHIA OFISI KATIKA MAENEO YA HIFADHI ILI KULINDA MALIASILI


9 years ago
Michuzi
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO

9 years ago
Michuzi
11 years ago
GPL
UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI WAPYA
11 years ago
GPLMKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA NA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE KUTOKA NCHI ZA KAMATI YA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA KUFANYIKA JIJINI DAR
9 years ago
Mtanzania04 Jan
Matajiri maliasili kutumbuliwa
*Serikali yakusudia kupitia upya bei ya vitalu vya uwindaji
Na Kulwa Karedia
VITA ya utumbuaji majipu iliyoanzishwa na Rais Dk. John Magufuli tangu alipoingia madarakani mwishoni mwa mwaka jana, inazidi kushika kasi, baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe, kusema wakati wowote kuanzia sasa Serikali itaanza mchakato wa kupitia upya bei ya umiliki wa vitalu vya uwindaji, ili kuona kama inakidhi vigezo.
Akizungumza na MTANZANIA jana kuhusu mikakati mbalimbali ya...
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Maliasili watimua watumishi 21