Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matajiri maliasili kutumbuliwa

maghembe*Serikali yakusudia kupitia upya bei ya vitalu vya uwindaji

Na Kulwa Karedia

VITA ya utumbuaji majipu iliyoanzishwa na Rais Dk. John Magufuli tangu alipoingia madarakani mwishoni mwa mwaka jana, inazidi kushika kasi, baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe, kusema wakati wowote kuanzia sasa Serikali itaanza mchakato wa kupitia upya bei ya umiliki wa vitalu vya  uwindaji, ili kuona kama inakidhi vigezo.

Akizungumza na MTANZANIA jana kuhusu mikakati mbalimbali ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WATUMISHI WA MALIASILI WATAKIWA KUHAMISHIA OFISI KATIKA MAENEO YA HIFADHI ILI KULINDA MALIASILI


 Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangala(kushoto) akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri(kulia) na Watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyapori(TAWA), Wakala wa Huduma za Mistu Tanzania (TFS) Kanda ya Magharibi na Hifadhi za Taifa(TANAPA) jana mara baada ya ziara yake ya kikazi Mkoani humo.Waziri wa Maliasili na Utalii...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mlata awaonya watumishi wa Serikali mkoani Singida wasio waaminifu kutumbuliwa majibu!

IMG_1142

Mbunge wa viti maalum mkoani Singida, Martha Mosses Mlata, akikabidhi msaada wa vifaa mbalimbali wenye thamani ya zaidi ya shilingi 6.3 milioni kwa uongozi wa Chuo cha wasioona cha mjini hapa. Msaada huo ni sehemu ya maadhimisho ya sherehe za Uhuru kutimiza miaka 54.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

MBUNGE  wa viti maalum (CCM) mkoani Singida, Martha Mosses Mlata, amewatahadharisha  watumishi wa umma kuacha mara moja kujihusisha na vitendo vya ubadhirifu wa rasilimali ya...

 

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Maliasili nchini leo tarehe 26 Novemba 2015 katika Ukumbi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Bustani Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umeshirikisha wadau mbalimbali wakiwemo wa Wizara zenye muelekeo wa Maliasili, Sekta binafsi, NGOs, Waandishi wa habari na wadau wengine. Mada mbalimbali kutoka katika Sekta ndogo za Wanyamapori, Misitu, Utalii, Mambo ya Kale na Uvuvi...

 

10 years ago

GPL

MARAIS 9 MATAJIRI AFRIKA

1. Rais Equardo Jose Dos Anashika nafasi ya juu kwa marais wa Afrika kwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 20.
2.Mohamed VII Rais wa Morocco anamiliki utajiri wa dola bilioni 2.5 za Kimarekani.…

 

10 years ago

GPL

WASANII 7 MATAJIRI AFRIKA

Baada ya wiki iliyopita kuwaletea marais ambao watoto wao nao wameshika nafasi hiyo katika nchi zao, leo nakuletea wasanii saba matajiri Afrika. Youssou N’dour: Mkongwe toka Senegal, aliyezaliwa mwaka 1959, ndiye tajiri kwa wanamuziki wa Afrika, akimiliki chombo cha habari kikubwa nchini mwake, ni mwimbaji, mtunzi mwigizaji, mfanyabiashara na mwanasiasa, aliwahi pia kuwa Waziri wa Utamaduni na Maliasili nchini...

 

11 years ago

GPL

MASTAA MATAJIRI WACHUNGUZWA

Stori: MAKONGORO OGING’ KIMENUKA! Jeshi la Polisi Tanzania kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za serikali zimeanza kuwachunguza watu wenye majina makubwa ‘mastaa’ Bongo ambao wameibuka na utajiri wa ghafla, Uwazi limeambiwa. Masanja Mkandamizaji. Kwa mujibu wa chanzo nyeti ambacho kiko ‘jikoni’ kwenye jeshi hilo, mbali na mastaa, wengine ambao tayari orodha yao ipo ni wafanyabiashara,...

 

10 years ago

Mwananchi

Matajiri Ndanda wachapana

Matajiri wa Ndanda FC wameshindwa kujizuia na kujikuta wakichapana makonde hadharani kwenye mechi ya timu yao dhidi ya JKT Ruvu iliyochezwa Jumapili kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Matajiri watano kuibeba Chadema

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema chama chake kina watu watano wenye uwezo wa kiuchumi wanaoweza kukisaidia chama hicho kuendesha shughuli zake za kampeni, ikiwa ni siku 32 kabla ya wananchi kupiga kura Oktoba 25.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matajiri waonywa kujihusisha na ujangili

MATAJIRI nchini wametakiwa kuacha kuwatumia vijana kujihusisha na ujangili kwenye hifadhi za taifa. Rai hiyo ilitolewa na Mkuu wa Hifadhi ya Kitulo, Pius Mzimbe, alipozungumza na Tanzania Daima katika Kijiji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani