Mawaziri waridhia sheria ya kuanzishwa Baraza la Vijana
BARAZA la Mawaziri limeridhia kutungwa kwa Sheria ya Kuanzisha Baraza la Vijana ambalo litakuwa chombo cha kuwaunganisha vijana nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uyPYBCEBgf4/VRu-cuHj1VI/AAAAAAAHOuA/BAx_mMMMECE/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Bunge la Pitisha Sheria ya Kuanzishwa Baraza La Vijana
![](http://3.bp.blogspot.com/-uyPYBCEBgf4/VRu-cuHj1VI/AAAAAAAHOuA/BAx_mMMMECE/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
Serikali inatarajia kuanzisha Baraza la Vijana litakalo kuwa chombo cha vijana kitakacho waunganisha Kitaifa bila kujali itikadi zao za Kisiasa,Imani zao za Kidini wala tofauti zao za Rangi,hayo yamesemwa na Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe.Fenella Mukangara alipokuwa akisoma Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana Tanzania Bungeni Mjini Dodoma.
Mheshimiwa Mukangara aliendelea kusema Baraza hilo litaisaidia Serikali kuweza kuwafikia vijana kwa...
11 years ago
Habarileo19 Dec
Mawaziri waridhia kuanzishwa Mfuko wa Ukimwi
BARAZA la Mawaziri limepitisha suala la uanzishwaji wa Mfuko wa Ukimwi na kuridhia mapitio ya Sheria ya Ukimwi.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a0hB1YznKjw/VYB-qzRiBTI/AAAAAAAHgFg/79Z3bwzmIhk/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
Vijana waridhishwa na mswada uliopitishwa bungeni wa kuanzishwa baraza la vijana la Taifa
Vijana wameridhishwa na mswada uliopitishwa bungeni wa kuanzishwa baraza la vijana la Taifa na kudai kuwa hiyo ndio njia mojawapo vijana wanaweza kuendeleza shughuli zao za maendeleo .
Wamedai kuwa katika mswada huo vijana wanangazi zao za uongozi kutoka vijijini hadi kitaifa na hali hiyo inakuwa ni rahisi vijana kuwa na uwezo wa kuelezea changamoto zinazowakabili .
Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es salaam na shirika la Restless Development Tanzania – ICS) ...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UmPseIHRR48/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Mar
Wadau wajadili Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana Tanzania
Muwakilishi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma, Mgaya Ezekiel akichangia wakati wa Semina ya kujadili Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana Tanzania wa mwaka 2015, utakaowasilishwa Bungeni Ijumaa ya tarehe 27/03/2015. Semina hii iliyofanyika tarehe 23-24/03/2015 katika ukumbi wa Pius Msekwa, Mjini Dodoma imewakutanisha Wadau, Kamati ya Maendeleo ya Jamii na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara(kulia) akifurahia...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-c6xkbMArgDc/Xq2k-XEQHKI/AAAAAAACKEo/UGFXxQwGpOoguJgLgYlASatqvSB7BV4lwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AMREJESHA MWINGULU NCHEMBA KATIKA BARAZA LA MAWAZIRI, AMTEUA LEO KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-c6xkbMArgDc/Xq2k-XEQHKI/AAAAAAACKEo/UGFXxQwGpOoguJgLgYlASatqvSB7BV4lwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Taarifa iliyotolewa jioni hii na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, imesema uteuzi wa Dk. Mwigulu Lameck Nchemba unaanza leo tarehe 02 Mei, 2020.
"Dk. Mwigulu Lameck Nchemba anachukua nafasi ya Balozi Dk. Augustine Philip Mahiga aliyefariki dunia jana tarehe 01 Mei, 2020", imesema taarifa hiyo.
11 years ago
MichuziBARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA LAADHIMISHA MIAKA 10 KUANZISHWA KWAKE CHINI YA UWENYEKITI WA TANZANIA
10 years ago
Michuzi18 Aug
KUNDI LA BONGO DANSI LA SHEREHEKEA MWAKA MMOJA WA KUANZISHWA KWAKE NA VIJANA JAZZ
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TNv7dtVtpYpddUHzT520rw12Z2cfYn6gy*aOzzrEdcuTToxtzaQZ14*1ZliuWXchYgwc1PJB1AxNN*sfdmPaxTQ/mawaziri.jpg?width=650)
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI