RAIS DK. MAGUFULI AMREJESHA MWINGULU NCHEMBA KATIKA BARAZA LA MAWAZIRI, AMTEUA LEO KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-c6xkbMArgDc/Xq2k-XEQHKI/AAAAAAACKEo/UGFXxQwGpOoguJgLgYlASatqvSB7BV4lwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Ikulu, ChatoRais Dk. John Magufuli amemrejesha kwenye Baraza lake la Mawaziri Mbunge wa Iramba Magharibi Dk. Mwigulu Lameck Nchemba (Pichani) kwa kumteua kuwa Waziri wa Katiba na Sheria.
Taarifa iliyotolewa jioni hii na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, imesema uteuzi wa Dk. Mwigulu Lameck Nchemba unaanza leo tarehe 02 Mei, 2020.
"Dk. Mwigulu Lameck Nchemba anachukua nafasi ya Balozi Dk. Augustine Philip Mahiga aliyefariki dunia jana tarehe 01 Mei, 2020", imesema taarifa hiyo.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_SSgmRNgh8M/Xq2VpeQPNnI/AAAAAAALo2w/3m-85bEUA7EuysoZDOLLBvotNQOsKnyMQCLcBGAsYHQ/s72-c/mwigulu%252Bpic.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nNqlncb3TWM/Xq6Xr-4ZvjI/AAAAAAALo6w/M8OgxDZ5orMXfls-X2lTWXTejeMo_xznQCLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AMUAPISHA DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMBA KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA. CHATO MKOANI GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nNqlncb3TWM/Xq6Xr-4ZvjI/AAAAAAALo6w/M8OgxDZ5orMXfls-X2lTWXTejeMo_xznQCLcBGAsYHQ/s640/1..jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba Magharibi) kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Mei 03, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2.-scaled.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-g5jzVV9S_5Y/Vk11kb7l8uI/AAAAAAAA1Ow/G1Wp2mjbNg0/s72-c/IMG_20151119_100418.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/--d6NYbg2bW4/Vmuz_dXuJwI/AAAAAAAA1gU/q6bOgkLMNoU/s72-c/IMG_20151211_172048.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7smq4V55zj4/XnoCUAEh_3I/AAAAAAALk6k/iq4hFjt8GrUKfd1NaGasfiqV8KSQtvMCACLcBGAsYHQ/s72-c/6-23-768x378.jpg)
RAIS MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI LEO CHAMWINO – DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7smq4V55zj4/XnoCUAEh_3I/AAAAAAALk6k/iq4hFjt8GrUKfd1NaGasfiqV8KSQtvMCACLcBGAsYHQ/s640/6-23-768x378.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/5-27-1024x474.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/7AAA-1024x465.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://4.bp.blogspot.com/-nfUX-E5Clec/XmaKZeNpd6I/AAAAAAACIa0/6RIEMwB6628PxwSFijIpm5iycGJbOeLtwCLcBGAsYHQ/s72-c/1%2B%25282%2529.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
![](https://4.bp.blogspot.com/-nfUX-E5Clec/XmaKZeNpd6I/AAAAAAACIa0/6RIEMwB6628PxwSFijIpm5iycGJbOeLtwCLcBGAsYHQ/s400/1%2B%25282%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-X5LwC1ET4SA/XmaJbDyymlI/AAAAAAACIas/t1CuzCuCgcItkEQkKLF6Sli7lct5fJLlwCLcBGAsYHQ/s400/2%2B%25281%2529.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-kAMM4RD9Og4/XnpLzyZFIfI/AAAAAAACJQo/nQArfRCdXGcRTNnsAcNST-ReY_AifsoNwCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI, IKULU YA CHAMWINO JIJINI DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-kAMM4RD9Og4/XnpLzyZFIfI/AAAAAAACJQo/nQArfRCdXGcRTNnsAcNST-ReY_AifsoNwCLcBGAsYHQ/s400/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wgL6JLgy8Vo/XnpLzyipqvI/AAAAAAACJQs/QktbvJcRZ68Y-eq--A7Gv3zO4CGAjfY1gCLcBGAsYHQ/s400/5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DbDSllT4TZk/XrLj7DKlQ8I/AAAAAAALpT8/m7fdCkUb_G4vWNPu9MYb3eLKzoXtfNyGwCLcBGAsYHQ/s72-c/Rais-Magufuli.jpg)
9 years ago
Dewji Blog04 Sep
JK amteua Thadeo Mwenempazi kuwa Mshauri wa Rais Masuala ya Sheria
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Thadeo Marko Mwenempazi kuwa Mshauri wa Rais Masuala ya Sheria.
Uteuzi wa Ndugu Mwenempazi umeanza tokea Jumatatu ya Agosti 24, mwaka huu, 2015.
Taarifa iliyotolewa leo, Ijumaa, Septemba 4, 2015 mjini Dar es Salaam na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue imesema kuwa kabla ya uteuzi wake, Ndugu Mwenempazi alikuwa Wakili...