Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri watoa maazimio matatu kuhusu Burundi

Dk Harison MwakyembeMAWAZIRI wa Afrika Mashariki kutoka nchi tano za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), walikutana jana kwa saa 1:08 asubuhi jijini hapa kujadili hali ya uchaguzi nchini Burundi kutokana na maazimio matatu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

Makamba Ashangazwa Na HAYA MAGAZETI MATATU KUHUSU Vichwa Vya Habari Kuhusu Lowassa


Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameonesha kushangazwa na mfanano wa vichwa vya habari vya magazeti ya leo kuhusu mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.Makamba ambaye ni mjumbe wa kamati ya kampeni ya CCM, ameonesha kurasa za mbele za magazeti ya Mtanzania, Mwananchi na Tanzania Daima zilizokuwa na vichwa vya habari vinavyomnukuu Lowassa akitaka watanzania wasiogope.Amepost picha za magazeti hayo kwenye twitter na kuhoji kama mfanano huo ni bahati mbaya...

 

10 years ago

Vijimambo

MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA

Dar es Salaam, Oktoba 16, 2014
UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Mambo Matatu Usiyoyajua kuhusu Malaika

10617116_420678268131842_1583409129_n

Tazama video hii kujua mambo matatu usiyoyajua kuhusu Malaika.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video: Mambo Matatu usiyoyajua kuhusu Naj

Naj

Haya ni mambo matatu usiyoyajua kuhusu Naj.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Habarileo

Mawaziri waliofutwa kazi watoa ya moyoni

Rais Jakaya KikweteBAADA ya Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa mawaziri watatu na mmoja kujiuzulu, kutokana na kashfa zilizotokana na Operesheni Tokomeza Ujangili, viongozi hao wamezungumza yaliyowasibu kila mmoja kwa staili yake.

 

10 years ago

Habarileo

KUSAFISHWA MAWAZIRI : Wasomi watoa hoja nzito

Profesa Muhongo, amesafishwa na serikali ddhidi ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili.WASOMI na wanasiasa wametoa hoja nzito na kupongeza uamuzi wa Tume ya Sekretarieti ya Maadili na Tume ya Uchunguzi ya Rais, kuwasafisha viongozi wakiwemo mawaziri.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Burundi watoa ya moyoni

Marais Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana leo jijini Dar Es Salaam kujadili mgogoro wa kisiasa unaendelea nchini Burundi.

 

10 years ago

Mwananchi

JK aagiza mawaziri EAC kwenda Burundi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais Jakaya Kikwete ametuma ujumbe kwa mawaziri wa mambo ya nje ya nchi nne kwenda Burundi kuchunguza hali ya kisiasa ilivyo nchini humo kabla ya kuingilia kati.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani