Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK aagiza mawaziri EAC kwenda Burundi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais Jakaya Kikwete ametuma ujumbe kwa mawaziri wa mambo ya nje ya nchi nne kwenda Burundi kuchunguza hali ya kisiasa ilivyo nchini humo kabla ya kuingilia kati.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAWAZIRI WA EAC WAWASILISHA MAAMUZI YA WAKUU WA NCHI KWA RAIS WA BURUNDI

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (Mb), akiwasilisha kwa Rais wa Burundi, Mhe. Pierre Nkurunziza maamuzi ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika tarehe 31 Mei, 2015 Jijini Dar es Salaam. Mhe. Mwakyembe aliongoza ujumbe wa Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika ziara ya kikazi nchini Burundi tarehe 15 Juni, 2015.Rais Nkurunziza akisalimiana na...

 

10 years ago

Michuzi

JUST IN: MAWAZIRI WA EAC WAWASILISHA MAAMUZI YA WAKUU WA NCHI KWA RAIS WA BURUNDI

  Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (Mb), akiwasilisha kwa Rais wa Burundi, Mhe. Pierre Nkurunziza maamuzi ya Mkutano wa  Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika tarehe 31 Mei, 2015 Jijini Dar es Salaam. Mhe. Mwakyembe  aliongoza ujumbe wa Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika ziara ya kikazi nchini Burundi tarehe 15 Juni, 2015.Rais Nkurunziza akisalimiana na...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Burundi: Emergency Meeting of the Ministers of EAC Affairs On Burundi Held in ...


East African Business Week
Burundi: Emergency Meeting of the Ministers of EAC Affairs On Burundi Held in ...
AllAfrica.com
Arusha — The Ministers of East African Community Affairs on 18th May 2015 in Arusha, held an emergency meeting to address matters emerging in the Republic of Burundi. The meeting was called following the directive issued by the EAC Heads of the State ...
East African leaders to mediate Burundi crisisShanghai Daily (subscription)
E. African ministers to visit...

 

11 years ago

Habarileo

Kinana aagiza mawaziri 3 wakutane

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amewataka mawaziri wa wizara tatu kukutana mara moja kupanga namna ya kutatua migogoro inayoendelea ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji pamoja na hifadhi za taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mawaziri wa afya EAC kukutana kwa dharura Arusha

Mawaziri wa afya na watendaji wa viwanja vya ndege katika Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC) watakutana kwa dharura kuweka mkakati wa kudhibiti ugonjwa wa ebola.

 

11 years ago

GPL

AIR TANZANIA YARUDISHA SAFARI ZA NDEGE ZA KWENDA BURUNDI

Meneja Rasilimali watu kutoka Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), Eliezer Mwasele, akishuka kutoka ndani ya ndege mara baada ya ndege ya Air Tanzania kutua wakati wa uzinduzi wa safari za kwenda Bujumbura- Burundi. Nyuma yake ni aliekuwa Balozi wa Tanzania Burundi, Francis Mndolwa.…

 

10 years ago

Habarileo

Mawaziri watoa maazimio matatu kuhusu Burundi

Dk Harison MwakyembeMAWAZIRI wa Afrika Mashariki kutoka nchi tano za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), walikutana jana kwa saa 1:08 asubuhi jijini hapa kujadili hali ya uchaguzi nchini Burundi kutokana na maazimio matatu.

 

10 years ago

StarTV

Rais wa Burundi awatimua kazi mawaziri watatu.

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, amewafuta kazi mawaziri watatu, huku maandamano yakiendelea katika mji mkuu kufuatia jaribio la mapinduzi, juma lililopita.

Mawaziri walioachishwa kazi ni wa Ulinzi, mashauri ya nchi za kigeni na biashara.

Mapema hii leo, polisi walifyatua risasi hewani katika mji mkuu Bujumbura, kujaribu kuutawanya umati wa vijana uliokuwa ukifanya ghasia.

BBC

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA DHARURA WA BARAZA LA MAWAZIRI WA EAC WAFUNGULIWA DAR ES SALAAM

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe.Dkt. Harrison Mwakyembe (Mb.) akifungua Mkutano wa Dharura wa Baraza la Mawaziri wa Afrika Mashariki ambao pamoja na mambo mengine utapokea na kujadili taarifa ya ziara ya Mawaziri nchini Burundi kuhusu hali ya kisisasa nchini humo. Mkutano huo ambao ni maandalizi ya Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi utakaofanyika tarehe 06 Julai, 2015, umefanyika kwenye Hoteli ya Serena,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani