Mazishi ya tajiri mtoto, Moshi yazizima
Marehemu, Joseph Frank Maole enzi za uhai wake.
Na Mwandishi Wetu
MJI wa Moshi ambao ni Makao Makuu ya Mkoa wa Kilimanjaro, Jumamosi iliyopita uligubikwa na simanzi wakati wa mazishi ya marehemu, Joseph Frank Maole ‘Tajiri Mtoto’ (36) aliyeuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi.
Siku hiyo ya mazishi yaliyofanyika kwenye makaburi ya nyumbani kwake, Magereza, mji wa Moshi ulipoa, watu wakiwa katika makundi, wengi wakiushangaa Mkoa wa
Waombolezaji wakiuzika mwili wa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo08 Feb
RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA BI.TAJIRI TANGA


10 years ago
GPL
MKURUGENZI GLOBAL AHUDHURIA MAZISHI YA MKWEWE MOSHI
10 years ago
Michuzi03 Sep
HAJA YA HOJA: NI LINI TAJIRI AKAPENDA MASKINI AKAWA TAJIRI KAMA YEYE
10 years ago
GPL
MAZISHI YA KAMISHNA MKUU MSTAAFU WA JESHI LA MAGEREZA YAFANYIKA MOSHI
11 years ago
Michuzi
Ratiba ya mazishi ya marehemu mzee john fedha macha dar es salaam na moshi

11 years ago
Michuzi
mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo Mkoani Rukwa Hayati Moshi Mussa Chang'a


11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA MEJA JENERALI MSTAAFU MUHIDDIN MFAUME KIMARIO MJINI MOSHI


10 years ago
Michuzi06 Jun
MAZISHI YA MAREHEMU KAMISHNA MKUU MSTAAFU WA JESHI LA MAGEREZA, ONEL MALISA YAFANYIKA OLD MOSHI MKOANI KILIMANJARO


11 years ago
Michuzi04 Jun
mazishi ya mtoto nasra mjini morogoro yakusanya maelfu ya waombolezaji
