Mb Dog aendelea kufunga mkanda
![](http://4.bp.blogspot.com/-uuPZGZCWv5M/U3xZSwIhgZI/AAAAAAAAH5o/EdYftgSjjzQ/s72-c/MB+DOG+Msanii.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MWIMBAJI wa muziki wa kizazi kipya, Mbwana Mohamed Mb Dog, amesema baada ya kuachia video yake ya ‘Mbona Umenuna’, anaendelea na juhudi za kuwapatia raha wadau na mashabiki wake kama njia ya kuonyesha makali yake kisanaa.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mb Dog alisema video yake imeandaliwa kwa kiwango cha juu, huku ikiwa ni sababu ya yeye kuendelea kutoa nyimbo nzuri zinazoonyesha ubora wake.
Mb Dog, pichani.
Alisema kuwa lengo lake ni kufanya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Nigeria yanasa mkanda wa Stars
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Jeshi lapuuza mkanda wa Shekau
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Ujinga, tamaa vimemvua mkanda Cheka!
SITAKOSEA nikisema kuna laana inaitafuna michezo na ndiyo maana kila kukicha Tanzania imekuwa ikionekana kituko mbele ya uso wa mataifa mengine. Jumamosi ya Desemba 21, bondia Francis Cheka alichezea kichapo...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Chanzo cha kuugua mkanda wa jeshi
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Tyson Fury amevuliwa mkanda wa IBF
9 years ago
Mtanzania03 Dec
Kanye West azuia mkanda wa ngono sokoni
NEW YORK, MAREKANI
MSANII wa hip hop nchini Marekani,
NEW YORK, MAREKANI
MSANII wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, ametumia kiasi cha dola milioni 130, kwa ajili ya kuzuia mkanda wa ngono wenye picha zinazofanana na mke wake usiingie sokoni.
Mtandao wa US, umeripoti kwamba, msanii huyo aliamua kufanya hivyo kwa kuwa ndani ya filamu hiyo kuna mrembo anafanana na mke wake, Kim Kardashian.
Kutokana na hali hiyo, Kanye akaona bora atumie fedha hizo ili kuweza kuizuia filamu hiyo isitoke kwa...
9 years ago
Bongo510 Dec
Tyson Fury anyang’anywa mkanda wa IBF
![2EE3DAA800000578-0-Tyson_Fury_became_heavyweight_champion_of_the_world_beating_Wlad-a-56_1449100672375](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2EE3DAA800000578-0-Tyson_Fury_became_heavyweight_champion_of_the_world_beating_Wlad-a-56_1449100672375-300x194.jpg)
Bingwa wa ngumi dunia wa uzito wa juu, Tyson Fury amevuliwa mkanda wa IBF ikiwa ni chini ya wiki mbili baada ya kushinda.
Bondia huyo wa Uingereza mwenye miaka 27, mwanzo alitakiwa kukubali kupigana na Vyacheslav Glazkov ili kutetea mkanda huo lakini badala yake amekubali mchezo wa mruadiano dhidi ya Wladimir Klitschko.
Fury alimpiga Klitschko wa Ukraine kwa pointi Novemba 28 mwaka huu na kushinda mikanda mitatu ya uzito wa juu iliyokuwa ikishikiliwa na bondia huyo.
Mwenyekiti wa IBF...