Ujinga, tamaa vimemvua mkanda Cheka!
SITAKOSEA nikisema kuna laana inaitafuna michezo na ndiyo maana kila kukicha Tanzania imekuwa ikionekana kituko mbele ya uso wa mataifa mengine. Jumamosi ya Desemba 21, bondia Francis Cheka alichezea kichapo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo31 Dec
MABONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' NA COSMAS CHEKA KUGOMBANIA MKANDA WA U.B.O AFRICA FEB 28
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Ujinga wa zama zilizopita, si lazima uwe ujinga wa zama hizi
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7zqEL_P_B4U/default.jpg)
21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza
BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...
9 years ago
Mwananchi04 Nov
Tanzania inapoonja shubiri ya ujinga
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Ujinga ni umaskini tosha usipobadilika
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Watoto yatima, ujinga, umasikini na Ukimwi
DESEMBA mwaka 2002, nilitoa mada juu ya Ukimwi, katika Kongomano la kimataifa juu ya Ukimwi, lililofanyikia Arusha. Kwa unyenyekevu mkubwa niliunga mkono matumizi ya kondomu, kama njia mojawapo ya kuzuia...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Kifimbo cha malkia na ujinga wa utandawazi
IPO dhana ya kwamba kutawaliwa kulichangia maendeleo ya Bara la Afrika, ikiwemo nchi yetu ya Tanzania. Vilevile wapo wanaodhani kwamba mawazo ya kupenda kutawala, yaani sehemu moja kuinyang’anya sehemu nyingine...
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Tunajenga dimbwi la ujinga kuelekea umaskini
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
UONGOZI WA TANZANIA: Udalali, ukuwadi na ujinga
ILI Tanzania iendelee, pamoja na mambo mengine, inahitaji uongozi bora (Mwalimu Nyerere, 1992). Hata hivyo, Tanzania imekwama kwenye uongozi! Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali yake umeshindwa kujenga...