Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujinga, tamaa vimemvua mkanda Cheka!

SITAKOSEA nikisema kuna laana inaitafuna michezo na ndiyo maana kila kukicha Tanzania imekuwa ikionekana kituko mbele ya uso wa mataifa mengine. Jumamosi ya Desemba 21, bondia Francis Cheka alichezea kichapo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MABONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' NA COSMAS CHEKA KUGOMBANIA MKANDA WA U.B.O AFRICA FEB 28

Mratibu wa mpambano wa ubingwa wa UBO Africa Antony Rutta katikati akiwainua mikono juu mabondia Cosmas Cheka kushoto na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa utambulisho wao watakaozipiga 28 feb katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Mabondia Cosmas Cheka kushoto akitunishiana misuli na Ibrhahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa ubingwa wa U.B.O Africa utakaofanyika feb 28 katika ukumbi wa Frends Corner Manzese Dar es salaamMabondia...

 

11 years ago

Mwananchi

Ujinga wa zama zilizopita, si lazima uwe ujinga wa zama hizi

“Kila taifa lina ujinga wake,” haya ni maneno yaliyotolewa na Profesa Palamagamba Kabudi alipokuwa akitoa mada kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hivi karibuni.

 

10 years ago

Vijimambo

21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza


BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...

 

9 years ago

Mwananchi

Tanzania inapoonja shubiri ya ujinga

Oktoba 29, mwaka huu, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), ilitangaza matokeo ya urais yaliyoonyesha ushindi kwa mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli.

 

10 years ago

Mwananchi

Ujinga ni umaskini tosha usipobadilika

Nawakumbuka wapigania haki wa Kiafrika waliowahi kuliongoza ama kulitakia mema bara hili kwa uwezo wao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto yatima, ujinga, umasikini na Ukimwi

DESEMBA mwaka 2002, nilitoa mada juu ya Ukimwi, katika Kongomano la kimataifa juu ya Ukimwi, lililofanyikia Arusha. Kwa unyenyekevu mkubwa niliunga mkono matumizi ya kondomu, kama njia mojawapo ya kuzuia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kifimbo cha malkia na ujinga wa utandawazi

IPO dhana ya kwamba kutawaliwa kulichangia maendeleo ya Bara la Afrika, ikiwemo  nchi yetu ya Tanzania. Vilevile wapo wanaodhani kwamba mawazo ya kupenda kutawala, yaani sehemu moja kuinyang’anya sehemu nyingine...

 

9 years ago

Mwananchi

Tunajenga dimbwi la ujinga kuelekea umaskini

Ni dhahiri kuwa watu maskini duniani ni wale wasiosoma. Watu maskini zaidi duniani ni wale waliopata elimu bandia na iliyowavuruga hata akili walizozaliwa nazo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

UONGOZI WA TANZANIA: Udalali, ukuwadi na ujinga

ILI Tanzania iendelee, pamoja na mambo mengine, inahitaji uongozi bora (Mwalimu Nyerere, 1992). Hata hivyo, Tanzania imekwama kwenye uongozi! Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali yake umeshindwa kujenga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani