Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeshi lapuuza mkanda wa Shekau

Jeshi la Nigeria limepuuzilia mbali mkanda wa sauti unaodhaniwa kuwa wa kinara mkuu wa kundi la Boko Haram, Abubakar Shekau

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Burkina Faso:Jeshi lapuuza wito wa AU

Jeshi la Burkina Faso limepuuza wito wa AU wa kuachia madaraka kwa raia

 

11 years ago

Mwananchi

Chanzo cha kuugua mkanda wa jeshi

Katika mwendelezo wa safu hii kuhusu madhara ya ngozi, leo nitajibu swali la Thomas Lyatuu kuhusu ugonjwa unaojulikana kama mkanda wa jeshi au kwa kitaalamu herpes zoster.

 

10 years ago

Habarileo

Shekau-Mabinti tuliowateka wameolewa

KIONGOZI wa Kundi la Boko Haram, Abubakar Shekau amesema wasichana wa shule 219 waliotekwa kutoka mji wa Chibok, Kaskazini Mashariki mwa Nigeria mwezi Aprili wamesilimishwa na kuwa Waislamu na kisha kuozwa.

 

9 years ago

BBC

Shekau 'still leads' Boko Haram

An audio emerges purportedly of Abubakar Shekau in which he denies being replaced as leader of Nigerian-based Islamist militant group Boko Haram.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Shekau wa Boko Haram kama Osama

JUZI  baadhi ya vyombo  vya habari duniani vilitangaza taarifa za kuuawa kwa kiongozi wa kundi la wanamgambo wenye itikadi kali ya kiislamu la Boko Haram, Abubakar Shekau nchini Nigeria. Taarifa...

 

9 years ago

Mwananchi

Nigeria yanasa mkanda wa Stars

Nahodha wa muda wa Nigeria, Ahmed Mussa amesema wameisoma Tanzania kupitia mkanda wa video waliounasa ambao utawasaidia katika mchezo wa kesho wa kufuzu kwa fainali za Afrika mwaka 2017.

 

11 years ago

Michuzi

Mb Dog aendelea kufunga mkanda

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MWIMBAJI wa muziki wa kizazi kipya, Mbwana Mohamed Mb Dog, amesema baada ya kuachia video yake ya ‘Mbona Umenuna’, anaendelea na juhudi za kuwapatia raha wadau na mashabiki wake kama njia ya kuonyesha makali yake kisanaa.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mb Dog alisema video yake imeandaliwa kwa kiwango cha juu, huku ikiwa ni sababu ya yeye kuendelea kutoa nyimbo nzuri zinazoonyesha ubora wake. Mb Dog, pichani.

Alisema kuwa lengo lake ni kufanya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tyson Fury amevuliwa mkanda wa IBF

Bingwa wa dunia wa uzito wa juu, Tyson Fury amevuliwa mkanda wa IBF ikiwa ni chini ya wiki mbili baada ya kushinda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujinga, tamaa vimemvua mkanda Cheka!

SITAKOSEA nikisema kuna laana inaitafuna michezo na ndiyo maana kila kukicha Tanzania imekuwa ikionekana kituko mbele ya uso wa mataifa mengine. Jumamosi ya Desemba 21, bondia Francis Cheka alichezea kichapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani