Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shekau-Mabinti tuliowateka wameolewa

KIONGOZI wa Kundi la Boko Haram, Abubakar Shekau amesema wasichana wa shule 219 waliotekwa kutoka mji wa Chibok, Kaskazini Mashariki mwa Nigeria mwezi Aprili wamesilimishwa na kuwa Waislamu na kisha kuozwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya wasichana milioni 58 Duniani wameolewa wakiwa na umri wa chini ya miaka 18

IMG_2147

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akihutubia mkutano wa masuala ya elimu kwa vijana wa bara la Afrika ili waweze kufanya maamuzi sahihi ya kiafya. Mkutano huo  umeandaliwa na serikali ya Ujerumani na ulifanyika huko New York tarehe 22.9.2014. 

Na Anna Nkinda – Maelezo, New York

Zaidi ya wasichana milioni 58 Duniani wameolewa wakiwa na  umri wa chini ya  miaka 18  kati ya hao milioni 15 wana umri wa kati ya miaka 10 hadi 14 jambo linalowasababisha kupata maambukizi ya Ugonjwa wa Ukimwi na...

 

9 years ago

BBC

Shekau 'still leads' Boko Haram

An audio emerges purportedly of Abubakar Shekau in which he denies being replaced as leader of Nigerian-based Islamist militant group Boko Haram.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi lapuuza mkanda wa Shekau

Jeshi la Nigeria limepuuzilia mbali mkanda wa sauti unaodhaniwa kuwa wa kinara mkuu wa kundi la Boko Haram, Abubakar Shekau

 

10 years ago

Tanzania Daima

Shekau wa Boko Haram kama Osama

JUZI  baadhi ya vyombo  vya habari duniani vilitangaza taarifa za kuuawa kwa kiongozi wa kundi la wanamgambo wenye itikadi kali ya kiislamu la Boko Haram, Abubakar Shekau nchini Nigeria. Taarifa...

 

10 years ago

GPL

MABINTI WA MARAIS WA AFRIKA WANAOTIKISA

SAFU hii mpya itakuwa yakutoa elimu kwa wasomaji. Wiki hii tunaanza na baadhi ya mabinti wa marais wa Afrika ambao wanatikisa sana katika mitandao mbalimbalikutokana na sifa zao tofauti AngePaul Kagame Ni binti wa Rais wa Rwanda, Paul Kagame. Alizaliwa mwaka 1989. Kwenye mitandao amekuwa akisifiwa kuwa ni ndiye binti mrembo kuliko wengine.…

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Msiwaozeshe mabinti wadogo-Marombwa


Na Cecilia Jeremiah
WAZAZI na walezi wametakiwa kuacha kuwaozesha watoto wao kwa tamaa za fedha  mara wanapomaliza masomo yao.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Mbunge wa Kibiti,  Abdul Marombwa, wakati akiwahutubia wazazi  na wanafunzi wahitimu wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Mtanga.
Alisema si sahihi kwa wazazi kupokea fedha na kuwaoza watoto wao, kwani  kufanya hivyo ni kukatisha malengo yao.
Mbunge  huyo alisema mbali na kuwaozesha wakiwa wamemaliza masomo yao, pia kuna wengine...

 

11 years ago

Habarileo

Mabinti wajiuza Sh. 2,000/- bustanini

BAADHI ya wakazi wa jijini Tanga, wameomba uongozi wa Wilaya ya Tanga kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, kuweka mkakati endelevu, utakaodhibiti wimbi la vijana wa kike wanaojiuza miili yao nyakati za usiku kwenye baadhi ya barabara za katikati ya mji na bustani za kupumzikia.

 

9 years ago

Habarileo

Mabinti Centre wafunika Dar

WANAWAKE waliougua maradhi ya fistula hivi karibuni walionesha uwezo wao kwenye onesho la ubunifu wa mitindo ya vifaa vya mavazi ya asili ya Kiafrika la Mabinti Fashion Show katika kituo cha Mabinti , Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Mabinti wauzwa ukahaba China

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeWATOTO wa kike wenye umri wa hadi miaka 14 wanadaiwa kufanyishwa biashara ya ukahaba China kutokana na kusafirishwa na baadhi ya Watanzania wasio waaminifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani