Mabinti wajiuza Sh. 2,000/- bustanini
BAADHI ya wakazi wa jijini Tanga, wameomba uongozi wa Wilaya ya Tanga kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, kuweka mkakati endelevu, utakaodhibiti wimbi la vijana wa kike wanaojiuza miili yao nyakati za usiku kwenye baadhi ya barabara za katikati ya mji na bustani za kupumzikia.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yIRAODsxTEyPFFryT77t4xl-hiAj5FeJqaMvC8kPPdpnJXwOOJE9ERsVK1LnAdhx7Fvpx1CFVS5Ts2j3Qyvyh1e*P4WiSL11/gfhfhruru.jpg?width=650)
MADENTI MSINGI WAJIUZA SH.2000
9 years ago
Mwananchi29 Nov
Baraza la Madiwani Iringa kufanyika bustanini
10 years ago
Mwananchi16 Dec
'Wajiuza’ kwa kukosa mikopo ya elimu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ivj69U0teRQk5ty*ZYK8aakbhX2d42JzPo2jduMwTQ7sPkbBzyJBER99th2TT4XXccYTiOyUk3cAejFFpY5Ekcjn4aENJOzI/CCMFLYER_THABITKOMBO.jpg?width=650)
MAHMOUD THABIT KOMBO KUUNGURUMA LEO UWAMJA WA BUSTANINI
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Mabinti wa Chibok bado wanashikiliwa
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Oct
Msiwaozeshe mabinti wadogo-Marombwa
Na Cecilia Jeremiah
WAZAZI na walezi wametakiwa kuacha kuwaozesha watoto wao kwa tamaa za fedha mara wanapomaliza masomo yao.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Mbunge wa Kibiti, Abdul Marombwa, wakati akiwahutubia wazazi na wanafunzi wahitimu wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Mtanga.
Alisema si sahihi kwa wazazi kupokea fedha na kuwaoza watoto wao, kwani kufanya hivyo ni kukatisha malengo yao.
Mbunge huyo alisema mbali na kuwaozesha wakiwa wamemaliza masomo yao, pia kuna wengine...
10 years ago
Habarileo02 Nov
Shekau-Mabinti tuliowateka wameolewa
KIONGOZI wa Kundi la Boko Haram, Abubakar Shekau amesema wasichana wa shule 219 waliotekwa kutoka mji wa Chibok, Kaskazini Mashariki mwa Nigeria mwezi Aprili wamesilimishwa na kuwa Waislamu na kisha kuozwa.
11 years ago
Habarileo27 Mar
Mabinti wauzwa ukahaba China
WATOTO wa kike wenye umri wa hadi miaka 14 wanadaiwa kufanyishwa biashara ya ukahaba China kutokana na kusafirishwa na baadhi ya Watanzania wasio waaminifu.