Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabinti wajiuza Sh. 2,000/- bustanini

BAADHI ya wakazi wa jijini Tanga, wameomba uongozi wa Wilaya ya Tanga kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, kuweka mkakati endelevu, utakaodhibiti wimbi la vijana wa kike wanaojiuza miili yao nyakati za usiku kwenye baadhi ya barabara za katikati ya mji na bustani za kupumzikia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

10 years ago

GPL

MADENTI MSINGI WAJIUZA SH.2000

DUSTAN SHEKIDELE, MORO
UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Farao! Kumekuwa na madai ya baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi mjini hapa kujiuza kwa waendesha bodaboda kwa gharama ya shilingi elfu mbili tu. Mwanafunzi anayedaiwa kujiuza kwa waendesha Bodaboda. Kufuatia madai hayo, mwandishi wa kikosi cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ mjini hapa alifanyia kazi madai hayo na kufanikiwa kumnasa Ally Shabani (34) ambaye...

 

9 years ago

Mwananchi

Baraza la Madiwani Iringa kufanyika bustanini

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Iringa Mjini kitaanza kufanya vikao vya Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa hiyo, kwenye eneo la bustani lililo wazi ili kutoa nafasi kwa wananchi kuhudhuria.

 

10 years ago

Mwananchi

'Wajiuza’ kwa kukosa mikopo ya elimu

Dodoma ya sasa si ya zamani. anayeijua Dodoma ya mwaka 2000, leo imebadilika kwa kiasi

 

11 years ago

GPL

MAHMOUD THABIT KOMBO KUUNGURUMA LEO UWAMJA WA BUSTANINI

Na Andrew Chale, Zanzibar
CHAMA cha Mapinduzi CCM, leo Januari 28, kinatarajia kufanya kampeni yake ya Sita (6) ya mkutano wa hadhara kwenye eneo la uwanja wa  Bustanini, katika kampeni za Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki,  ambapo mgeni rasmi wa kumnadi Mgombea anatarajiwa kuwa, Mwenyekiti wa Mkoa wa Magharibi wa CCM, Mohammed Yusufu Mrefu. Akielezea mkutano huo wa Sita wa hadhara, unaotarajiwa kuwa majira ya Saa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mabinti wa Chibok bado wanashikiliwa

Walikamatwa na kikundi cha kigaidi cha kiislam boko Haram kutoka shuleni kwao huko chibok.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Msiwaozeshe mabinti wadogo-Marombwa


Na Cecilia Jeremiah
WAZAZI na walezi wametakiwa kuacha kuwaozesha watoto wao kwa tamaa za fedha  mara wanapomaliza masomo yao.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Mbunge wa Kibiti,  Abdul Marombwa, wakati akiwahutubia wazazi  na wanafunzi wahitimu wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Mtanga.
Alisema si sahihi kwa wazazi kupokea fedha na kuwaoza watoto wao, kwani  kufanya hivyo ni kukatisha malengo yao.
Mbunge  huyo alisema mbali na kuwaozesha wakiwa wamemaliza masomo yao, pia kuna wengine...

 

10 years ago

Habarileo

Shekau-Mabinti tuliowateka wameolewa

KIONGOZI wa Kundi la Boko Haram, Abubakar Shekau amesema wasichana wa shule 219 waliotekwa kutoka mji wa Chibok, Kaskazini Mashariki mwa Nigeria mwezi Aprili wamesilimishwa na kuwa Waislamu na kisha kuozwa.

 

11 years ago

Habarileo

Mabinti wauzwa ukahaba China

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeWATOTO wa kike wenye umri wa hadi miaka 14 wanadaiwa kufanyishwa biashara ya ukahaba China kutokana na kusafirishwa na baadhi ya Watanzania wasio waaminifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani