Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbeya City kambini Ruvuma, kuivaa Majimaji

Timu ya Mbeya City imekwenda Songea mkoani Ruvuma ambako itapiga kambi kujiandaa na mechi zilizosalia za Ligi Kuu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbeya City kambini Julai 15

TIMU ya Mbeya City iliyokuja kwa kasi katika tasnia ya Soka hapa nchini, inatarajia kuingia kambini Julai 15 ikiwa ni maandalizi ya ligi Kuu Tanzania Bara. Kocha Mkuu wa Mbeya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbeya City yaingia kambini

 Mbeya City inaingia kambini leo kujiandaa na Ligi Kuu ya Bara itakayoanza Septemba 20, huku kocha mkuu wa kikosi hicho, Juma Mwambusi akihitaji mechi tatu kali za kirafiki.

 

10 years ago

Mwananchi

Okwi hatihati kuivaa Mbeya City

>Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi jana alilazimika kurudishwa tena Hospitali ya Taifa Muhimbili kufanyiwa kipimo cha CT scan kujiridhisha iwapo ataweza kucheza kesho mechi dhidi ya Mbeya City.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stars yarejea kambini Mbeya

KIKOSI cha timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars kesho kinatarajia kwenda jijini Mbeya kuendelea kujifua kuelekea mechi ya marudiano dhidi ya Msumbiji itakayochezwa wiki mbili zijazo, mjini Maputo, Msumbiji....

 

9 years ago

BBCSwahili

Man City kuivaa Sunderland

Ligi kuu ya soka ya England inatarajia kuendelea tena mwishoni mwa wiki kwa michezo kadhaa katika viwanja mbalimbali.

 

11 years ago

Michuzi

TAIFA STARS YAINGIA KAMBINI HUKO TUKUYU,JIJINI MBEYA

Wakati Taifa Stars inaingia kambini Tukuyu mkoani Mbeya kesho (Julai 9 mwaka huu), kocha Mart Nooij amesema kambi ya wiki mbili nchini Botswana imekisaidia kikosi chake kujiandaa kwa ajili ya mechi dhidi ya Msumbiji.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo (Julai 8 mwaka huu) kuhusu maandalizi ya timu hiyo, Nooij amesema timu yake inafanya mazoezi kwenye maeneo ya baridi kwa sababu za kitaalamu, hivyo kambi ya Tukuyu kama ilivyokuwa ya Botswana itawasaidia kwa mechi dhidi ya Msumbiji.
Taifa Stars...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mchezaji wa zamani wa Majimaji ya Songea, Mtawa Kaparata aibuka mshindi wa shindano la Tanzania Movie Talents mkoani Mbeya

Untitled

Na Josephat Lukaza wa Proin Promotions Limited – Mbeya

Shindano la Tanzania Movie Talents Kwa kanda ya Nyanda ya Juu Kusini, Mkoani Mbeya limefikia Tamati hapo jana kwa washindi watatu kutoka kanda hii ya nyanda ya juu Kusini Kupatikana na Kutangazwa na Majaji watatu.

Washindi waliotangazwa na Jaji Mkuu wa Shindano hilo, Roy Sarungi kwa kushirikiana na Majaji wawili Single Mtambalike na Yvonne Chery ni Steven Mapunda, Issalito Issaya na Mtawa Kaparata “BABU”

Mmoja kati ya washindi watatu...

 

11 years ago

GPL

AZAM FC WAKIPASHA MISULI KABLA YA KUWAKABILI MBEYA CITY JIJINI MBEYA

Wachezaji wa Azam FC wakipasha misuli ndani ya Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya muda mfupi kabla ya kukwaana na Mbeya City leo. (PICHA NA…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani