MBEYA WAANZA KUNEEMEKA NA MPANGO WA MAENDELEO WA MIAKA MITANO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ogMT6LNPbSY/UxzDpATdwbI/AAAAAAAFSeM/99das88enkg/s72-c/unnamed+(47).jpg)
Meneja uwanja wa ndege wa Songwe jijini Mbeya, Eng. Valentino Kadeha (Kulia) akitoa maelekezo kwa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilipotembelea Mradi huo. Kwa Mujibu wa Mhandisi Kadeha Uwanja huo umeshakamilika kwa aslimia 70 na utakuwa na uwezo wa kuhudumia abiria zaidi ya 300 kwa saa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-jG9OBwdFJDg/UxzDpwG6B8I/AAAAAAAFSeY/8cMHPWaeEKw/s1600/unnamed+(48).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMTEMVU TUCHAGUENI TUMALIZIE MIRADI YA MAENDELEO YA MIAKA MITANO TULIYOPANGA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cxd6Ymt_sYs/VMywkVF5c2I/AAAAAAAHAgA/09DW3oEOhus/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
warsha ya siku moja kujadili mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka 25 ya benki ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania yafanyika jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cxd6Ymt_sYs/VMywkVF5c2I/AAAAAAAHAgA/09DW3oEOhus/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3a417g2wFyw/VMywc-Ek_yI/AAAAAAAHAf4/nRPrFqscG4A/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rBtvKRurUGI/VMywoulaVMI/AAAAAAAHAgU/rxnhJgCeMmg/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
9 years ago
Mwananchi14 Oct
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Miaka 54 mmeshindwa, miaka mitano mtaweza?
Kwanza kabisa napenda niwaombe radhi wasomaji wangu wa safu hii ya  ‘Ukweli Utakuweka huru’ kwa kuzikosa mada zangu kwa takriban mwezi mmoja. Hali hii ilitokana na sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wangu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--_VaU8UqoKc/XmjU9wRb6_I/AAAAAAALimY/ZoTO0nDm2VMm74mYRxdaNM27oLj1S71IwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-11%2Bat%2B3.01.26%2BPM.jpeg)
DKT. MPANGO AWASILISHA MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/--_VaU8UqoKc/XmjU9wRb6_I/AAAAAAALimY/ZoTO0nDm2VMm74mYRxdaNM27oLj1S71IwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-11%2Bat%2B3.01.26%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jAkAr7wfXfY/XmjU9_9OY6I/AAAAAAALimc/zDht3suCdvgN10Tv_mSWcemXFBULH2urwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-11%2Bat%2B3.02.42%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tY_XPnHg2T4/XmjU9sbiDoI/AAAAAAALimU/wDVg1R-IpZUhslm1foyg-j_9DYV5R-ZCwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-11%2Bat%2B3.03.56%2BPM.jpeg)
10 years ago
VijimamboMBEYA YAZINDUA MPANGO WA MAREKEBISHO YA TABIA NA MPANGO WA UTOAJI MSAADA WA SHERIA
5 years ago
MichuziWAZIRI MPANGO:TAARIFA YA HALI YA UCHUMI 2019, MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA MWAKA 2020/21 ZIMEZINGATIA DHANA YA USHIRIKISHWAJI MPANA WA WADAU
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango amesema taarifa ya hali ya uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2019 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2020/21 zimezingatia dhana ya ushirikishwaji mpana wa wadau katika hatua za uandaaji na maamuzi katika ngazi zote Serikalini.
Akizungumza Bungeni Mjini Dodoma leo wakati anawasilisha Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2019 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2020/21 ambapo ametumia nafasi hiyo kufafanua yamezingatia...
10 years ago
Michuzi25 Aug
MBEYA YETU BLOG WAANZA KUTEMBELEA NA KUTANGAZA VIVUTIO VYA KITALII MKOANI MBEYA , WAKIANZIA NA KIJUNGU
Baada ya kuona kuwa kuna maeneo mbalimbali ya vivutio vya kitalii muhimu na ambavyo vimesahaulika kwa njia moja au nyengine na pengine hakuna pa kuvitangaza ili watanzania na Dunia kwa ujumla wapate kuvifahamu kwa ukaribu , Tone Multimedia Group kupitia mtandao wake wa Mbeya yetu Blog wameamua kuanza rasmi kuvitembelea na kutangaza kwa Jamii kwa ujumla wapate kuvifahamu ili nao waje kuvitembelea.
Safari hiyo ambayo moja kwa moja ilianzia Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Rungwe-Tukuyu kwenda kujionea...
Safari hiyo ambayo moja kwa moja ilianzia Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Rungwe-Tukuyu kwenda kujionea...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania