MTEMVU TUCHAGUENI TUMALIZIE MIRADI YA MAENDELEO YA MIAKA MITANO TULIYOPANGA
Mgombea ubunge wa Jimbo la Temeke kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abbas Mtemvu (kulia), akipongezana na mgombea udiwani wa Kata ya Keko, Francis Mtawa baada ya kumaliza kuhutubia mkutano wa kampeni viwanja vya Mabembeani Keko jijini Dar es Salaam jana jioni
Mgombea ubunge wa Jimbo la Temeke kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abbas Mtemvu, akihutubia katika mkutano huo wa kampeni. Kulia ni mgombea udiwani wa Kata ya Keko, Francis Mtawa.
Katibu Mwenezi wa Jimbo la Temeke, Ali Kamtande...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ogMT6LNPbSY/UxzDpATdwbI/AAAAAAAFSeM/99das88enkg/s72-c/unnamed+(47).jpg)
MBEYA WAANZA KUNEEMEKA NA MPANGO WA MAENDELEO WA MIAKA MITANO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ogMT6LNPbSY/UxzDpATdwbI/AAAAAAAFSeM/99das88enkg/s1600/unnamed+(47).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jG9OBwdFJDg/UxzDpwG6B8I/AAAAAAAFSeY/8cMHPWaeEKw/s1600/unnamed+(48).jpg)
5 years ago
MichuziMKURUGENZI KAGURUMJULI AWEKA HISTORIA KINONDONI KUKAMILISHA MIRADI YA BILIONI 231.8 KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO ALAT YA MTUNUKU TUZO
Akisoma taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri hiyo katika kipindi hicho Mkurugenzi Ndug. Aron Kagurumjuli amesema kuwa kwaupande wa miradi ya kisekta imefanikiwa kutekeleza shughuli mbalimbali za kiuchumi, kisiasa, kijamii pamoja na miradi ya Maendeleo kwa...
5 years ago
MichuziMKURUGENZI KAGURUMJULI AWEKA HISTORIA KINONDONI KUKAMILISHA MIRADI YA TAKRIBAN BILIONI 242.8 KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO, ALAT YAMPA TUZO.
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imeweka historia katika suala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo na ile ya kimkakati kwa kipindi cha miaka mitano iliyogharimu takribani shilingi bilioni 242.8 fedha zilizotokana na vyanzo vya mapato ya ndani, Serikali kuu na wadau wengine wa maendeleo.
Taarifa hii imetolewa wakati wa uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji wa shughuli za Serikali kwa kipindi cha miaka mitano katika kikao cha mwisho cha Baraza la Madiwani kilichofanyika leo katika...
9 years ago
Mwananchi14 Oct
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Miaka 54 mmeshindwa, miaka mitano mtaweza?
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s72-c/3.jpg)
Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi
![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jzdmupVD07I/VMCswcuD1RI/AAAAAAAG-0w/iflIDowcVMc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DiQhVYP9zj0/VMCs2uskuQI/AAAAAAAG-2U/EiFI6RtU3Is/s1600/7.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_dBr7FLEX24/Xm-b3vTzW7I/AAAAAAALj7w/xpnjaSq43qcGgvA3XmYan43tDIq0Xk4RACLcBGAsYHQ/s72-c/0c82b8ba-5145-42a8-a440-3531bad6450a.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAITAKA SERIKALI KUONGEZA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO YA JAMII
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.
Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...
10 years ago
VijimamboMIAKA MITANO YA MAX MALIPO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yf2fRcxffOA/VHhr01G_fYI/AAAAAAAAryo/if-wV2bHBWA/s1600/1.%2BMkurugnezi%2BMkuu%2Bwa%2BMaxCom%2BAfrica%2C%2BJuma%2BRajabu%2B%2Bna%2BRichard%2BChagula%2Bwa%2BManispaa%2Bya%2BKinondoni%2Bwakikata%2Butepe%2Bkuzindua%2Bmuonekano%2Bmpoya%2Bwa%2BMax%2BMalipo.jpg)
Mkurugnezi Mtendaji wa Kampuni ya Kitanzania ya MaxCom Africa, inayotoa huduma za Max Malipo, Juma Rajabu na Mwakilishi wa Manispaa ya Kinondoni, Richard Chagula wakikata utepe kuzindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo, katika hafla iliyokutanisha uongozi wa kampuni hiyo ya Jukwaa la Wahariri, leo katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JWFKiLGb0X0/VHhr4AuDCSI/AAAAAAAArzQ/ZlYmNMVgVQ0/s1600/2.%2BMkurugnezi%2BMkuu%2Bwa%2BMaxCom%2BAfrica%2C%2BJuma%2BRajabu%2Bakizindua%2Bmuonekano%2Bmpya%2Bwa%2Bhuduma%2Bya%2BMax%2BMalipo.jpg)
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Sitta: Nipeni miaka mitano
NA WAANDISHI WETU, TABORA
IDADI ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaotangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, imeendelea kuongezeka baada ya Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta naye kutangaza jana.
Waziri Sitta, alitangaza nia yake katika Ikulu ndogo ya Itetemea mkoani Tabora, huku akiomba chama chake kimpitishe na Watanzania kumpa miaka mitano tu ya kufanya mageuzi makubwa ya kiutawala.
“Tofauti na wenzangu wanaotaka urais kwa miaka 10, mimi nataka kutumikia nafasi...
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Pengo: Nastaafu miaka mitano ijayo
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10