Mbowe alivyofunga Kampeni za Uchaguzi Kinondoni
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Aikael Mbowe akiwa na Wabunge wa Chama hicho alifunga kampeni katika Jimbo la Kinondoni February 16, 2018 ambapo uchaguzi unafanyika leo. Mbowe amewataka Wakazi wa Kinondoni kumchagua Salum Mwalim ili aweze kuwaletea Maendeleo katika Jimbo hilo la Kinondoni, Bonyeza PLAY hapa chini kumtazama Mbowe alivyofunga Kampeni […]
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5aDikNHjtEA/Vf1yX_82BrI/AAAAAAAH6Fc/RNMLcvZislo/s72-c/IMG-20150919-WA0019.jpg)
MBOWE ATAKA KAMPENI ZA KIISTARABU
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kila chama kifanye kampeni za kistaarabu ili kila mtu aende Ikulu pasipo kuvuruga amani.
Mbowe ameyasema hayo leo mbele ya waandishi wa habari wakati wa kuelezea masuala ya kampeni zinazoendelea kwa vyama vyote vya siasa, pia amesema kuwa kuna kauli za viongozi wa baadhi ya vyama ambazo haziridhishi katika kupiga kwao kampeni.
Mbowe amasema kauli ya watu hao ni ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-cWDZTI8xshk/VhIKgzKPVqI/AAAAAAAACUI/Trpx0u-uBtA/s72-c/1.png)
TUME YA TAIFA TA UCHAGUZI YATOA RATIBA YA MABADILIKO YA MIKUTANO YA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA RAIS, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-cWDZTI8xshk/VhIKgzKPVqI/AAAAAAAACUI/Trpx0u-uBtA/s640/1.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vx3uvlGbi6I/VhIKg543f9I/AAAAAAAACUQ/Dc9fln4PkgA/s640/3%2Boktoba%2B2015.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RFwFoYuRzww/VhIKhIzrxII/AAAAAAAACUM/OZ2T-GSuAa0/s640/4%2Boktoba%2B2015.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FdQuBh595Mo/VhIKhy5CmDI/AAAAAAAACUY/rawgMs319Sk/s640/5%2Boktoba2015.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-P6ZB3jXFF6A/VhIKiqjQrDI/AAAAAAAACUs/Nuj8u6qC76c/s640/6%2Boktoba%2B2015.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-X0S7fWtlbP8/VhIKika2BNI/AAAAAAAACUo/UZ6w4KvIWW8/s640/7%2Boktoba%2B2015.png)
Chanzo: Tume ya Taifa ya Uchaguzi Blog
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
Iddi Azzan azindua kampeni Jimbo la Kinondoni jijini Dar
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge (kushoto) akimtambulisha Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Mh. Iddi Azzan(kulia) mbele ya umati wa wanachama wa chama hicho na wananchi waliofurika katika viwanja vya CCM Mwinjuma Mwananyamala jana jioni, wakati wa uzinduzi wa kampeni kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, katika jimbo hilo, jijini Dar es Salaam.(Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja blog)
Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kwa...
9 years ago
VijimamboMH. IDDI AZZAN AZINDUA KAMPENI JIMBO LA KINONDONI JIJINI DAR
10 years ago
Mwananchi29 Sep
Kiongozi Freemason aelezea alivyofunga ndoa (3)
9 years ago
MichuziMgombea wa Ukawa Maulid Mtulila azindua kampeni ya ubunge jimboni Kinondoni
Vyama vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA vimezindua kampeni za ubunge kwa jimbo la Kinondoni ambapo mamia ya watu walihunduria katika viwanja vya Mapilau. Ukawa wameamua kusimamisha mgombea mmoja kwa kila jimbo toka vyama vya Chadema, CUF, NCCR Mageu na NLD ambapo kwa jimbo la Kinondoni Ukawa imemsimamisha Maulid Salum...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--RxkFS9Py4A/VYe8GL0QvtI/AAAAAAAHiZU/pHuhHuLa4RU/s72-c/IMG_20150619_143944_1.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE AKISHIRIKI KAMPENI YA MAZINGIRA KATIKA SOKO LA MASAMA-MULA
![](http://3.bp.blogspot.com/--RxkFS9Py4A/VYe8GL0QvtI/AAAAAAAHiZU/pHuhHuLa4RU/s640/IMG_20150619_143944_1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2IxoluAr_q4/VYe8GXEEq5I/AAAAAAAHiZY/veFBxYirdXM/s640/USAFI%2BTAKA%2BIMG-20150620-WA0007.jpg)
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Mbowe: Tutazuia uchaguzi wa Mitaa mahakamani ikiwa...
9 years ago
MichuziMH. IDDI AZZAN AZINDUA KAMPENI ZA CCM JIMBO LA KINONDONI JIJINI DAR ES SALAAM